Unafiki uko wapi ?Unafiki mtupu
Hawezi kuwa na unafiki, ila uwoya dunia itamfunza na umalaya wakeUnafiki mtupu
Ndiku naye alikurupuka unaoaje mtu humjui ila karma haiwaachagi watu salama, hatujui naye mama mtoto wake wa kwanza alimwachajeHawezi kuwa na unafiki, ila uwoya dunia itamfunza na umalaya wake
Punguza utaahira basi.Unafiki mtupu
Tamaa ya kuoa wanawake wazuri, ila irene uwoya ana gharama kubwa ya kulipa, hawezi kuwa na amani maisha yake yote karma is a bitchNdiku naye alikurupuka unaoaje mtu humjui ila karma haiwaachagi watu salama, hatujui naye mama mtoto wake wa kwanza alimwachaje
Mama wa Irene Uwoya ameangua kilio kwa kufiwa na Ndikumana Hamadi Katauti na amesema ni mkwe wake kipenzi na alikuwa kama mwanawe na bado walikuwa wakiwasiliana na juzi alikuwa anawasiliana nae na kumwambia awe na subira na kuwa atavumilia yote ya dunia lakini atakuwa mwane mwanzo mwisho mapaka anaingia kaburini na kusisitiza alikuwa akimpenda sana
View attachment 631273
Hivi kati ya Mama Mkwe na Mwenye Mume nani anapashwa Kulia na Kusikitika sana? Anyways R.I.P Ndikumana na poleni nyote mlioguswa na Msiba huu mzito kabisa.