Mama Kanumba: Lulu ameenda miaka 2 jela na atatoka, Kanumba hatarudi tena

Mama Kanumba: Lulu ameenda miaka 2 jela na atatoka, Kanumba hatarudi tena

Hilo halifuti utoto, ukianza fuatilia ni watoto wangapi wanaendesha magari na kwenda club mbona wengi tu...
f511bdc060bd992218367e604970a91c.jpg

Maneno hamwelewi hata pichaa
e5459bab547d52237be2d010e50a49b2.jpg
Siku moja baada ya Elizabeth Michael 'Lulu' kuhukumiwa kifungo cha kutumikia jela miaka miwili kwa kosa la kuua bila kukusudia, mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba, Frora Mutegoa amesema wanaombeza kwa kuishukuru mahakama wamuache kwa hakuna mwenye uchungu zaidi yake.

Jana baada ya Mahakama Kuu kumtia hatiani mwigizaji huyo na kumpa adhabu ya kifungo cha miaka miwili jela, Mama Kanumba aliishukuru mahakama akisema imetenda haki jambo ambalo lilizusha gumzo wengi wakisema hakupaswa kufurahia adhabu hiyo.

Akihojiwa na waandishi wa habari nje ya mahakama kuu jijini Dar es salaam jana Jumatatu baada ya hukumu kutolewa alisema anashukuru kwa kuwa haki imetendeka na kwamba atakwenda kumzika rasmi mtoto wake.

Hata hivyo, Mwananchi leo Jumanne amesema asibezwe kwa kauli hiyo kuwa hakuna anayejua uchungu anaoupata kila siku.

"Mimi sijui kama ninafurahia kama wanavyodai, waulize kwamba, yeye Lulu alipokufa mwanangu Kanumba alifurahia? Mimi ni mkristo, sipendi kuona baya likimfika binadamu mwenzangu, lakini Lulu ameenda miaka miwili jela na atarudi, je mwanangu atarudi lini? nitamwona wapi tena"? Amehoji.
 
Exactly Mkuu.. Huyu mama hata kama angefungwa 10yrs bado machungu ya mwanae angeelezea tu.
Kama ni serial kila haitomuathiri,kama ni kweli alimsukuma lulu hana amani though anapretend kua na amani maisha yake yote!
 
e5459bab547d52237be2d010e50a49b2.jpg
Siku moja baada ya Elizabeth Michael 'Lulu' kuhukumiwa kifungo cha kutumikia jela miaka miwili kwa kosa la kuua bila kukusudia, mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba, Frora Mutegoa amesema wanaombeza kwa kuishukuru mahakama wamuache kwa hakuna mwenye uchungu zaidi yake.

Jana baada ya Mahakama Kuu kumtia hatiani mwigizaji huyo na kumpa adhabu ya kifungo cha miaka miwili jela, Mama Kanumba aliishukuru mahakama akisema imetenda haki jambo ambalo lilizusha gumzo wengi wakisema hakupaswa kufurahia adhabu hiyo.

Akihojiwa na waandishi wa habari nje ya mahakama kuu jijini Dar es salaam jana Jumatatu baada ya hukumu kutolewa alisema anashukuru kwa kuwa haki imetendeka na kwamba atakwenda kumzika rasmi mtoto wake.

Hata hivyo, Mwananchi leo Jumanne amesema asibezwe kwa kauli hiyo kuwa hakuna anayejua uchungu anaoupata kila siku.

"Mimi sijui kama ninafurahia kama wanavyodai, waulize kwamba, yeye Lulu alipokufa mwanangu Kanumba alifurahia? Mimi ni mkristo, sipendi kuona baya likimfika binadamu mwenzangu, lakini Lulu ameenda miaka miwili jela na atarudi, je mwanangu atarudi lini? nitamwona wapi tena"? Amehoji.
Huyu mama itafika mahali atalaaniwa sasa
 
Hivi we ni kee dia ee
Ok tuje kwenye mada huyu binti hakuanza naye pale walituhadaa tangu akiwa na miaka 15 hao
ac43586d5d532ab56e46685ae2524c34.jpg

Sasa dia ukisema embe bado changa wenzio wanalila na chumvi
Huyu lazima angeenda jela
Hahahaaa sawa bana, mm ni kee
 
Hahahaaa sawa bana, mm ni kee
Mi siyo mfuatiliaji sana ila kwa kumbu kumbu zangu alienda moshi kuleta vyeti vya kuzaliwa wakati ule kuhakikishia mahakama kwamba alikuwa mtoto
 
Hilo halifuti utoto, ukianza fuatilia ni watoto wangapi wanaendesha magari na kwenda club mbona wengi tu...
Alipataje leseni ya udereva ilhali ni mtoto? Au magumashi

Na kama mazazi aliwezaje kumuruhusu kwenda Club usiku? Si kuonyesha tayari amepevuka.
 
e5459bab547d52237be2d010e50a49b2.jpg
Siku moja baada ya Elizabeth Michael 'Lulu' kuhukumiwa kifungo cha kutumikia jela miaka miwili kwa kosa la kuua bila kukusudia, mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba, Frora Mutegoa amesema wanaombeza kwa kuishukuru mahakama wamuache kwa hakuna mwenye uchungu zaidi yake.

Jana baada ya Mahakama Kuu kumtia hatiani mwigizaji huyo na kumpa adhabu ya kifungo cha miaka miwili jela, Mama Kanumba aliishukuru mahakama akisema imetenda haki jambo ambalo lilizusha gumzo wengi wakisema hakupaswa kufurahia adhabu hiyo.

Akihojiwa na waandishi wa habari nje ya mahakama kuu jijini Dar es salaam jana Jumatatu baada ya hukumu kutolewa alisema anashukuru kwa kuwa haki imetendeka na kwamba atakwenda kumzika rasmi mtoto wake.

Hata hivyo, Mwananchi leo Jumanne amesema asibezwe kwa kauli hiyo kuwa hakuna anayejua uchungu anaoupata kila siku.

"Mimi sijui kama ninafurahia kama wanavyodai, waulize kwamba, yeye Lulu alipokufa mwanangu Kanumba alifurahia? Mimi ni mkristo, sipendi kuona baya likimfika binadamu mwenzangu, lakini Lulu ameenda miaka miwili jela na atarudi, je mwanangu atarudi lini? nitamwona wapi tena"? Amehoji.
Kama anauchungu sana basi aende Leba kwa Mara nyingine na yeye sio wa kwanza kufiwa.
 
Bwihi bwihi [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] Eti mtoto anaendesha gari anaenda klabu za usiku.. Ok tuache kama ilivyo
Tena afu hawakutaka kabisa kushikilia bango la leseni aliitoa wap kama alikua below 18
 
Chini ya miaka 18 lakini akili na mambo yake ni kama ana zaidi ya miaka 25 hapo inakuwaje?
Jana nimewakuta watoto wawili wa kiume wana kama miaka minne hivi wanamwambia mwenzao wa kike kuwa "usiende huko utatongozwa", kwakweli nimeshangaa sana.
 
Jana nimewakuta watoto wawili wa kiume wana kama miaka minne hivi wanamwambia mwenzao wa kike kuwa "usiende huko utatongozwa", kwakweli nimeshangaa sana.
Bwihi [emoji16] [emoji16]
 
Mama kanumba anaumia Sana Mtoto kumpoteza Mtoto wake pole Sana lakni mama kanumba aliona sawa tu Mtoto wake kanumba Kumbaka binti mdogo Lulu kumtumia Kama alivyotaka. Hakika kanumba amekula adhabu aliyostahili japo wote tutakufa lkn adabu zitatofautiana. Mama kanumba unafurahi Mtoto WA mwenzio kubakwa na toto lake bakaji Mahili bila kujari Mtoto WA mwanamke mwinzio kweli dunia watu wanajijali wenyewe zaidi. Watanzania ni wakati WA kusimama kutetea uovu km huu. Inaumiza kuona wakt wa msiba wa kanumba alililiwa kanumba lkn Lulu hakuonewa huruma kwa kubakwa na mbakaji yule.
 
Back
Top Bottom