Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,157
Napita tu naelekea kwenye palizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi wewe Warumi unajijua kama wewe mmbea uliyeshindikanika.
Mi nilikuambia rusha picha yako humu uwe maarufuu lazima kuna member wanakufahamu tu,bina au uigizee basii au fungua blog mi ntakua wa kwanza kuingia kwa blog yako naamini wambea wote tutahamia kwa blog yako,
Lakin bina we nj handsome kama Money stunna kwiiiii kwiiiiiii au kama Galisah au una sura ngumu kama HOD fungukaaa
Mbona mnanichanganya hivi???Binamu ni mwanaume?mbona kuna siku alishushiwa mtongozo?
Kuna wale wambea husomaga kimya kimyaa yaan wao hawapendi kuonekana wambea ila wanapenda kusoma umbea hhhhhhhhaaaaa
Binamu, mimi lazima nije kuwa maarufu mimi mwenyew binafsi, tena nitatumia jina hili hili la warumi, maana ID yangu sasa ivi ni dili so lazima nifanyie kitu, kuna baadhi ya vitu najaribu kufanya, nahitaji pia msaada wa watu wengine ili tufanye kitu kizuri zaidi, maana sasa ivi najiamini, ninaweza kufanya vitu vikubwa sana kupitia jina langu la warumi. So subrini tu binamu, mambo mazuri yanakuja
Kuhusu muonekano wangu, hahahaha aaha mimi nipo kawaida tu, ila huwezi kuniweka kwenye kundi la watu wabaya au wazuri sana, nina sura ambayo hata ukiweka kwenye front page ya gazeti lolote basi mtu huwezi kutamani upite ivi ivi bila kuniangalia mara mbili, hahahaha ahaha, nina sura ya mwanaume ambaye wanawake wengi hutaman kuwa na mwanaume wa aina hiyo, im kind of a gentleman, uwa naonekana vizur zaidi kwenye picha
Napita tu naelekea kwenye palizi
Hayaaa bana,na demu wako mbea kama wewe au,,bina sasa hivi umehamia wapi sasa ulisema umepewa notice
Mbona mnanichanganya hivi???Binamu ni mwanaume?mbona kuna siku alishushiwa mtongozo?
No, kwenye maisha yangu binafsi sipendi sana hayo mambo, nitafanya umbea wangu peke yangu kwenye mitandao tu na sio physically ivi NO siwezi kabisa , mimi ni kijana mwenye heshima zangu, hii ni kama burudani tu.
Mimi ni mpole sana na sio muongeaji, labda nikuzoee, kama sikujui unaweza kuboreka kukaa na mimi, ila i do gossip na watu wachache sana ambao nimewazoea sana ndo naweza piga nao umbea ila sio kwa kiwango cha humu JF, humu warumi, kazidi sana tofauti na maisha yangu halisi, mimi ni kama MSANII tu binamu
Mbona mnanichanganya hivi???Binamu ni mwanaume?mbona kuna siku alishushiwa mtongozo?
Ahahaha, eheeh nitakufa kwa presha wewe mutoto, usije ukawa mama mkwe wangu , ahaahahah
Karibu umbeaniiii
Hakunaa
Umbea unipite Leo sina mkuki mie. Alafu hivi 40 ya kanumba haijafika tu manake sioni dalili za bi mtegoa kurudi bukoba alikuja msibani kumbuka?
Umbea unipite Leo sina mkuki mie. Alafu hivi 40 ya kanumba haijafika tu manake sioni dalili za bi mtegoa kurudi bukoba alikuja msibani kumbuka?