Habari za leo wakuu,
Naomben mawazo yenu mama yangu amepata mafao ya kustaafu, ameniomba nmshauri afanyaje. Yupo maeneo ya Iringa, nimesema sehemu ili hata unapotoa ushauri uangalie na mazingira.
Japo nilikua nimeanza kubainisha baadhi ya vitu kama anunue pikipiki tuweke vijana, pia ana nyumba zake wamepanga wanafunzi nimemshauri aikarabati iwe na hadhi ya kukaa familia.
Naomben mniongezee mawazo mengine
Naomben mawazo yenu mama yangu amepata mafao ya kustaafu, ameniomba nmshauri afanyaje. Yupo maeneo ya Iringa, nimesema sehemu ili hata unapotoa ushauri uangalie na mazingira.
Japo nilikua nimeanza kubainisha baadhi ya vitu kama anunue pikipiki tuweke vijana, pia ana nyumba zake wamepanga wanafunzi nimemshauri aikarabati iwe na hadhi ya kukaa familia.
Naomben mniongezee mawazo mengine