Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji15] [emoji15]Jamani pole yake
Well hiyo kichwani ni less wigi ama nywele yake org?
[emoji15] [emoji15]
Anayepaswa kulia na kusikitika ni yeyote alieguswa zaidi na huo msiba haijalishi mama ni mama mkwe au mwenye mume.... Hujakutana na ile unakuwa na uhusiano na mwanamke, baadaye mnaachana kwa ugonvi mkubwa kabisa lakini ndugu zake wanakuwa upande wako na wanaendelea kukuheshimu.Hivi kati ya Mama Mkwe na Mwenye Mume nani anapashwa Kulia na Kusikitika sana? Anyways R.I.P Ndikumana na poleni nyote mlioguswa na Msiba huu mzito kabisa.
asije akafa kama mama zarimzazi hawezi kuwa mnafiki namna hii, irene umalaya utakutokea puani, karma is always a bitch
mm nasema Dogo janja ni MJINGA SANAAsa hii akiiona Dogo wa Ngarenaro atajisikiaje?
Ndiku naye alikurupuka unaoaje mtu humjui ila karma haiwaachagi watu salama, hatujui naye mama mtoto wake wa kwanza alimwachaje