Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Ni sawa na mtu kakupiga unaenda kumshtakia,je akipigwa na yeye itakuongezea nn.
Kufiwa kusikie kwa jiran tu.tena ukute walijibishana na mama kanumba akakashfiwa mwanae lazima apate faraja hata kama wengine wameumizwa na hukumu
Kufiwa kusikie kwa jiran tu.tena ukute walijibishana na mama kanumba akakashfiwa mwanae lazima apate faraja hata kama wengine wameumizwa na hukumu
hv kumpoteza mwanao na yule wakukaa miaka 2 ndan inakusaidia nn wewe uliempoteza mwanao mazima !umesoma hesabu gan wewe !