Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahahahahahahaahahhhahajajaaajjahahahaaahahahahah
Binamu leo umeniweza, watasema warumi hakuwa mbea alikuwa anasema kweli kabisa, hahahaaha hahaah chezeya
Halafu binamu najiulizaga kweli, ivi mimi nikifa jamii forum itajua? Itajuaje? Naumizaga kichwa kweli, naona wengine member wakifa watu wanajua
Si alikuwa mwimba kwaya marehemu, jamaa alitoka kwenye familia ya kidini, na kweli kanumba alikuwa yupo tofauti sana na vijana wengine, alikuwa na HEKIMA sana na heshima kwa kila mtu, na ndio maana alifika mbali, hayo mambo mengine ni ya kibinadamu, ila kanumba alikuwa anamjua sana Mungu
Mimi pia nimewahi kuwaza hili jambo lakini nikawaza hivi....nitamtafuta ndugu yangu muaminifu nitamuambia user name yangu ya huku kwani hakuna ajuae kesho yake hata siku nikifa awaambie member wenzangu...unaonaje wewe?
Na pia alikua anajua kuwaelekeza jinsi ya kuchezaa movie
Kanumba alikuwa anaweza kumbadilisha muigizaji yeyote kuwa anavyotaka yeye, mfano mzuri ukimuangalia WEMA kwenye movie aliyoigiza na kanumba alikuwa anafanya vizur kuliko akitumiwa na wasanii wengine, mfano mzuri ni ile movie ya POINT OF NO RETURN wema alifanya poa sana ila kwenye movie nyingine huwez hata kumtaman kumuona wema anavyoigiza vbaya, hata wasanii kama BATULI,AUNTY,WOLPER,SHAMSA,AISHA BUI, IRENE PAUL,ZAMDA, ASHA JUMBE,NORA na wasanii wengine walikuwa wakiigiza na kanumba kupitia kampuni ya GAME FIRST QUALITY walikuwa wanafanya poa sana, uwa namis sana VIPAJI vipya alivyokuwa akiviinua kanumba, yani mademu walikuwa wanaigiza vizur hata kama ni ma under ground, we will always honor him for that
Mimi pia nimewahi kuwaza hili jambo lakini nikawaza hivi....nitamtafuta ndugu yangu muaminifu nitamuambia user name yangu ya huku kwani hakuna ajuae kesho yake hata siku nikifa awaambie member wenzangu...unaonaje wewe?
Ni kweli kabisa, especially mtu kama mimi ambaye ID yangu ina umaarufu wa aina yake, siku nikikaa kimya pengine ndo nishaiaga dunia, hakuna atakayejua, wengine watajua warumi kapewa life BAN au kafungiwa, kumbe mwenzao nipo mbele ya haki nikijibu kazi ya umbea niliyokuwa nikifanya duniani
I think wengine ambao hawana undugu au marafiki wowote humu achilia mbali ule undugu wa kupeana maumbea na kuchambana, inabid wa find a way ili kujiwekea walau mazingira ya unifahamu ili chochote kitakachotokea wanajamii wenzio tujue
Kuna wengine wanakufa humu kila siku sema hawajulikani sana so inakuwa kawaida tu
Ndio hivyo binam, we ukifa unataka uwajulishe member wenzio watakusaidia niniiii,utafufuka????
Ni kweli kabisa, especially mtu kama mimi ambaye ID yangu ina umaarufu wa aina yake, siku nikikaa kimya pengine ndo nishaiaga dunia, hakuna atakayejua, wengine watajua warumi kapewa life BAN au kafungiwa, kumbe mwenzao nipo mbele ya haki nikijibu kazi ya umbea niliyokuwa nikifanya duniani
I think wengine ambao hawana undugu au marafiki wowote humu achilia mbali ule undugu wa kupeana maumbea na kuchambana, inabid wa find a way ili kujiwekea walau mazingira ya unifahamu ili chochote kitakachotokea wanajamii wenzio tujue
Kuna wengine wanakufa humu kila siku sema hawajulikani sana so inakuwa kawaida tu
Nyinyi hamna tofauti na kiongozi mkubwa kwenye siku ya mazishi ya Kanumba aliyesema kua ni mfano wa kuigwa. Hivi mtu kama huyu aliyefia katika mazingira ya uzinzi unaweza kuniambia kua anamjua mungu lakini hajui hata amri ya sita inasemaje.
Labda tu ujanijua binamu, mimi nimezaliwa ivi, uwa napenda sana UMAARUFU, napenda sana ATTENTION, napenda nikifanya kitu basi wajue au hivyo napenda sana publicity, japokuwa sio kama ya humu jamii forum, maana hakuna anayenijua wala kunifahamu hata kwa picha, so sipati raha ya kihivyo, japokuwa uwa nafarijika sana umbea wangu umenipa umaarufu humu na kunifanya niwe mtu wa aina yake kati ya watu wengi, napenda sana yani. umaarufu ni raha sana, japokuwa mimi maisha yangu binafsi sio mtu maarufu, ila umaarufu wa ID yangu unanifariji sana na kunifanya nijione mtu wa pekee na wa aina yake humu, yani hivyo
Sio lazima ukipotea atakuja mbea aliekubuhu mwingineee,mimi sion hajaa ,basi siku ukifa niage nitakufyngulia thread
Morinyo please, usisahau kuwa kanumba alikuwa ni binadamu kama walivyo wengine, na hakukamilika, mbona kuna ma padre wanazini, wachungaji mashoga na wauaji, ninachozungumzia ni ile HAIBA yake aliyokuwa akiiinyesha kwa UMMA, alikuwa mtu safi sana, hata kama alikuwa na maujinga yake ila alikuwa anajiheshimu sana na kujisitir na maovu yake
Hivi wewe Warumi unajijua kama wewe mmbea uliyeshindikanika.
Binamu kuna watu wambea humu, warumi anasubir, sema mimi tu nimeamua kusimama na kujitetea mwenyew na kufanya kile ninachojisikia, japokuwa nimetukanwa sana, so labda wengine wakiona ninavyopewa majina mabaya, mara MMBEA, sijui shoga wengine wanajisikia vibaya sana na kujiona watajidharirisha, hata mimi mwanzo mtu akiniita MMBEA, nilikuwa naumia sana yani, najisikia vibaya najiona kama nipo tofauti na wengine, ila nowa nimeshazoea , its a part of the game, life goes on
Hayaaa bana,na demu wako mbea kama wewe au,,bina sasa hivi umehamia wapi sasa ulisema umepewa notice
Hayaaa bana,na demu wako mbea kama wewe au,,bina sasa hivi umehamia wapi sasa ulisema umepewa notice