TheCrocodile
JF-Expert Member
- May 31, 2021
- 1,199
- 3,307
Weka hapa JF.Wewe jamaa isije ikawa tunakaa mtaa mmoja maana namimi kwangu kuna hiyo shida mzee.hadi naogopa
Siyo sahihi,huu ni ukatili na ukiukaji wa haki za mtoto.Kwa kumsaidia nenda ustawi wa jamii utoe taarifa au nenda serikali za mtaa.Msaidie huyo mtoto ndugu yangu.Au nikutafutie namba ya mtu fulani asaidie?Ni katika nyumba ya kupanga moja hapa mjini Dar.
Kuna mama ana watoto wawili mmoja wa kike mzima mmoja ni uyo mlemavu nae ni wa kike anamfungia mwanae ndani kisa hawezi kutembea ni mwaka sasa mtoto hajaliona jua zaidi ya kusikika akilia tu.
Je, hii ni sahihi huwa naumia sana nikisikia sauti ya huyo mtoto akilia ndani.
Nawashilikisha wana Jamiforums wenzangu muweze kuona changamoto wanazopitia walemavu.
Unaijua sheria ya mtoto ya 2009?Kosa liko wapi kama ana umri chini ya miaka mitano hakuna kosa mkuu.kosa ni kutompeleka shule kama ana unri wa kuanza shule
Kama utaona itapendeza sawa mkuuSiyo sahihi,huu ni ukatili na ukiukaji wa haki za mtoto.Kwa kumsaidia nenda ustawi wa jamii utoe taarifa au nenda serikali za mtaa.Msaidie huyo mtoto ndugu yangu.Au nikutafutie namba ya mtu fulani asaidie?
Kwamba lazima alione juaUnaijua sheria ya mtoto ya 2009?
Ngoja niitafuteKama utaona itapendeza sawa mkuu
Nilishasema hapo juu kuwa kama ana umri wa kwenda shule na haendi hilo ni kosa ila kama yuko chini ya umri huo ni ngumu kumtia mzazi hatiani,nimesoma hapo sijaona sehemu kuwa ni lazima alione jua
Kwa hiyo UBAGUZI wewe huuoni?Nilishasema hapo juu kuwa kama ana umri wa kwenda shule na haendi hilo ni kosa ila kama yuko chini ya umri huo ni ngumu kumtia mzazi hatiani,nimesoma hapo sijaona sehemu kuwa ni lazima alione jua
Mjinga wewe hujui hata faida za kiafya za kumruhusu mtoto atoke nje achangamane na wenzake.Huoni kama kumfungia tu ndani kuna muathiri kimwili na kiakili?.You are pathetic fool,Kosa liko wapi kama ana umri chini ya miaka mitano hakuna kosa mkuu.kosa ni kutompeleka shule kama ana unri wa kuanza shule
Hakuna ubaguzi hapo hiyo ni spesho care kutokana na hali yakeKwa hiyo UBAGUZI wewe huuoni?
Taratibu dada rose acha kupanic ,haya tuendelee unasemajeMjinga wewe hujui hata faida za kiafya za kumruhusu mtoto atoke nje achangamane na wenzake.Huoni kama kumfungia tu ndani kuna muathiri kimwili na kiakili?.You are pathetic fool,
Hujui maana na tafsiri ya UBAGUZI.Sikujibu tenaHakuna ubaguzi hapo hiyo ni spesho care kutokana na hali yake
SafiWeka hapa JF.
Jina la mkoa:
Jina la kata:
Jina la mtaa:
Maelekezo ya jinsi ya kufika kwa urahisi kwa huyo mama kutokea sehemu maarufu mtaani (eg shule/kanisa/hospitali).
Jina (maarufu) la huyo mama. Eg mama Jaki.
Jina na mawasiliano ya balozi wa nyumba kumi au kiongozi yoyote wa mtaa.
Hapo utakua umemaliza kazi yako, wahusika watamfikia kwa uzuri tu.
FK21
Please update ya hili jamboKama utaona itapendeza sawa mkuu