Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,746
Huyu ni Madonna,yaani anaonekana kwenye maisha yake hataki kusikia kabisa wanaume wenye umri uliozidi miaka 30.Kwa sasa akiwa 53 anatoka na dancer wa kifaransa Brahim Zahibat 24,wakiwa na tofauti ya miaka 29

Mwaka 2009,introduced brazilian model,Jesus Luz aliyekuwa 22,madonna alikuwa 51.Walikuwa na gape ya 29yrs.
Guy Ritchie,mume wake wa mwisho walikutana 1999 wakiwa na gape ya miaka kumi

Before Guy Ritchie,1995 Tupac Shakur alikuwa anatoka na bi mkubwa,wakiwa na gape ya 13 years.
Carlos Leon,baba wa mtoto wake wa kwaza,walikuwa na tofauti wa miake 8

Mwanzo mwa miaka ya 90,wakati Vanila Ice yuko kivula,alikuwa kwenye romance na Madonna.10yrs different.

Mwaka 2009,introduced brazilian model,Jesus Luz aliyekuwa 22,madonna alikuwa 51.Walikuwa na gape ya 29yrs.

Guy Ritchie,mume wake wa mwisho walikutana 1999 wakiwa na gape ya miaka kumi

Before Guy Ritchie,1995 Tupac Shakur alikuwa anatoka na bi mkubwa,wakiwa na gape ya 13 years.

Carlos Leon,baba wa mtoto wake wa kwaza,walikuwa na tofauti wa miake 8

Mwanzo mwa miaka ya 90,wakati Vanila Ice yuko kivula,alikuwa kwenye romance na Madonna.10yrs different.
