Mama hamtaki Mpenzi wangu

Kuna wengine humu ni wapuuzi tu na huwa wanatumia uhuru wao wa kutoa maoni vibaya. Maisha ni yako na Nyege ni zako achana na watoto ambao bado wanakula chakula cha Wazazi wao
Yani kanichosha sana mana hayo maswala sijayaongelea hata
 
Baba yako wa kisirisiri huyo.
 
Umeona tatizo lilipo? Hataki na biashara?Mamaako anataka udode

Mamaako sio mtu mzuri kwako

Piga chini olewa atajijua mwenyewe na mawivu yake[emoji57][emoji57]
 
Mamaako anakuonea wivu.... wanawake Wana shida sana

Baba yako yuko wapi?
yupo hapa
ila hajui hili swala mana ni mahusiano tu

ila tu kuna mda akiamua kuturopokea mambo na baba anatujumlisha wote kwamba tunaroho mbaya pale tunaposema haki kuhusu mwanae kipenzi wa kiume ambae hakosei kwenye macho ya mama ake.
anatuambia mimi na baba tunaroho mbaya sana kuingilia maisha ya mwanae
basi mzee wangu anaishia kusema "mama ako anazeeka vibaya"
mana mama akiamua jambo kaamua since day one na anajisifu kabisa kwamba yeye akiamua kaamua
ndo tunanyamazaga na mshua wangu hatuna jinsi
 
Usikute huyo ni kaka yako kwa namna moja au nyingine.
Anaweza kuwa baba wa kambo pia kama mama siyo mzee sana (hapa utanisamehe kwa mawazo haya).
Kingine kuna akina mama wanataka mambo makubwa na sifa kwa majirani.
Inawezekana kuna magonjwa au tabia mbaya za kurithi kwenye familia ya huyo kija, mama anaijua historia yao.
Mwisho fanya maamuzi sahihi kulingana na nafsi inavyo kuambia ila ukumbuke wazazi wanaleta mkosi kwenye ndoa ya watoto wao waliyo ikataa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…