Mama Kanumba asema Lulu alimuua mwanae kwenye kipindi cha ‘Cook with Wema Sepetu’; Lulu amblock Wema Instagram. Sababu yatajwa ni kuchangia mabwana

Mama Kanumba asema Lulu alimuua mwanae kwenye kipindi cha ‘Cook with Wema Sepetu’; Lulu amblock Wema Instagram. Sababu yatajwa ni kuchangia mabwana

Jamani mji haukosi issue huu..



Katika episode latest ya shoo ya Miss Tanzania 2006, Mlezi wa Wana Originali (akina Shishi wanacopy tu), Wema Abraham Sepetu iitwayo Cook with Wema Sepetu mgeni alikuwa Mama wa Steve Kanumba.

Katika Mahojiano kati ya Wema na Mama Kanumba wakiwa wanapika ndizi, mama Kanumba alisema mwanae aliuawa.

Wema akauliza swali ambalo limempatia lawama kibao. Swali lilikuwa “nani alimuua? Leo nataka ufunguke mama”.

Mama naye hakuwa na kukopesha wala kupindisha akamtaja Lulu kwa jina lake la Serikali - Elizabeth Michael.

Katika inayoonesha ni kuendeleza chokochoko, Wema akaenda kupost clip ambapo Mama Kanumba anasema yeye ndo binti pekee aliyewahi kupelekewa na mwanaye huku akitamba kwamba hajawahi kuchukiwa na mkwe hata siku moja. Yani waja wengine mnaweza kumchukia ila anashukuru alhamdulillah hajawahi kuchukiwa ukweni.

View attachment 1673162

Hii imechukuliwa kama dongo kwa Lulu ambaye maneno mtaani yanadai ndoa yake imepigwa breki na wakwe ambao hawataki kumsikia kwa tuhuma za kuwa mchawi.

Kwakweli jamii ya Instagram haijafurahishwa kabisa na Wema. Amechambwa kushoto, kulia na katikati.

Wananzengo walivyo wachokozi wakaenda kwenye comments za post za Lulu na kumdokeza yaliyojiri.

Majibu ya Lulu ni kama ifuatavyo:

View attachment 1673160

View attachment 1673161


Inaelezwa kuwa Lulu ameshamblock “shosti” wake huyo ambaye juzi kati tu walikuwa wanaitana “babe” kwenye kipindi hicho hicho cha Wema.

Taarifa zisizo rasmi zinadai kamwe Lulu na Wema hawawezi kupatana kwani wameshapita sehemu hizo hizo ikiwemo kwa Kanumba, Mr. Blue, Idris na Majizo.
Nimeshawishika kumwelewa Lulu kwa maneno yake mazito. Kwa umri waliokuwa nao wote wawili wakati wanaanza Mapenzi, ni huruma za serikali tu Kanumba kutolamba miaka 30.
 
Wema yeye kama mtangazaji wa kipindi alikuwa sahihi kuuliza vile vile sababu alikuwa anauliza kwa niaba ya watazamaji na wasikilizaji ambao hawajawahi kujua historia ya jambo hilo jinsi lilivyotokea!

Actually kanuni ndivyo inavyotaka kwa mtangazaji hata kama yeye binafsi anajua juu ya jambo fulani lakini anapaswa kuuliza kwa niaba ya msikilizaji na mtazamaji wa kipindi husika.

Kwa Wema hakufanya kosa lolote!

Kwa kuzingatia kwamba muvi za Kanumba bado zinatazamwa na watu mbali mbali ambao wengine hawajawahi kujua kifo chake kilivyokuwa, hivyo ikitokea fursa kama ile wanapata kujua!

Kwa hiyo Lulu ajikaze tu huenda kwa wakati mwingine hilo jambo likaibuliwa tena asishangae maana Kanumba alikuwa Mfalme wa Bongo Muvi hata sasa hajaibuka wa kumzidi. Labda mzee Majuto !
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]
Binafsi nami sijaona kosa la Wema kuuliza lile swali.. Wema ile ni kazi yake na Kuuliza lile swali amezidi kuwasaidia watu ambao hawajui Kanumba nini kilimuua.
Lulu awe mpole tu.. tatizo ni kwamba anapenda huruma ya jamii sana..
 
😂😂😂😂😂wema ni empty set ndo maana akajikondesha ili arudishe jina la onyinye akidhan atarudisha na ile nyota aliyoichezea

Lulu bana akiwa na yake anapendeza ila akianza nyodo ni shida alishawafananisha watanzania na ndugu wa mume kule Twitter watu wakamjibu asiwafananishe na gubu la ndugu wa majizo daah sijui walijisikiajehao ndugu
Hawajuagi kujiweka low profile yani hao vilaza, wema anavuna alichopanda ukimtizama tu usoni unaiona depression ya ukweli, mume hana, mtoto hana, mvuto kwisha, maisha mvurugiko, na yote kayasababisha mwenyewe
 
Huyo mama pia nadhani kuna kitu hakipo sawa kwake.
Mbona mumewe katulia.
Utu uzima dawa ila huyu mama kakosa busara japo tunajua ana maumivu lakini bado hatumii busara .
Muda mwingine kuna mambo ni bora ukae kimya tu.
Huyu mama ni jirani yangu..naona vijana wa mjini wanamnyandua tu saivi.
 
Sikuwa najua kuwa alishfariki
Ila bado tu atuliege mana hata akiliongelea kila mara haisaidii.
Angenyamaza tu au kupotezea ingetosha
Mume unamaanisha baba kanumba au? Kwani si alishafariki muda ataongea vipi
 
Mwacheni Wema, kukonda hizo surgery zinasaidia kukonda lakini ukitaka kurudi kuwa mnene unaweza sana tu, mfano ni Mbunifu wa mavazi Hasanali alifanya surgery ila sasa hivi ni mnene, mwacheni lifestyle yake km kaamua kuwa mwembamba na kujiongezea umri wa kuishi 😏😏😏😏
Duh, kama huyo Mbunifu keshapitia huko na bado akarudi pale pale basi huyo ameshindikana.
 
Huyu mama kanumba nae akae kwa kutulia kesi na suala la mwanae lilishaisha,

Wema nae mfukunyuku tyuuuh sasa ilihusu nn kuuliza kuhusu kifo cha kanumba msueeeew.

Kuhusu ndoa ya majay na lulu,
Kiisingizio mama mkwe hamtaki lulu, wakati majay amezama, amekufa ameoza kwa penzi la mwanaume mwenzie.
Halllow waleleeeeeh. Mjini patamu sihami ng'ooooh.
 
Huyo mama pia nadhani kuna kitu hakipo sawa kwake.
Mbona mumewe katulia.
Utu uzima dawa ila huyu mama kakosa busara japo tunajua ana maumivu lakini bado hatumii busara .
Muda mwingine kuna mambo ni bora ukae kimya tu.
Mumewe yupi?? Km ni baba yake kanumba mbona alikufa
 
haya mashoo tabu zake wanayoongea yanapangwa kwa asilimia kubwaaa nini kiongelewe.. hakuna cha reality hapo.. michosho tu..
 
Si alitaka kupiga cha fasta. Halafu Kilulu chenyewe kilikuwa kichafuchafu vile halafu mtu ale tigo, duh. Kuna watu wana moyo

sijui ni kwanini naamini hizo alama zilizokutwa kwenye mwili wa Lulu aliwekewa baada ya jamaa kufariki maana kalikimbia eneo la tukio kakaenda kujificha huko
anyway nasikia kapteni tumbo alikipiga sana
 
Back
Top Bottom