Mama J, shabiki wa Yanga

Kwan huko kwenye hotel wanaopika chakula
Na kuonja kabla uletewe hawa Kwan hawachez na mic??
Astaghafirulaah .....ptouh.
Miaka mingi Sasa sili kwa mama ntilie nadhani Mara ya mwisho ilikua 2002 kule kurasini. Hapo Ni kabla sijajua mbinu zao chafu.
 
Astaghafirulaah .....ptouh.
Miaka mingi Sasa sili kwa mama ntilie nadhani Mara ya mwisho ilikua 2002 kule kurasini. Hapo Ni kabla sijajua mbinu zao chafu.
Hee hee Lakin ukiacha hao mama
Ntilie hata kwa wahudumu mfano
Madukan yani Mambo mengi bas
Tu ukimchunguza bata huwez mla
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…