Mama hamtaki Mpenzi wangu

Mama hamtaki Mpenzi wangu

Hata mimi nisingekuozesha yaani mwanaume an a kunywa pombe, bangi ,sigara mie hapana wanakuaga malaya mno

Afu pia wewe umeishia olevel na yeye olevel watoto wenu nani atawafundisha? Tafta hata mkaka mwenye diploma mtoto enu apate rolemodel awe inspired kusoma kwa bidii

Usitangulize hisia mbelembele
Kumbe mimi na haka ka degree kangu ni dili sana mtaani sio?..
 
Mimi ni mwanaume lakini nakushauri Usikimbilie ndoa kiasi kwamba ukalazimisha kuolewa na mwanaume asie faa kwa kuhofia umri unaenda, ukijiheshimu mwanaume huwa anakuja tu hata ugonge 40y/o

unaweza kuharakisha ndoa na mtu wa ajabu akakurudisha hatua nyingi nyuma na akakuongezea matatizo kiasi kwamba akakuharibia ndoto zako na ukaishi kama binadam aliejikatia tamaa maisha yako yote.

kila binadam ana mapungufu ila usikubali kuolewa na mtu ambae ana mapungufu ya kujiendekeza.
wasichoelewa wengi mimi sifosi ndoa
wala chochote mimi nataka mahusiano yangu nifanye mambo yangu kwa amani.. mpaka ntakapoona sasa tusonge mbele ya kubadilika yamebadilika, ya mapungufu nmeweza kuyavumilia sasa naweza piga hatua ndo hapo sasa itakua rasmi na maushauri kama haya nipewe.
ila sasa mama amekua kama kipa alie utokea mpira katikati ya uwanja manake haujafika hata golini.. yani yeye ndo anapeleka mambo mbele
 
Tatizo wazazi wa kibongo ni miungu watu na wanaamini wako sahihi kila jambo.

Miaka 28 ilibidi uwe unamwelekeza mwanao ona sasa ndo kwanza unapangiwa maisha.

Wewe olewa
 
princess ariana [emoji4][emoji112]

Anyone who raised by narcissists parents there's only one way to handle them while maintaining your sanity..You set hard boundaries and reduce contact[emoji3192]

But Hakuna Mzazi anaependa kuona Binti ake/Kijana wake anaolewa/kuoa mtu wa ovyo..jiulize mwenyewe ukija kupata ndoa na kujaaliwa watoto utaruhusu binti yako aje kuolewa na mvuta bange?mlevi? with a literaly bad Cv[emoji848]

Take a second and breathe..It sounds like your Mom honestly want what is best for you[emoji847]

Even if she is expressing that in a way that is maybe not healthy or conducive to continuing forward..all in all the ball is on your court[emoji3192]
Thanks
mama ni wale wamama wanacontrol mambo, Sitapenda aolewe na mtu wa hovyo ila mimi nmeishi maisha yakutosikilizwa hilo limenifanya nitamani sikumoja nikipata mtoto chochote atakachofanya akiwa mtu mzima ntamuuliza kwanini unafanya haya, umepitia nini na zipi sababu?? akisema ntajua kwanini anafanya anachofanya kabla sijamhukumu na ntampa muda kwasbabu ukitaka Mungu atende sawasawa na mapenzi yake inabidi usubiri kisicho chako huwa hakidumu
 
wewe uko ndani ya game yaani na bado upo foolish age ,nyege kibao .

Mzazi wako ana experience na ni kama kocha kwa nje anajua wapi afanye marekebisho sasa wew leta ujuaji , Ndoa sio kitoto .

Mtu anatumia mavitu ya ajabu we unaona bado yupo sawa kweli[emoji848]
tatizo mna complicate mambo wapi nmesema naolewa???
nani kakwambia nna nyege??
kwahiyo ushauri wako katika yote nilioongea umeona useme hivyo
 
Mimi hizo radhi washanipa sana lakini naendelea shwari kabisaa. Unafiki au kufanyiwa jambo ambalo silipendi au silitaki huwa sikubali nitaruka na mtu yeyote yule.
Hapo sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Binafsi nina kiwango kikubwa cha kuweza kustahimili mambo. Hata kama litakuwa baya au kubwa kiasi gani


Nimewahi kusikia kuna watu hawawezi kukaa na siri mbili, akipata siri mpya ile ya zamani lazima aitoe ile ya zamani

Nahisi wewe ni mmoja wao [emoji28][emoji28]
Kuna utofauti wa siri, na unafikii babu unachanganyaa wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
 
wasichoelewa wengi mimi sifosi ndoa
wala chochote mimi nataka mahusiano yangu nifanye mambo yangu kwa amani.. mpaka ntakapoona sasa tusonge mbele ya kubadilika yamebadilika, ya mapungufu nmeweza kuyavumilia sasa naweza piga hatua ndo hapo sasa itakua rasmi na maushauri kama haya nipewe.
ila sasa mama amekua kama kipa alie utokea mpira katikati ya uwanja manake haujafika hata golini.. yani yeye ndo anapeleka mambo mbele
dah sawa basi kuwa na msimamo mwenye maamuzi ya mwisho ya maisha yako ni wewe mwenyewe mama kaamua kuwa mshauri mkuu tu
 
nilishawahi kukutana na situation kama hiii aisee mamkwe alidai natumia pombe na bangi ila mke wangu aliniamini na kunipenda
kufupisha tu story mama mkwe ananitegemea na anajutia aliyokuwa anayasemaisee ni miaka kumi sas
Mungu awazidishie zaidi.
Tatizo Huwa mnaongea sana na wazazi wenu Hadi mnakosea
Yani afadhali ningekua namwambia yani kayajua tu mwenyewe
Sawa mwali wetu mtarajiwa follow your heart but also take your brain with you

Kila.la heri dia 😘😘
Thanks Dada
Mkuu, tunaingia kwenye mahusiano na watu ambao ni sisi ndio tunawaelewa na kuwafahamu undani wao. Kisha ndio tunawashirikisha wengine, mfano wazazi na familia.

Wewe ndio unamfahamu huyo jamaa Kwa undani sana. Ni mlevi, mvuta bangi ila still umemkubali, may b kuna vitu ambavyo umeviona kwake.

Ni ngumu kuolewa nae kama mama yako hataki, lakini pia ni ngumu kuachana nae kama moyo wako ndio umemchagua.

Nakushauri usipingane na Mama yako, lakini pia usikubaliane nae. Kwasasa hairisha ilo zoezi la utambulisho au urasimishaji hayo mahusiano yenu. Endeleeni hata kwa Siri, huku ukitafuta namna nzuri ya kuweza kumuaminisha Mama yako kuhusu huyo jamaa. Lakini pia itakupa muda zaidi wa kuendelea kufahamiana nae, maana miezi mitatu uliyojuana nae ni michachr mno, na ni rahisi mtu kuigiza.

With time, mkiwa serious ni rahisi mama kuwaelewa
mi kuna vitu nmeona kwake ila nikisema ntaambiwa mpenzi yamenipofua kama mama anavyosema kijana kaniroga .. ila ngumu kuachana na mtu unaeamini kipo kitu ndani yake pia ngumu kutomsikiliza mzazi ndo mana niko njia panga japo mi nmeweka wazi kuwa hata akifanyaje madamu sijazaa nae wala hajanioa hata nikigundua jambo tukaachana its okay sio jambo la ajabu kwangu mana maisha ni kusonga mbele kwa mbele siwezi kuacha kuchukua chance au kujaribu kisa tutaachana au yatanikuta makubwa, mi nmechukua tahadhari zangu mengine namuachia Mungu ila mama hataki haelewi
Samahani princess ariana mnaishi na Baba au ni single parent family? Hapo kuna kitu hakipo sawa kwa Mama yako na inawezekana kama familia yenu ni single parent family huyo Mama yako nae ana hisia za kimapenzi kwa huyo mwanaume wako.
wala baba yupo, sema mama angu ni mtu wakucontrol mambo hata baba huwa haongei sana mana akiamua jambo mama kaamua
siku akiamua kutucharukia na baba anatucharukia haswa.. mzee wangu yeye huishia kusema mama ako anazeeka vibaya! na hili swala wala halijui na simwambii mana sinafikia hatua hizo za kutambulisha.
Kwa hio hakuna mtu mwingine anaeweza kumshauri mama abadirishe maamuzi yake kwamba kijana yumempa muda wa kumuangalia tumemuona, mjomba (kaka wa mama) mmemshirikisha maana kuna tamaduni mjomba akisema NO ni big NO hata ufanye nini mjomba akikugomea ndio imetoka hio kaka wa mama yako amesemaje km Shangazi yako amesema ndio mjomba anasemaje ili aongee na dada yake hapo waweke Mambo sawa,
ubaya mama ndo mkubwa kwao, wajomba wamezaliwa mwishoni japo kwasasa sioni sababu ya kuanza kumpanga mjomba.. kinchoniudhi ni kuniingilia tu
wakati ukifika ntamtafuta mjomba kama nikijiridhisha kwamba huyu ndiye
Dear we km na huyo shemela mnapendana na mmeweka malengo ya dhati juu ya maisha yenu kwa pamoja endelea kuwa nae, achana na mbambamba za mama, kikubwa wee ni mtu mzima na unajua nn unafanyaa.

Mama mpe heshima yake km mzazi, mambo yako binafsi uamuzi uko kwako na ni haki yakoo. Kumbuka kuwa huyo jamaa unampenda wee na sio yeye, na hata kuishi utaishi nae wee sio yeye, na hata ya ndani zaidi utayajua wee sio yeye.

Kuwa huru na moyo wako kufuata hitaji lako lilipo, usiishi kwa kutaka kumridhisha huyo mama yako utapata tabu sanaaa, mambo mengine usikubali yeye atie mkono wake atakuharibia mipango yako.

Pambania furaha yako wee mwenyewee, sio kupambania furahaa ya mama yako, hilo ni yake yeye.

Nakusisitiza, fuata moyo wako, maisha ni vile wee unaamua, maisha yako binafsi ni juu yako ni hakii yakoo, hupaswi kuingiliwa.
Asante ndugu yangu msiache kunipa ushauri mana nmekwama sana na hii njia panda mana hao anaowataka nimepita huko ila mwisho wanaanza oh hujasoma oh kwenu kawaida sana sioi ila mtoto wa watu kajicommit ndo kama hivyo
Sio rahisi kuongea kwa ukali na Bi Mkuwa au Mzee, unahitaji busara mno kuweza kuongea naye vitu ambavyo tayari wana majibu yao
we acha tu
Kama mama anataka mme msomi mwenye hela na hadhi angemwandaa alafu akuozeshe .miaka 28 unasubiki msomi na mwenye hale itafika hatua utasema yoyote ilimradi mradi awe anapumua
Ndo nmesema basi anitafutie ndo nimuachd huyu...anasubiri tuolewe na wasomi ambao wanataka wasomi wenzao na wenye kazi zao sisi tunaonekana failure haijalishi una nini ndani yako
 
wewe uko ndani ya game yaani na bado upo foolish age ,nyege kibao .

Mzazi wako ana experience na ni kama kocha kwa nje anajua wapi afanye marekebisho sasa wew leta ujuaji , Ndoa sio kitoto .

Mtu anatumia mavitu ya ajabu we unaona bado yupo sawa kweli[emoji848]
28 ni foolish age??..

Hii mpya hii
 
Kaa vizur na Bi mkubwa wako uongee nae nimewaza nimegundua kunakitu hakipo sawa sababu huwez ku mcrush mtu bila sababu naamini kuna sababu tu mamaako anayo ndomana ana mCrush jamaa yako
Think twice kunakitu hakiposawa either mamaako anamjua huyo kijana kuliko wewe unvyomjua so anajitahidi kukuepusha nae maybe uskute now atakuambia na kukuonyesha kuwa kaacha pombe ila akishakuoa tu ndo balaa litaanza upyaa utaanza kujuta sah sijui utaenda kumlilia mama tena akusaidie wakati alishakuonya na hukutaka kumsikiliza
Lakini mwisho wasiku uamizi ni wako sababu Maisha ni kupanga na kupanga nikuchagua
mi pia naona kuna jambo liko nyuma ya pazia mana kila nikipangua sababu inakuja mpya
mpaka nmemuuliza kijana au nyie mna yenu usikute mlikutana kwa waganga au mnawanga !! akasema hapana
nikamwambia au kuna mtu anachekecha mfumo huu uyumbe?? mana naona sielewi mkazo alio nao mama ni mkubwa kwa mahusiano ambayo kwa sasa hayajafika huko kwa kuoana
 
Mungu awazidishie zaidi.

Yani afadhali ningekua namwambia yani kayajua tu mwenyewe

Thanks Dada

mi kuna vitu nmeona kwake ila nikisema ntaambiwa mpenzi yamenipofua kama mama anavyosema kijana kaniroga .. ila ngumu kuachana na mtu unaeamini kipo kitu ndani yake pia ngumu kutomsikiliza mzazi ndo mana niko njia panga japo mi nmeweka wazi kuwa hata akifanyaje madamu sijazaa nae wala hajanioa hata nikigundua jambo tukaachana its okay sio jambo la ajabu kwangu mana maisha ni kusonga mbele kwa mbele siwezi kuacha kuchukua chance au kujaribu kisa tutaachana au yatanikuta makubwa, mi nmechukua tahadhari zangu mengine namuachia Mungu ila mama hataki haelewi

wala baba yupo, sema mama angu ni mtu wakucontrol mambo hata baba huwa haongei sana mana akiamua jambo mama kaamua
siku akiamua kutucharukia na baba anatucharukia haswa.. mzee wangu yeye huishia kusema mama ako anazeeka vibaya! na hili swala wala halijui na simwambii mana sinafikia hatua hizo za kutambulisha.

ubaya mama ndo mkubwa kwao, wajomba wamezaliwa mwishoni japo kwasasa sioni sababu ya kuanza kumpanga mjomba.. kinchoniudhi ni kuniingilia tu
wakati ukifika ntamtafuta mjomba kama nikijiridhisha kwamba huyu ndiye

Asante ndugu yangu msiache kunipa ushauri mana nmekwama sana na hii njia panda mana hao anaowataka nimepita huko ila mwisho wanaanza oh hujasoma oh kwenu kawaida sana sioi ila mtoto wa watu kajicommit ndo kama hivyo

we acha tu

Ndo nmesema basi anitafutie ndo nimuachd huyu...anasubiri tuolewe na wasomi ambao wanataka wasomi wenzao na wenye kazi zao sisi tunaonekana failure haijalishi una nini ndani yako
Pole sana Miss ushauri wangu Wewe simamia kile unachokiamini na hakuna kitu kinachodumu kama hakina changamoto. Hizo ni changamoto tu na hawa Mama zetu wa kiswahili wana shida sana. Yameshanikuta mengi sana na Mama mzazi tena ni magumu mno, nikaamua kukaa Kimya tu na kuendelea na mambo yangu. Mbona yeye mwenyewe alijigundua kanikosea sana na akaniomba sana msamaha. Na mimi huwa sihifadhi chuki moyoni maana chuki ni uchafu wa roho. Endelea na mshikaji wako kama kawaida na kama una nafasi kila Jumatatu na jumatano uwe inasikilizwa radio TBC taifa kuanzia saa 5 usiku utafaidika na mengi sana.
 
Back
Top Bottom