FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
Ni katika nyumba ya kupanga moja hapa mjini Dar.
Kuna mama ana watoto wawili mmoja wa kike mzima mmoja ni uyo mlemavu nae ni wa kike anamfungia mwanae ndani kisa hawezi kutembea ni mwaka sasa mtoto hajaliona jua zaidi ya kusikika akilia tu.
Je, hii ni sahihi huwa naumia sana nikisikia sauti ya huyo mtoto akilia ndani.
Nawashilikisha wana Jamiforums wenzangu muweze kuona changamoto wanazopitia walemavu.
Kuna mama ana watoto wawili mmoja wa kike mzima mmoja ni uyo mlemavu nae ni wa kike anamfungia mwanae ndani kisa hawezi kutembea ni mwaka sasa mtoto hajaliona jua zaidi ya kusikika akilia tu.
Je, hii ni sahihi huwa naumia sana nikisikia sauti ya huyo mtoto akilia ndani.
Nawashilikisha wana Jamiforums wenzangu muweze kuona changamoto wanazopitia walemavu.