Mama Kanumba asema Lulu alimuua mwanae kwenye kipindi cha ‘Cook with Wema Sepetu’; Lulu amblock Wema Instagram. Sababu yatajwa ni kuchangia mabwana

Mama Kanumba asema Lulu alimuua mwanae kwenye kipindi cha ‘Cook with Wema Sepetu’; Lulu amblock Wema Instagram. Sababu yatajwa ni kuchangia mabwana

Mwanamke mzima kujitamba unapendwa na mama wakwe! Hivi haoni aibu? Ina maana anaona sifa kuwa na wanaume wengi, kutoa mimba nako anaona ni kitu cha kawaida sana kukisema hadharani.
Akili zake anazijua yeye.
.
.
Angetumia umaarufu na uzuri wake vizuri angekuwa ana heshimika sana. Anatia hasira angekuwa mwanangu angekula vibao kila siku bila kujali umri wake.
Wema ni bure
Lulu anamzidi wema mbali mno kimaisha
 
Mwanamke mzima kujitamba unapendwa na mama wakwe! Hivi haoni aibu? Ina maana anaona sifa kuwa na wanaume wengi, kutoa mimba nako anaona ni kitu cha kawaida sana kukisema hadharani.
Akili zake anazijua yeye.
.
.
Angetumia umaarufu na uzuri wake vizuri angekuwa ana heshimika sana. Anatia hasira angekuwa mwanangu angekula vibao kila siku bila kujali umri wake.
Macelebrity manamake ya bongo akili zimejaa funza tupu. Mi kuzungumzia tu kutiwa na ex naoanaga kinyaa ije kuwa kutoa mimba na kuringishia eti nilipendwa na mama mkwe,,,pyeeeee mama mkwe kwa ndoa ipi labda😂😂😂😂
 
Macelebrity manamake ya bongo akili zimejaa funza tupu. Mi kuzungumzia tu kutiwa na ex naoanaga kinyaa ije kuwa kutoa mimba na kuringishia eti nilipendwa na mama mkwe,,,pyeeeee mama mkwe kwa ndoa ipi labda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3]
 
Lakin lulu hiyi nyumba aloonesha sio ya kwanza pia
Itakuwa ya pili au ya tatu
Basi yupo vizuri. Kumbe bongo movie inalipa, wema anakwama wapi hataki katuonyesha nyumba yake au hapendi show off
 
Kosa la mama kanumba Ni lipi?
Wema kamuuliza "YEYE KAJIBU"
Huyo mama pia nadhani kuna kitu hakipo sawa kwake.
Mbona mumewe katulia.
Utu uzima dawa ila huyu mama kakosa busara japo tunajua ana maumivu lakini bado hatumii busara .
Muda mwingine kuna mambo ni bora ukae kimya tu.
 
Watu wana roho mbaya sana!

Yule kuna mtu alikuwa anashindana nae ( hamisa) ndo maana kaendaga kujipunguza vile... kingine kupenda utoto kumemcost, akijua eti akipungua atarudi utotoni
Ila papuchi inabaki kuwa Pana vile vile!?
 
Pale wote hamnazo si huyo Wema wala mama Kanumba, huyu wema kabla hajaanza kurusha hicho kipindi angalau angejifunza kitu kuhusu kuhoji sio anakurupuka kuuliza maswali ya kijinga halafu na huyo mama Kanumba mkubwa hovyo kamganda mtoto wa ke mwenzie utadhani Luba, huyu mama kama sio mchawi uzeeni ataroga mtu. Hebu wamuache mtoto wa watu atulie kapitia magumu mengi sana sasa ni muda wa kupimzika.
Huwezi kumpoteza mwanao kama Kanumba tena katika MAZINGIRA yale halafu ujifanye kama hakijatokea kitu.

Imagine mashabiki mpaka wasanii wenyewe wanamMISS seuse mama yake ??

Halafu huyo mama kapatwa majanga makubwa sana mfululizo.

Mwacheni huyo mama awe anazungumza kwasababu inamsaidia kupata relief.

Tatizo la binadamu wanadhani ni rahisi sana kubear matatizo ambayo hata wao uwezo wa kubear hawana.
 
Basi yupo vizuri. Kumbe bongo movie inalipa, wema anakwama wapi hataki katuonyesha nyumba yake au hapendi show off
Unawezaje kuacha kazi inayolipa ???

Kama bongo movie inalipa why hatoi movie tena ???
 
Back
Top Bottom