hv kumpoteza mwanao na yule wakukaa miaka 2 ndan inakusaidia nn wewe uliempoteza mwanao mazima !umesoma hesabu gan wewe !
Relief..hata kama marehemu harudi....acheni double standardsLulu kufungwa faida gani kapata sasa uyo maza!
Mungu ataepushia mbali mkwara wako.[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] umeshajichagulia namna unavyotaka ufe
Miaka miwili si mingi tutamuona lulu yuko free. Maskini kanumba ndo alishaoza. Haisaidii kwa kweli..masikini!hata haisaidii
MBITIYAZA mbona kama sio wewe uliyekoment hapo.hv kumpoteza mwanao na yule wakukaa miaka 2 ndan inakusaidia nn wewe uliempoteza mwanao mazima !umesoma hesabu gan wewe !
Ameridhika tu.Mama anaona haki imetendeka
TUISHI KWA KUSAMEHEANA.Mh sasa Kwan ndo atafufuka?
Hapo ndipo maana halisi ya 'sheria ni msumeno' inapojidhihirisha....wakati mama Kanumba akishangilia,mama Lulu anaomboleza!Mama anaona haki imetendeka
Mama Lulu hawezi hata kuembea, miguu haina nguvu kabisaHapo ndipo maana halisi ya 'sheria ni msumeno' inapojidhihirisha....wakati mama Kanumba akishangilia,mama Lulu anaomboleza!
Kwani gerezani kunalingana na makaburini!?
Toto lake jinga linauwawa na kijitu kukojoa kwenyewe mpaka kichuchumae!
Kwa utawala huu kibatala ajiangalie sana na hyo rufaa yakeMama anaona haki imetendeka
hv kumpoteza mwanao na yule wakukaa miaka 2 ndan inakusaidia nn wewe uliempoteza mwanao mazima !umesoma hesabu gan wewe !
Miaka miwili siyo mingi atatoka tuKwa utawala huu kibatala ajiangalie sana na hyo rufaa yake
Anataka kumkatia rufaaMiaka miwili siyo mingi atatoka tu
Watu wengine wapumbavu sana. Mtu anauliza kufungwa Lulu itamsaidia nini mama Kanumba.
Kwa hiyo watu waendelee kuua wakijua hakuna litalowatokea maana wakifungwa marehemu hafufuki?
Kwa maana hiyo kesho akaue mwingine bila kukusudia maana hamna adhabu. Hakuna umaskini mbaya kama wa mawazo!