[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]Mama anaongea mno. Ingekua vice versa sijui angeongea nini
Ni wakati sasa wa kumshukuru Mungu maisha yasongeKwanini sasa alaaniwe?
Alipataje leseni ya udereva ilhali ni mtoto? Au magumashi
Na kama mazazi aliwezaje kumuruhusu kwenda Club usiku? Si kuonyesha tayari amepevuka.
Nenda pale tra kuchukua leseni kama utaulizwa hata umri wala cheti chako.Alipataje leseni ya udereva ilhali ni mtoto? Au magumashi
Na kama mazazi aliwezaje kumuruhusu kwenda Club usiku? Si kuonyesha tayari amepevuka.
Vyeti cku hizi mbona vinatengenezwa tu mkuuMi siyo mfuatiliaji sana ila kwa kumbu kumbu zangu alienda moshi kuleta vyeti vya kuzaliwa wakati ule kuhakikishia mahakama kwamba alikuwa mtoto
Kama kanumba asingekufa angefungwa jela miaka 30 au zaidi kwa kutembea na binti wa Chini ya miaka 18
Was it intentional or an outcome of sexual abuse?Hata kama atatoka laana ya kuua mbaya wewee
Mkuu temea mate chini tena usiombe yakukute hata kidogoKama anauchungu sana basi aende Leba kwa Mara nyingine na yeye sio wa kwanza kufiwa.
Chunga sana mdomo... Wametafsiri alichoongeaKwani mkuu yeye ana tatizo? Amejibu wale wanasema kuwa kwanini anafurahia na kuishukuru mahakama.
Kanumba alimuharibu sana huyu dogo.Hivi we ni kee dia ee
Ok tuje kwenye mada huyu binti hakuanza naye pale walituhadaa tangu akiwa na miaka 15 hao
Sasa dia ukisema embe bado changa wenzio wanalila na chumvi
Huyu lazima angeenda jela
Wabongo bwana shida mama anataka kulabwa hadi nyayoKwani alivokua anatembea na lulu jamii ilikua hailioni hilo!?
Alichoongea huyu mama n sahihi
Lulu atatoka baada ya miaka miwili na kanumba hatarudi kamwe
“Inauma sana hasa unapoona tegemez wako amekufa na aliesababisha anabak akila raha mtaan bila hata kukumbuka kua yy ndo chanzo cha dhahama yote”
Angalau lulu angebak tu kumheshim huyu mama mtegoa sidhan kama yangekuepo haya tunayoona
Hapo unazungumzia ujanja. Kwangu naangalia sheria, huo ujanja ndio uliosababisha Lulu kujichanganya katika kujitetea. Vyote vyote vile huyu alikuwa mkubwa.Unashangaa leseni ????? [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Kashangae twiga akiingia kwenye ndege bila kuoneka
Haha haaa
Mkuu
just haaahaaaa
Hukai Tanzania eeee
Doesn't matter!to murder case is curseWas it intentional or an outcome of sexual abuse?
Mama kanumba anaumia Sana Mtoto kumpoteza Mtoto wake pole Sana lakni mama kanumba aliona sawa tu Mtoto wake kanumba Kumbaka binti mdogo Lulu kumtumia Kama alivyotaka. Hakika kanumba amekula adhabu aliyostahili japo wote tutakufa lkn adabu zitatofautiana. Mama kanumba unafurahi Mtoto WA mwenzio kubakwa na toto lake bakaji Mahili bila kujari Mtoto WA mwanamke mwinzio kweli dunia watu wanajijali wenyewe zaidi. Watanzania ni wakati WA kusimama kutetea uovu km huu. Inaumiza kuona wakt wa msiba wa kanumba alililiwa kanumba lkn Lulu hakuonewa huruma kwa kubakwa na mbakaji yule.
Kwanini alaaniwe wakati yeye ameelezea hisia zake kama mzazi.......!!?Huyu mama itafika mahali atalaaniwa sasa
Ni Mzazi gani aliyelalamika Juu ya Tabia Mbovu za Ukubwa alizokuwa anafanya Lulu tena akiandikwa kwenye Magazeti? Ni Kati yenu ambaye aliwahi hata kumkea au kumkanya kuwa umri haujafika mpaka leo muone kuwa Marehemu alikuwa anambaka? Ni wapi Lulu aliwahi kulalamika kuwa amebakwa na wanaume? Na kabla ya Kuwa kwenye mahusiano na Kanumba ni wangapi wameshampitia Lulu mpaka leo Marehemu ndiyo anyoshewe kidole ya kumbaka Lulu.. Ni nani asiyekuwa anajua Kuwa Lulu alikuwa na mhusiano na Marehemu Komba? Ebu acheni kujitoa fahamuSheria inasemaje kuhusu kutembea na msichana wa umri mdogo? Ni jela tu tena alikuwa mwanafunzi jelaaaaaaaa