Natamani kufanya je atanichukuliaje anaweza kunirogaFanya mkuu. Mungu atakulipa kwa njia nyingine. Hakuna binadamu anayepaswa kukaa ndani muda wote. Hata kama ni mlemavu ana haki ya kucheza na watoto wengine. Kuna cases nyingi zimeshatokea na watoto walipokuja kugundulika baadae walikuwa wamegeuka na kuwa kama misukule kwa kukaa ndani. Nakumbuka kuona kisa kama hiki. Mtoto alilkuwa anasikika kulia ndani na siku majirani walipovamia wakakuta mtoto amefungwa mnyororo kama mbwa na huwezi kujua tena kama ni binadamu.
Vp kuhusu kutoliona jua mkuu kwa muda huo wote maana jamaa kapanga hapo hajawah kumuona iwe mchana au usikuKosa liko wapi kama ana umri chini ya miaka mitano hakuna kosa mkuu.kosa ni kutompeleka shule kama ana unri wa kuanza shule
Haki ya kucheza kweli ipo ila haki ya kuliona jua ndio naisikia leo,akifika umri wa kwenda shule atacheza na kuliona jua,huenda changamoto yake kwa umri wake ni hatari kuwa njeVp kuhusu kutoliona jua mkuu kwa muda huo wote maana jamaa kapanga hapo hajawah kumuona iwe mchana au usiku
Bado analokosa mtoto anahaki ya kucheza na wenzake pia
Mkuu walau hata kwa siku mtoto apate hewa ya nje hata kwa nusu saa inatosha kumbuka wamepanga chumba kimoja familia yote maana yake vyombo nguo vyote viko humo na ikiwezekana mtoto anajisaidia humo unadhan humo ndan kutakuwa na harufu nzur kwelHaki ya kucheza kweli ipo ila haki ya kuliona jua ndio naisikia leo,akifika umri wa kwenda shule atacheza na kuliona jua,huenda changamoto yake kwa umri wake ni hatari kuwa nje
Kama ni chumba kimoja ni kosa kwa kweli nilidhani ni nyumba kubwa inajitoshelezaMkuu walau hata kwa siku mtoto apate hewa ya nje hata kwa nusu saa inatosha kumbuka wamepanga chumba kimoja familia yote maana yake vyombo nguo vyote viko humo na ikiwezekana mtoto anajisaidia humo unadhan humo ndan kutakuwa na harufu nzur kwel
Binafs naona atapata na maradh mengne Zaid licha ya ulemavu wake
Kwahyo mkuu hilo la kupata mwanga wa jua huoni kama lina umuhimu?Haki ya kucheza kweli ipo ila haki ya kuliona jua ndio naisikia leo,akifika umri wa kwenda shule atacheza na kuliona jua,huenda changamoto yake kwa umri wake ni hatari kuwa nje
Unaishi upanga au kisutu kwenye apartment ghorofa ya kumi na mbili ,jua utalionea wapi, Ni mfano tu.ila nimeona huyu mama ana room moja hapo ni shida fresh air ni muhimuKwahyo mkuu hilo la kupata mwanga wa jua huoni kama lina umuhimu?
Weka hapa JF.Natamani kufanya je atanichukuliaje anaweza kuniroga
Nenda kituo Cha polisi,uliza Dawati la jinsia watakupa ushilikiani wa kutosha.Sawa mkuu nitafanya ivyo jambo ambalo sio zuri majirani wakimshauri mtoe acheze na wenzake hataki
Una maana mtoto mwenye umri chini ya mika mitano haruhusiwi kutoka nje? I mean inatakiwa afungiwe ndani tu? I dont think so! Kwa nini wazazi/mzazi asitoke hata kwa matembezi mafupi? Anapokwenda kwa majirani au dukani kwa nini asiende naye ili na yeye a-enjoy mandhari ya nje na kuona ulimwengu ulivyo?Kosa liko wapi kama ana umri chini ya miaka mitano hakuna kosa mkuu.kosa ni kutompeleka shule kama ana unri wa kuanza shule
Hakuna hiyo sheria ni uamuzi wa mzazi,kuna watoto kule kitumbini na kusutu hawajawahi kuona mbuzi au ng'ombe,wako ghorofani tu muda woteUna maana mtoto mwenye umri chini ya mika mitano haruhusiwi kutoka nje? I mean inatakiwa afungiwe ndani tu? I dont think so! Kwa nini wazazi/mzazi asitoke hata kwa matembezi mafupi? Anapokwenda kwa majirani au dukani kwa nini asiende naye ili na yeye a-enjoy mandhari ya nje na kuona ulimwengu ulivyo?
Anatengwa anafungiwa humo mama anaenda mizunguko kiufupi uyo mama anasubiri mtoto afe tuVp kuhusu kutoliona jua mkuu kwa muda huo wote maana jamaa kapanga hapo hajawah kumuona iwe mchana au usiku
Bado analokosa mtoto anahaki ya kucheza na wenzake pia
Nahofia akijua nmemchomaWeka hapa JF.
Jina la mkoa:
Jina la kata:
Jina la mtaa:
Maelekezo ya jinsi ya kufika kwa urahisi kwa huyo mama kutokea sehemu maarufu mtaani (eg shule/kanisa/hospitali).
Jina (maarufu) la huyo mama. Eg mama Jaki.
Jina na mawasiliano ya balozi wa nyumba kumi au kiongozi yoyote wa mtaa.
Hapo utakua umemaliza kazi yako, wahusika watamfikia kwa uzuri tu.
FK21
Weka hapa JF.Anatengwa anafungiwa humo mama anaenda mizunguko kiufupi uyo mama anasubiri mtoto afe tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri wako haujatumia akili mtaa utanichukuliajeAnzia kwa mjumbe...
Huyo mama anatumia JF?
Wewe jamaa isije ikawa tunakaa mtaa mmoja maana namimi kwangu kuna hiyo shida mzee.hadi naogopaNi katika nyumba ya kupanga moja hapa mjini Dar.
Kuna mama ana watoto wawili mmoja wa kike mzima mmoja ni uyo mlemavu nae ni wa kike anamfungia mwanae ndani kisa hawezi kutembea ni mwaka sasa mtoto hajaliona jua zaidi ya kusikika akilia tu.
Je, hii ni sahihi huwa naumia sana nikisikia sauti ya huyo mtoto akilia ndani.
Nawashilikisha wana Jamiforums wenzangu muweze kuona changamoto wanazopitia walemavu.