Mama Kanumba Atoa siri za mwanae

Yani Warumi usijali,wewe tayari ni maarufu na una followers wengi nyuma yakoo!Mie mwenyewe mmojawapo japo sitaki kukupa fagi usijepata bichwa ukaacha umbeya ukaanza kujisifia!Kwa kifupi ukiupata huo usupastar kwenye public naomba niwe kati ya wabeba pochi wako!Nataka kuwa kama msukule wako yani...
 

Ahahahaa, ahaha safi sana, naipenda hii kutoka moyoni, Dinazarde utajibeba, mwenzio nshapata mbeba mapochi, ila hayo mabegi nadhan yatakuwa yamejaa UMBEA kwenda mbele.
 
Last edited by a moderator:
Ahahahaa, ahaha safi sana, naipenda hii kutoka moyoni, Dinazarde utajibeba, mwenzio nshapata mbeba mapochi, ila hayo mabegi nadhan yatakuwa yamejaa UMBEA kwenda mbele.
Yani kiukweli wengi tunapenda umbeya ila jinsi ya kuupata kwa gharama nafuu na kwa haraka zaidi ndio shida!!Y nisimbebee pochi mtu mwenye tija katika jamii kama wewe!lol,magazeti tupa kulee,viblog vyenyewe kazi kucopy kutoka jf,ntakua nipo nyuma nyuma kama mkia wa Wema(petit)...
 
Last edited by a moderator:

Aaaah!!! Aaaaah, nimeipenda hii, shabiki wa kweli, warumi untouchable, miaka mia, kujisifia muhimu, maana kazi nzito nafanya.
 
Last edited by a moderator:

Utamfanya warumi apasuke kichwa hivi ndio anavyopendaaaaa
 
Ahahahaa, ahaha safi sana, naipenda hii kutoka moyoni, Dinazarde utajibeba, mwenzio nshapata mbeba mapochi, ila hayo mabegi nadhan yatakuwa yamejaa UMBEA kwenda mbele.

Nimeona binam
 
Last edited by a moderator:
Mazeri amekuwa star by association hahaha kutwa kupigana vikumbo kwenye shuhuli za mastaa na watoto wa mjini naona anautamani Sana utoto nae apige bling bling km akina wolper na luli
 
Heeee basi naahirisha palizi naishia hapa hebu nitonye mine kisa na mkasa?

Si nasikia yule bilionea wa lulu aliyempangishia nyumba mbez sijui anaitwa seki, sasa iv anatoka na jokate, mapenz moto moto, sasa juzi kat bi shost wale walikutana viwanja, jokate akawa anadai lulu anamvunjia heshima, anamtangazia maneno machafu kwa watu. LULU nae akaja juu kama moto wa kifuu.. itaendelea... www.warumi.com
 
Halooo ya mmeba pochi hahah utakuwa unafaidi chenchi
 
Mhh makubwa naomba unipatie kazi ya umoderator huko bloguni kwako
 
Hii tabia ya kuchukua habari globalpublisher na kuzileta huku zimeshika kasi sn,inakeraaaaaa.
Mleta mada kaleta kama ilivyo toka huko.
 
kipele kimepata mkunaji
 
Hii tabia ya kuchukua habari globalpublisher na kuzileta huku zimeshika kasi sn,inakeraaaaaa.
Mleta mada kaleta kama ilivyo toka huko.

Kama inakukera humu umefuata nini? Mfyuuu ebu tutokee apa, kajambie fery
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…