Na huu #UPOTOSHAJI WENU NDIO UNASABABISHA MPUUZWE CHAGGA DEVELOPMENT MANIFESTO"Mimi kwa bahati nzuri pamoja na Wanamara wenzangu sisi ni kundi lile tulilokuja tuongeze idadi ya watu, vichwa viongozeke kwahiyo sikuja kuzungumza chochote wao walinilazimisha kwamba nizungumze nikasema sina lakuzungumza"- Mama Maria Nyerere
Baada ya ujumbe huu mgumu unaonyesha namna watu wanavyolazimishwa kufanya wasichopenda kufanya, naamini viongozi wamekereka kwa sababu polepole katamka maneno haya:
Mama tunajua una majukumu mengi, endapo ukijisikia kuondoka ondoka upo huru Mwenyekiti amekupa baraka zote.
Huyu mama nadhani ni mara ya kwanza anasimamishwa Kwenye jukwaa la kampeni. Tusiwafanyie hivi watu Hawa waliotumika kwa heshima, waacheni wabaki na heshima yao.
Ndio maana huyo mama anazuiwa sana kuongea na media hajuagi kumumunya maneno!!Ni wazi sasa kila mtu kakichoka hiki chama. Ile tabia ya ccm kutumia watu maarufu na wenye maadili kufunika maovu yao kwenye mikutano leo imejikuta kuwa kama Mbuni kujificha kwenye mchanga ambapo kichwa huzamishwa chini na mkia juu ya ardhi.
Baada ya kumkokota Mke wa marehem Hayati Baba wa Taifa Mwl Nyerere leo kwenye mikutano ya CCM huko butyama.
Bibi Kizee huyu amekata kata kuunga mkono utawala ambao pengine haridhishwi nao. Sina shaka kuwa walimlazimisha aje kusifia ujenzi wa Flyover SGR na Stiglers. Huku Bibi huyo akijua mambo muhimu ya kitaifa yaliachwa nyuma kama kutekwa watu kiholela, kuuawa, kuteswa, kupotea, kubambikia makesi watu wasio na makosa, kufunga
,View attachment 1559382 kunyima watu ajira , kukwamisha miradi ya maendeleo kwenye majimbo ya wapinzani n.k.
Mama huyu ametamka hadharani mchana kweupe( broad daylight) kuwa kalazimishwa aje kuongea na yeye hataki.
Ni kweli. Serikali ya CCM imewatenga watoto wa Mwalimu na sisi watanzania hii haitufurahishi. Kwa nini asimteue Makongoro kuwa mbunge katika zile nafasi zake 10. Kwa nini asimpe Madaraka uRC. Hii dhambi itawatafuna. Jibu liko Oct 28.CCM pumzi hamna... Huko Musoma leo ,maBus ya Zakaria, malori kibao kuanzia saa 10 za alfajir yalikua nakazi ya kusomba watu kuja kuongeza idadi na vichwa kama alivosema mama Maria.
Kwa ufupi..Mama maria hajapendezwa kuona Mwinyi na watoto wake wakiendelea kula bata... Alafu yeye na wanawe wakiendelea kusomeshwa namba.
Kama kuna familia ilotakiwa kutizamwa kwa jicho kubwa ni ya Familia ya Nyerere.
Mama anasononeka. Hali siyo nzuri.Katika Hali ya kawaida nilishangaa Sana CCM kutompa ugombea Madaraka!Ni kweli alipata kura chache Kama za Petrobas ea Shinyanga...lakini mhhhh!
Mama leo kaona wasimletee dharau zao. Kama pensioni wachukue tu.Mama kazeeka mwili tu lakini kichwani ni wazi yuko vizuri.
Kumbe ndio maana hasikiki mara kwa mara.Ndio maana huyo mama anazuiwa sana kuongea na media hajuagi kumumunya maneno!!
Mama anasononeka. Hali siyo nzuri.
Leo akina Polepole wameenda kumlaghai aje kusifia na vimaneno wakamjaza , akaona isiwe taabu akaja. Huku wao wakitarajia anakuja kuimba nyimbo zao za kwaya. Amewaacha midomo wazi. Na maiki wakamnyanganya9 December 2019
Mama Maria alishiriki kupigania Uhuru na Haki
Taifa linaadhimisha miaka 58 tangu taifa lipate uhuru, Daily News Digital inaangazia nafasi ya wanawake wajati wa harakati hizo
Bibi leo ametupa raha sana. Wikendi inaenda vizuri mno.mwambie bbibi aagize novida nakuja kulipa.
Wamepoteana, kule Samia kavuruga huku Mama nyerere kawazingua hawana hamu. Leo watalala na viatu.Fisiemu siwaoni humu
HahaaKa clip kangefaa sn ili tukasambazie upendo......
Kwa hili nipo upande wa mama, ina maana watoto wake wote vilaza wameshindwa kuonwa kama wa wengine? Ubunge wamewanyima, wengine familia.nzima hadi wakwe wanagombea ubunge, kuna mama badala ya kutulia nyumbani ale pensheni yeye anaziba riziki za watu kwa kutaka ubunge, leo asimame aseme, mlitaka aseme nini? Mama kaonyesha mazito aliyonayo moyoniNi wazi sasa kila mtu kakichoka hiki chama. Ile tabia ya ccm kutumia watu maarufu na wenye maadili kufunika maovu yao kwenye mikutano leo imejikuta kuwa kama Mbuni kujificha kwenye mchanga ambapo kichwa huzamishwa chini na mkia juu ya ardhi.
Baada ya kumkokota Mke wa marehem Hayati Baba wa Taifa Mwl Nyerere leo kwenye mikutano ya CCM huko butyama.
Bibi Kizee huyu amekata kata kuunga mkono utawala ambao pengine haridhishwi nao. Sina shaka kuwa walimlazimisha aje kusifia ujenzi wa Flyover SGR na Stiglers. Huku Bibi huyo akijua mambo muhimu ya kitaifa yaliachwa nyuma kama kutekwa watu kiholela, kuuawa, kuteswa, kupotea, kubambikia makesi watu wasio na makosa, kufunga
,View attachment 1559382 kunyima watu ajira , kukwamisha miradi ya maendeleo kwenye majimbo ya wapinzani n.k.
Mama huyu ametamka hadharani mchana kweupe( broad daylight) kuwa kalazimishwa aje kuongea na yeye hataki.
Wamewayima wanae hata kaubalozi tuu na kaubunge wee unafikiri moyoni atajisikiajeNi wazi sasa kila mtu kakichoka hiki chama. Ile tabia ya ccm kutumia watu maarufu na wenye maadili kufunika maovu yao kwenye mikutano leo imejikuta kuwa kama Mbuni kujificha kwenye mchanga ambapo kichwa huzamishwa chini na mkia juu ya ardhi.
Baada ya kumkokota Mke wa marehem Hayati Baba wa Taifa Mwl Nyerere leo kwenye mikutano ya CCM huko butyama.
Bibi Kizee huyu amekata kata kuunga mkono utawala ambao pengine haridhishwi nao. Sina shaka kuwa walimlazimisha aje kusifia ujenzi wa Flyover SGR na Stiglers. Huku Bibi huyo akijua mambo muhimu ya kitaifa yaliachwa nyuma kama kutekwa watu kiholela, kuuawa, kuteswa, kupotea, kubambikia makesi watu wasio na makosa, kufunga
,View attachment 1559382 kunyima watu ajira , kukwamisha miradi ya maendeleo kwenye majimbo ya wapinzani n.k.
Mama huyu ametamka hadharani mchana kweupe( broad daylight) kuwa kalazimishwa aje kuongea na yeye hataki.