Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa wale wanaopiga deki lami wakati hawajawahi kupiga deki nyumba zao tokea zijengwe wanamsaidia nini Lowassa
Mbona hatuoni kwenye nchi zilizo endelea na hata Kenyatta hatukumuona akifanya mambo kama haya hata watanglizi wa Magufuli kama Mkapa na Kikwete hawakuwahi fanya vitu kama hivi na pia alipo kuwa anasaka ubunge siku za nyuma mbona hakupiga push up
[h=3][/h]![]()
Mama Lorah akifanya MAGUFULIKA, huku Lowassa na UKAWA wakiweweseka. CCM imejaa watu shupavu na walio tayari kulingoza Taifa la Tanzania.
Hongera Mama kwa kumsambaratisha Lowassa kwa Magufulika.
Ukipita hapo nyuma kasha jipupia na hizo push ups kibonge huyo balaa
Maufunguo Yuko hospital nairobi hoi
Kuwa makini na kauli zako. Utaingia hatiani sasa hivi sheria ya makosa ya mtandaoni nakuhurumia
[h=3][/h]![]()
Mama Lorah akifanya MAGUFULIKA, huku Lowassa na UKAWA wakiweweseka. CCM imejaa watu shupavu na walio tayari kulingoza Taifa la Tanzania.
Hongera Mama kwa kumsambaratisha Lowassa kwa Magufulika.
Tunamuhitaji Rais siyo mfano wa Rais pande zote watu wanakufa hata nyie mmekufa kumbuka inayopimwa ni Afya siyo Kifo, mnahangaika kumkosha huyo dhaifu wenu
Watu wanahangaika na afya kuepuka kifo tu..all other intermediaries are mere details, just processes along the way. Ndiyo maana watu wanamwita Lowassa Marehemu, wengine wanasema ikulu hakuna ICU, mortuary, hakuna makaburi, etc. It all comes down to uzima na mauti. Kwa hiyo hao wanaojiona wazima saaana wanaweza wakatangulia, siyo ikulu, bali kwenye hukumu...wakamwacha yule aliyeonekana kuwa dhaifu. Kuweni makini na kauli zenu za 'kilevi', maana mmelewa uzima na afya hadi mnadhani ninyi ndio 'authors' wa afya na uzima!