Mama Maria Nyerere anatimiza miaka 93 leo. Karibuni tumtakie matashi mema

Bibi yangu kazaliwa 1938
 
Mtoa mada rekebisha habari yako...Kama kazaliwa mwaka huo unaosema 1939 punguza miaka, weka 83, Kama ana miaka 93 mwaka wa kuzaliwa weka 1929.
 
Mungu azidi kukulinda Mama yetu
 
Happy bday mama Maria๐ŸŽ‚

Mungu amjalie maisha marefu zaidi na yenye baraka.
 
Iwe kher ya kuzaliwa kwake bibi yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ