Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,485
Aliyesababisha? Are you ok?Kwani alivokua anatembea na lulu jamii ilikua hailioni hilo!?
Alichoongea huyu mama n sahihi
Lulu atatoka baada ya miaka miwili na kanumba hatarudi kamwe
“Inauma sana hasa unapoona tegemez wako amekufa na aliesababisha anabak akila raha mtaan bila hata kukumbuka kua yy ndo chanzo cha dhahama yote”
Angalau lulu angebak tu kumheshim huyu mama mtegoa sidhan kama yangekuepo haya tunayoona
Natamani ungejua yote anayopayuka huyu mamaKwanini alaaniwe wakati yeye ameelezea hisia zake kama mzazi.......!!?
Umesema jomoni kama mangeMungu amtie nguvu tu maana mtoto anauma jomoni
tehe tehe tehe kumbe na yeye anasemaga, basi wote tume copy sehemu mojaUmesema jomoni kama mange
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hebu tusaidia kuwaambiaNi wanafunzi wangap mitaan tunapoishi wanaotembea na mizee na wapo under 18 ushawah kwenda kuwashtak au kuripot ata polisi!?? Au likitokea ndo tunakua wa kwanza kulaumu!?
Binafsi ninaona adhabu n fair compared to kosa
Ni nan mwingine aliua bila kukusudia alifungwa miaka 2?
Waache kabisa unaafikiNi Mzazi gani aliyelalamika Juu ya Tabia Mbovu za Ukubwa alizokuwa anafanya Lulu tena akiandikwa kwenye Magazeti? Ni Kati yenu ambaye aliwahi hata kumkea au kumkanya kuwa umri haujafika mpaka leo muone kuwa Marehemu alikuwa anambaka? Ni wapi Lulu aliwahi kulalamika kuwa amebakwa na wanaume? Na kabla ya Kuwa kwenye mahusiano na Kanumba ni wangapi wameshampitia Lulu mpaka leo Marehemu ndiyo anyoshewe kidole ya kumbaka Lulu.. Ni nani asiyekuwa anajua Kuwa Lulu alikuwa na mhusiano na Marehemu Komba? Ebu acheni kujitoa fahamu
Wabongo bwana shida mama anataka kulabwa hadi nyayo
Na kilichomfunga binti ni kuua bila kukusudia
Jamaa alibugia nipombe kumbu ana matatizo yake na haielezwi kijana mdogo kama kanumba alikuwa na daktari wake maalumu wa nini alikuwa na shida huyu mtu. Shida kubwa iliyompelekea kifo
Mbna Sheria izo izo znaruhusu ndoa Kwa msichana WA miaka 14?kwa up Sheria hapo itafungwa Kwa kumbaka msichana?Yani ukitembea na mtoto chini ya miaka kumi nane awe amekubari, awe hakuwa bikra, awe ana msululu wa mabwana amewahi kutoa mimba ukikamatwa wewe huwezi jitetea ni kwamba umembaka.
Kisheria mtoto chini ya miaka 18, hana maamuzi binafsi ni rahisi danganywa na shawishiwa.
Lengo si kumsema marehemu ila ni kukuhabarisha wewe ili usije fanya kosa hilo ukiwa wajipa moyo kwani huyu binti mimi wa kwanza mbona na flani kapita...
Ila kanumba naye anamakosa sana tamaa zimemzidi bwana mpaka katoto kama lulu anakaingizia mambo sio haki
Mkuu usiseme hivyo kila mtu ana njia yake ya kuexpress uchungu wake, mshukuru sana Mungu kama hayajawah kukutaMama anaongea mno. Ingekua vice versa sijui angeongea nini
Watanzania ni wanafiki sana aisee.......... Leo hii watu wote wamekuwa nyuma ya Lulu wakimtukana Kanumba na kumtetea Lulu wakati kipindi kile cha msiba watu hawa hawa ndo walimpiga mawe Lulu kama mwuaji wa kipenzi chao(Steve) na kuomba hata akifungwa ni nzuri sana.....Kama kanumba asingekufa angefungwa jela miaka 30 au zaidi kwa kutembea na binti wa Chini ya miaka 18
Imefanyiwa marekebishao hujaskiaMbna Sheria izo izo znaruhusu ndoa Kwa msichana WA miaka 14?kwa up Sheria hapo itafungwa Kwa kumbaka msichana?
Aisee ungesamari ili nisome ujue Nina kazi nyingine etiWatanzania ni wanafiki sana aisee.......... Leo hii watu wote wamekuwa nyuma ya Lulu wakimtukana Kanumba na kumtetea Lulu wakati kipindi kile cha msiba watu hawa hawa ndo walimpiga mawe Lulu kama mwuaji wa kipenzi chao(Steve) na kuomba hata akifungwa ni nzuri sana.....
sasa inakuwaje watu ghafla wabadilike na kuanza kumnanga kanumba na kumwona mbakaji???
watu jifunzeni kusimamia mnachokiamini.
SI magazeti si redio woote hasira zao na ukigeugeu wao na unafiki na uzandiki wanahamishia kwa WAKILI KIBATALA ETI KASHIDWA kumtetea Lulu..... Jamani tusiwe wanafiki kupita kiasi tukasahau jana yetu na kuiona leo pekee huku tukishindwa kuifikiria kesho nayo inakuja vipi?
WATANZANIA ACHENI UNAFIKI......
Utoto wa lulu kipindi hicho hauondoi uhalali wa sheria leo. Inawezekana asiyefunzwa na wazazi ulimwengu utamwangukia.... au asiyesikia la mkuu mguu huvunjika vibaya sana, leo watanzania wamesahau tabia zote chafu chafu za Lulu na maskendo maovu ovu ya lulu hadi wanamwona hana hatia, leo watu wanamwona alikuwa mtoto wakati kipindi hicho ashajua kwenda club sijui beach mida michafu na wanaume tena kwa kubadilisha kama pichu yake....
Ziko wapi tuhuma za yule msanii wa bend ile ya chama tawala na huyu tunayemwita mtoto?? Kwa kifupi huyu dogo acha akatumikie yamkini atarudi kabadilika na kuwa mama bora wa hapo baadae na kuwa mfano wa kuigwa katika jamii.
LULU AKIACHIWA LEO AKAWA HURU NDO MWISHO WAKE NA UMAARUFU WAKE. WACHA AENDE AKAPUMZIKE HUKO APATE EXPERIENCE NYINGINE YAMKINI ANAWEZA KURUDI KASHAKUWA MCHUNGAJI MZURI AU MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI MZURI KABISA.SAA ZINGINE TUJIFUNZE KUNYWEA KIKOMBE HATA KAMA NI KIZITO NA KICHUNGU ILI KUTIMIZA KUSUDI.
MUNGU ANA MPANGO NA LULU DUNIANI NDO MAANA ALIZALIWA. Lulu hakuzaliwa aje kuwa malaya hapa duniani,Mungu sidhani kama anafurahi kumwona lulu hivi alivyo leo!
WATU TUJIFUNZE KUSEMA MAPENZI YA MUNGU YATIMIZWE TUSIJE KUWA TUNAMWUZI MUNGU BURE....
MWACHENI lULU akatumikie hiyo adhabu ili iwe funzo kwa wengine pia.
WATANZANIA ACHENI UNAFIKI.....
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Watanzania ni wanafiki sana aisee.......... Leo hii watu wote wamekuwa nyuma ya Lulu wakimtukana Kanumba na kumtetea Lulu wakati kipindi kile cha msiba watu hawa hawa ndo walimpiga mawe Lulu kama mwuaji wa kipenzi chao(Steve) na kuomba hata akifungwa ni nzuri sana.....
sasa inakuwaje watu ghafla wabadilike na kuanza kumnanga kanumba na kumwona mbakaji???
watu jifunzeni kusimamia mnachokiamini.
SI magazeti si redio woote hasira zao na ukigeugeu wao na unafiki na uzandiki wanahamishia kwa WAKILI KIBATALA ETI KASHIDWA kumtetea Lulu..... Jamani tusiwe wanafiki kupita kiasi tukasahau jana yetu na kuiona leo pekee huku tukishindwa kuifikiria kesho nayo inakuja vipi?
WATANZANIA ACHENI UNAFIKI......
Utoto wa lulu kipindi hicho hauondoi uhalali wa sheria leo. Inawezekana asiyefunzwa na wazazi ulimwengu utamwangukia.... au asiyesikia la mkuu mguu huvunjika vibaya sana, leo watanzania wamesahau tabia zote chafu chafu za Lulu na maskendo maovu ovu ya lulu hadi wanamwona hana hatia, leo watu wanamwona alikuwa mtoto wakati kipindi hicho ashajua kwenda club sijui beach mida michafu na wanaume tena kwa kubadilisha kama pichu yake....
Ziko wapi tuhuma za yule msanii wa bend ile ya chama tawala na huyu tunayemwita mtoto?? Kwa kifupi huyu dogo acha akatumikie yamkini atarudi kabadilika na kuwa mama bora wa hapo baadae na kuwa mfano wa kuigwa katika jamii.
LULU AKIACHIWA LEO AKAWA HURU NDO MWISHO WAKE NA UMAARUFU WAKE. WACHA AENDE AKAPUMZIKE HUKO APATE EXPERIENCE NYINGINE YAMKINI ANAWEZA KURUDI KASHAKUWA MCHUNGAJI MZURI AU MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI MZURI KABISA.SAA ZINGINE TUJIFUNZE KUNYWEA KIKOMBE HATA KAMA NI KIZITO NA KICHUNGU ILI KUTIMIZA KUSUDI.
MUNGU ANA MPANGO NA LULU DUNIANI NDO MAANA ALIZALIWA. Lulu hakuzaliwa aje kuwa malaya hapa duniani,Mungu sidhani kama anafurahi kumwona lulu hivi alivyo leo!
WATU TUJIFUNZE KUSEMA MAPENZI YA MUNGU YATIMIZWE TUSIJE KUWA TUNAMWUZI MUNGU BURE....
MWACHENI lULU akatumikie hiyo adhabu ili iwe funzo kwa wengine pia.
WATANZANIA ACHENI UNAFIKI.....
Huyo lulu alidanganya umri alikuwa anafaa kwa matumizi kabisaKama kanumba asingekufa angefungwa jela miaka 30 au zaidi kwa kutembea na binti wa Chini ya miaka 18