Mama jirani yangu anamfungia ndani mwanaye mwenye ulemavu

Mama jirani yangu anamfungia ndani mwanaye mwenye ulemavu

Wewe jamaa isije ikawa tunakaa mtaa mmoja maana namimi kwangu kuna hiyo shida mzee.hadi naogopa
Weka hapa JF.
Jina la mkoa:
Jina la kata:
Jina la mtaa:
Maelekezo ya jinsi ya kufika kwa urahisi kwa huyo mama kutokea sehemu maarufu mtaani (eg shule/kanisa/hospitali).
Jina (maarufu) la huyo mama. Eg mama Jaki.
Jina na mawasiliano ya balozi wa nyumba kumi au kiongozi yoyote wa mtaa.
Hapo utakua umemaliza kazi yako, wahusika watamfikia kwa uzuri tu.
Kinoamiguu
 
Ni katika nyumba ya kupanga moja hapa mjini Dar.

Kuna mama ana watoto wawili mmoja wa kike mzima mmoja ni uyo mlemavu nae ni wa kike anamfungia mwanae ndani kisa hawezi kutembea ni mwaka sasa mtoto hajaliona jua zaidi ya kusikika akilia tu.

Je, hii ni sahihi huwa naumia sana nikisikia sauti ya huyo mtoto akilia ndani.

Nawashilikisha wana Jamiforums wenzangu muweze kuona changamoto wanazopitia walemavu.
Siyo sahihi,huu ni ukatili na ukiukaji wa haki za mtoto.Kwa kumsaidia nenda ustawi wa jamii utoe taarifa au nenda serikali za mtaa.Msaidie huyo mtoto ndugu yangu.Au nikutafutie namba ya mtu fulani asaidie?
 
Siyo sahihi,huu ni ukatili na ukiukaji wa haki za mtoto.Kwa kumsaidia nenda ustawi wa jamii utoe taarifa au nenda serikali za mtaa.Msaidie huyo mtoto ndugu yangu.Au nikutafutie namba ya mtu fulani asaidie?
Kama utaona itapendeza sawa mkuu
 
Kwamba lazima alione jua
Soma hiyoooo
Screenshot_20210710-100620.jpg
Screenshot_20210710-100456.jpg
 
Nilishasema hapo juu kuwa kama ana umri wa kwenda shule na haendi hilo ni kosa ila kama yuko chini ya umri huo ni ngumu kumtia mzazi hatiani,nimesoma hapo sijaona sehemu kuwa ni lazima alione jua
Kwa hiyo UBAGUZI wewe huuoni?
 
Kosa liko wapi kama ana umri chini ya miaka mitano hakuna kosa mkuu.kosa ni kutompeleka shule kama ana unri wa kuanza shule
Mjinga wewe hujui hata faida za kiafya za kumruhusu mtoto atoke nje achangamane na wenzake.Huoni kama kumfungia tu ndani kuna muathiri kimwili na kiakili?.You are pathetic fool,
 
Mjinga wewe hujui hata faida za kiafya za kumruhusu mtoto atoke nje achangamane na wenzake.Huoni kama kumfungia tu ndani kuna muathiri kimwili na kiakili?.You are pathetic fool,
Taratibu dada rose acha kupanic ,haya tuendelee unasemaje
 
Weka hapa JF.
Jina la mkoa:
Jina la kata:
Jina la mtaa:
Maelekezo ya jinsi ya kufika kwa urahisi kwa huyo mama kutokea sehemu maarufu mtaani (eg shule/kanisa/hospitali).
Jina (maarufu) la huyo mama. Eg mama Jaki.
Jina na mawasiliano ya balozi wa nyumba kumi au kiongozi yoyote wa mtaa.
Hapo utakua umemaliza kazi yako, wahusika watamfikia kwa uzuri tu.
FK21
Safi
 
Back
Top Bottom