Njou
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 753
- 342
Anatumia jina ghan insta
Open kitchen
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatumia jina ghan insta
i think lets focus kwenye kile anafanya kitupe furaha, kuhusu hayo anafanya kujipa yeye na mumewe furaha (pamooja na kurusha picha insta) sidhani kama ni muhimu sana!!Aki mwanamke ni zaidi ya muonekano Wa nje....ila haihitaji kujionesha Instagram(in Dai's voice,I insist, HAPENDEZI
Labda ana mke mwenza wanashindana nani nani.
Au katoka kamata mwizi wake
Ahsante jirani.
Nana ndio ulikua wimbo wa kuingilia.
Aki mwanamke ni zaidi ya muonekano Wa nje....ila haihitaji kujionesha Instagram(in Dai's voice,I insist, HAPENDEZI
hahaha data sio chai bwana au kwa vile hukualikwahii sasa chai......
Alinipikia kwenye harusi yangu.Sitomsahau
Habari ndio hio,ukisoma comments kwa sinta inaonyesha kuna mtu anaugomvi nae yeye anatumia Insta kuprove her marriage is okei
She is trying so much to prove it inaonyesha hana furaha
Kuna kipindi alifuta pic zote za mumewe na akawa anarusha vijembe
Mungu kamjaalia mkono wa kupika hilo salute na anajikubali mwenyewe na ubonge wake....
Unaweza nieleza vyakula vyake vina maajabu gani. Ule uzi wa juzi wakati wanamsema nikaingia IG kumfahamu, nikakuta anapika mapishi ya kawaida sana. Mtu anapost michicha, burger za kawaida, mishikaki, mchemsho wa nyama anaoneakana fundi. Sioni maajabu mbona.Me nikiangalia tu anavyopika mahanjumat afu nikicompare na michemsho yangu, nabaki tu kubatasamu
Habari ndio hio,ukisoma comments kwa sinta inaonyesha kuna mtu anaugomvi nae yeye anatumia Insta kuprove her marriage is okei
She is trying so much to prove it inaonyesha hana furaha
Kuna kipindi alifuta pic zote za mumewe na akawa anarusha vijembe
Mungu kamjaalia mkono wa kupika hilo salute na anajikubali mwenyewe na ubonge wake....
Hi there. Miss you.Me nikiangalia tu anavyopika mahanjumat afu nikicompare na michemsho yangu, nabaki tu kubatasamu
MmeanzaKaolewa na mwanae (ben10) sasa hakuna cha Baba Imani wala masaji kupendana kumbe alikua anafukia mashimo
Kuna watu wanajiona wao walivyoshika pesa uzeeni Basi na wengine vivyo hivyo..😂😂😂msicomment kuhusu watu kuwa mnawajua!!
huyo ana hela toka mamake anabeba mim a ya kuzaliwa yeye!!!
kwa taarifa zaidi uliza nini maana ya kuwa na duka la duty free Airport miaka ya Tisini!!!
Unaweza nieleza vyakula vyake vina maajabu gani. Ule uzi wa juzi wakati wanamsema nikaingia IG kumfahamu, nikakuta anapika mapishi ya kawaida sana. Mtu anapost michicha, burger za kawaida, mishikaki, mchemsho wa nyama anaoneakana fundi. Sioni maajabu mbona.
Heaven Sent
Huu ujumbe ni wa mwaka gani? Watu wanaona mbali sana....Wallah Huyu Dada Anapika na Ni Hardworking (Kwa Hill Namsifu)Then Pamoja Na Ubonge Wake A see Anajua Kucheza Muziki Mzuri...
Let's get back to the point, ananiudhi huyi huyu Dada,You know kuna vitu ukiwa Bonge Sana Kama Mimi na Yeye(😂😂😂😂😉hutakiwi kuvifanya,Kuweka picha za Mashauzi Instagram Eti Mara Anafanyiwa Massage na mmewe,Mara Wanaoga,Mara Afanyiwa Pedicure,I hate That,Acha Mama Iman,You Don't Have to prove to people that you are in a Happy Marriage,Only you,your heart and your partner know...
Nakupenda though..am not a hater,ila am telling you watu wanakuchora na wanakusifia kichina..#okbye
Hi there. Miss you.
wanatuonea wivu vibentenMmeanza