Kumkosea heshima au kumuambia ukweli?? Huu Si unafiki sasa? Yaan bahati yake huyo mama hanihusu mbna ningemnyooshaa.Itakuwa kumkosea heshima eti [emoji848]
Hizo ni tabia mbaya mtu mvuta bangi ,mnywa pombe waga wanavijitabia wakilewa wengine husahau familia zao ,hela yote anamaliza kwenye pombe au nikuulize wewe binti yako utaeza muoza kwa mwanaume mwenye hizo character??Wapo wavuta bangi na wanywa pombe si malaya. Umalaya ni hulka, wala haichochewi na vitu tajwa.
Swala la kuwafundisha watoto, wapo walimu watamsaidia. Tupo ambao wazazi wetu hawajui hata 'a' wala 'be' lakini walitusimamia kisawasawa.
Si vema sana kumkatalia mwanao kuolewa kwa sababu tajwa hapo juu. Kama kaacha bangi na pombe, basi yupo vizuri. Maisha ya kawaida si hitimisho. Watapambana watajenga yao.
Sawa kaeni muda kidogo uone kama kweli kaacha hivyo vilevi na haigizi...mimi nataka kwanza mahusiano wala sina haraka ya ndoa, ni mama tu anapeleka mambo mbele
pia kinachofanya nimpende, ni upendo yeye amenipenda nimerudisha upendo na hio ni sheria yangu tangu zamani... amenionyesha upendo kipindi ambacho nimeuhitaji sana
nmeshamshirikisha mamdogo/bamdogo/dada na shangazi wote na wameongea nae jibu ni moja wao hawaoni shida yoyote kwa kijana wanataka kumpa muda ajithibitishe wanashangaa kwanini mama kama anaona anayoona asimuite akasema nae au kwanini asiche muda uongee,kama hata mimi sina haraka ya kuzaa/kuolewa/kuishiAsiefunzwa na mamaye hufunzwa na Ulimwengu, aliemtanguliza kukuonyesha jua anakwambia achana na hii takataka umeng'ang'ania wembe ukishakukata unarudi tena kwa mama unakua ushajikata na wembe, mwanakulitafuta mwanakulipata endelea na huyo Kiranga komo yakikukuta usiseme hukuambiwa
Msikilize mama yako ukiumwa maututi yeye ndie atakaekua anakupikia uji nyumbani na kukuletea hospitalinu sio hilo kulumbembe kashalistukia liweke pembeni wamama wanaona mbali usimdharau mama yako ipo siku utajuta utasema mama aliniambia Mimi
Juu nimesema umsikilize Mama Ila nilipofika hapa naomba umshirikishe mtu mwingine Shangazi, Mama mdogo au Mkubwa km wapo emu jaribu kuwashirikisha Jambo lako na wao waone je kweli mama yupo sahihi au kuna Jambo nyuma ya pazia ukiona na wao wanasema achana na huyu mtu aseee usibakize mda, watu wana macho na macho ya watu wanaona, haya mfikishe nilipokueleza nenda kwa Shangazi mwambie Shangazi nimemleta mwenzangu km utani tu ampigishe story amfahamu kidogo km kumpigisha interview ndogo kumjua na kumdadisi akitoka mpeleke kwa Mama mdogo au Mkubwa nae ampige interview ndogo amjue amdadisi kidogo, alafu wao wawili watacompare convo zao je anakufaa ikisoma NO hakufai asee usilazimishe utakutana na balaa la dunia huko mbele watu wana macho na macho hua yanaona mbali
Wote kwa pamoja hili suala inabidi mshirikishe na watu wengine ndugu na jamΓ a ili mpate muafaka kua kweli jamaa anakufaa ama hakufai wao wataona km anakufaa au anapretend kwa muda mbele atakugeuka watamshtukia mapema tu unajua mapenzi na moyo wa mtu ni kichaka
Nadhani umalaya ni nature/tabia ya mtu binafsi. Maana wapo wasio walevi au wavitaji, ila ni Malaya first grade.Hata mimi nisingekuozesha yaani mwanaume an a kunywa pombe, bangi ,sigara mie hapana wanakuaga malaya mno
Afu pia wewe umeishia olevel na yeye olevel watoto wenu nani atawafundisha?
Huwa nadhani sisi wanaume ndio huwa tunatafuta wenzi, na nyie wadada mnatafutwa. Ana umri wa miaka 28, ameshasema wenye elimu wanamkataa, tokea akiwa early 20's. Soon at turn 30, then awe more stressed and depressed. Think like a woman in this.Tafta hata mkaka mwenye diploma mtoto enu apate rolemodel awe inspired kusoma kwa bidii
Mapenzi ni hisia, why asitangulize hisia mbele?Usitangulize hisia mbelembele
Hapana. Kama ni ulevi uliopitiliza kamwe sitoweza. Ila kama ni mnywaji, Inshallah!. Uvutaji wa bangi ni BIG NO.Hizo ni tabia mbaya mtu mvuta bangi ,mnywa pombe waga wanavijitabia wakilewa wengine husahau familia zao ,hela yote anamaliza kwenye pombe au nikuulize wewe binti yako utaeza muoza kwa mwanaume mwenye hizo character??
For me character count a lot ,sinaga ile atabadilika sijui akishanioa atabadilika wanabadilikaga for a mins once akikua mwendo ni ule ule
Kuna mifano kibao tu
Na hio Olvel tulioishia ni maisha tu sio kwamba ndo 0 brain..Wapo wavuta bangi na wanywa pombe si malaya. Umalaya ni hulka, wala haichochewi na vitu tajwa.
Swala la kuwafundisha watoto, wapo walimu watamsaidia. Tupo ambao wazazi wetu hawajui hata 'a' wala 'be' lakini walitusimamia kisawasawa.
Si vema sana kumkatalia mwanao kuolewa kwa sababu tajwa hapo juu. Kama kaacha bangi na pombe, basi yupo vizuri. Maisha ya kawaida si hitimisho. Watapambana watajenga yao.
Basi sawa mi nimejisemea tu mkuu wangu πππNadhani umalaya ni nature/tabia ya mtu binafsi. Maana wapo wasio walevi au wavitaji, ila ni Malaya first grade.
Wapo wazazi ambao hawakusoma, ila watoto wao walifika mbali kielimu, ndio maana kuna shule na tuition. Wazazi wanatakiwa wawe committed kuhakikisha watoto wanapata elimu.
Huwa nadhani sisi wanaume ndio huwa tunatafuta wenzi, na nyie wadada mnatafutwa. Ana umri wa miaka 28, ameshasema wenye elimu wanamkataa, tokea akiwa early 20's. Soon at turn 30, then awe more stressed and depressed. Think like a woman in this.
Alaf kingine, elimu inawafanya watoto wapate roles model tofauti tofauti. Kati ya watoto 10, unaweza usipate hata mmoja atakayekwambia role model wake ni baba/mama yake.
Mapenzi ni hisia, why asitangulize hisia mbele?
Tatizo Huwa mnaongea sana na wazazi wenu Hadi mnakoseaana vuta bangi/pombe
-Hajui kuvaa sio mtanashati
- aliwahi kuishi na mwanamke
-anatoka familia ya kawaida kama yetu kwahiyo hafai hatanisaidia chochote
- hana mvuto mbele za watu
-hana Cv nzuri hata nikimtambulisha
- anahisi kaniroga ndo mana nmekua nae kimahusiano
-kwanza anakaa maeneo ya karibu na nyumbani
mwambie maisha yanataka "humble beginnings". Pengine atakuelewaNa hio Olvel tulioishia ni maisha tu sio kwamba ndo 0 brain..
Umalaya hio Cv hana na mpaka mama mwenyewe anajua
nilichoona mama ana Matarajio makubwa mno juu yangu ambayo yeye hakuyatimiza anataka niyatimize anaona kama namfelisha
Sawa mwali wetu mtarajiwa follow your heart but also take your brain with youNa hio Olvel tulioishia ni maisha tu sio kwamba ndo 0 brain..
Umalaya hio Cv hana na mpaka mama mwenyewe anajua
nilichoona mama ana Matarajio makubwa mno juu yangu ambayo yeye hakuyatimiza anataka niyatimize anaona kama namfelisha