Mama Lorah apiga push up kumuunga mkono Magufuli

Mama Lorah apiga push up kumuunga mkono Magufuli

Mwanzilishi wa Push up kapotea, najua mkutoka hapo huwa mwaenda jichua
 
mama.jpg



Mama Lorah akifanya MAGUFULIKA, huku Lowassa na UKAWA wakiweweseka. CCM imejaa watu shupavu na walio tayari kulingoza Taifa la Tanzania.

Hongera Mama kwa kumsambaratisha Lowassa kwa Magufulika.

Ninyi hamjui tu. Hapo anafanya ngono na jini. Kuna push up inapigwa hivyo?
 
mama.jpg



Mama Lorah akifanya MAGUFULIKA, huku Lowassa na UKAWA wakiweweseka. CCM imejaa watu shupavu na walio tayari kulingoza Taifa la Tanzania.

Hongera Mama kwa kumsambaratisha Lowassa kwa Magufulika.

Tatizo hizi nguvu mnatumia kuiba...nyie ni wezi
 
Duuh maigizo kila sehemu , tumechoka maigizo .Tukutane october 25 .
 
Kuna ka-ugonjwa ambapo kitaalam kanaitwa Ngoyaiosis, Lowassitis au Hyperlowassitosis, ndiko kanamsumbua 'mafunguo na makufuli ya mafisadi ili yafungwe haraka!'



Utoto huo kama jina lako Utotole
 
Last edited by a moderator:
Ndo nani?

Ni mpigaji sana wa mjini.amepata utajiri kwa kuiba shaba kwa kutuma vijana kuteka malori ya kutoka zambia.mumewe yupo jela miaka mingi anakaribia kutoka.alikua anakaa salasala, i guess bado hajahama.
 
Ule ni ujumbe kwa Mgombea wenu, hizo degree haziwasaidii?

Waliojidai kupeleka jumbe za kifedhuli kama hizo wameitwa na muumba wao wakamweleze vizuri walimaanisha nini, ila hawatarudisha majibu...

...hata yule baba lao nasikia haonekani akipiga push ups siku mbili hizi, labda anajifua zaidi ili akirudi apige push up za mkono mmoja na vidole viwili..
 
Waliojidai kupeleka jumbe za kifedhuli kama hizo wameitwa na muumba wao wakamweleze vizuri walimaanisha nini, ila hawatarudisha majibu...

...hata yule baba lao nasikia haonekani akipiga push ups siku mbili hizi, labda anajifua zaidi ili akirudi apige push up za mkono mmoja na vidole viwili..

Tunamuhitaji Rais siyo mfano wa Rais pande zote watu wanakufa hata nyie mmekufa kumbuka inayopimwa ni Afya siyo Kifo, mnahangaika kumkosha huyo dhaifu wenu
 
kilimuoa mmasai fulani hivi alikua muosha magari miaka zaidi ya 20 nyuma

Huyo unayemuongelea ni mariyoo analelewa tu.mume hasa wa huyo bibie alifungwa miaka mingi sababu ya hizo dili zao.na anakaribia kutoka.huyo dereva taxi itabidi ahame mji maana jamaa ni mafia hasa.
 
Ni mpigaji sana wa mjini.amepata utajiri kwa kuiba shaba kwa kutuma vijana kuteka malori ya kutoka zambia.mumewe yupo jela miaka mingi anakaribia kutoka.alikua anakaa salasala, i guess bado hajahama.
Mume wake tupi ? yule mmasai aliyekuwa dereva wa bosi mmoja pale NBC? , mwanzoni wa mwaka huu nilimuona huko bongo amenona mno , eti naye kawa pedeshee , madini mwili mzima.
 
Mume wake tupi ? yule mmasai aliyekuwa dereva wa bosi mmoja pale NBC? , mwanzoni wa mwaka huu nilimuona huko bongo amenona mno , eti naye kawa pedeshee , madini mwili mzima.

sio dereva alikua muosha magari pale manyanya yule mzee wa kimasai ana kitambi kimoja kimekaa vibaya sana shingoni amejishindilia minyororo kama yupo utumwani

Ndio Maana anaitwa mama rolah masai
 
[h=3]
mama.jpg
[/h]
Mama Lorah akifanya MAGUFULIKA, huku Lowassa na UKAWA wakiweweseka. CCM imejaa watu shupavu na walio tayari kulingoza Taifa la Tanzania.

Hongera Mama kwa kumsambaratisha Lowassa kwa Magufulika.

Woh woh CCM redefining fitness.
 
[h=3]
mama.jpg
[/h]
Mama Lorah akifanya MAGUFULIKA, huku Lowassa na UKAWA wakiweweseka. CCM imejaa watu shupavu na walio tayari kulingoza Taifa la Tanzania.

Hongera Mama kwa kumsambaratisha Lowassa kwa Magufulika.

Wewe ndugu utakuwa punguani sikufahamu lakini hii picha sio ya kumsifia mama wa watu
 
Ukakamavu wa mwili unaendana na ukakamavu wa akili

Mbona hatuoni kwenye nchi zilizo endelea na hata Kenyatta hatukumuona akifanya mambo kama haya hata watanglizi wa Magufuli kama Mkapa na Kikwete hawakuwahi fanya vitu kama hivi na pia alipo kuwa anasaka ubunge siku za nyuma mbona hakupiga push up
 
Back
Top Bottom