Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
nitalifanyia kazi mkuu
Pole sana Miss Ariana, kumbuka kila mtu anapitia changamoto zake lakini wakati mwingine hili unalopitia usiruhusu liuteke sana ufahamu wako. Wengi humu wamekupa ushauri kwa utashi wao lakini hawana uzoefu na hawajapitia hali ngumu za kihisia kama unazopitia wewe kipindi hiki. Endelea kusonga mbele na maisha yako lakini huyo Mshikaji wako endelea nae usimuache kwa sababu ya maneno ya Mama yako .