Mama Masaburi anapaswa kutoa ushahidi kwa kuwataja wabunge ambao ni mashoga

Nadhani anafikiria wanaolengwa ni Mdee na Bulaya na katika fikra zake finyu anafikiria kuwa anaikomoa CHADEMA.
chadema ataikomoaje wakati amesema kuna wabunge mashoga wewe tuambie hapa chadema inambunge nani mule bungeni otherwise anamaanisha ccm imejaza mashoga bungeni maana ndio wabunge pekee waliomo humo. Ndio maana huwa nasema hapa kila mara kuwa ccm na wafuas wao ni mashoga haya sasa imejidhihirisha kwa mbunge wao huko ccm.
 

Nimemkumbuka mzee wetu Mzee wa msamiati wa "Masaburi"

"Wabunge wa Dar es Salaam wanafikiri kwa makalio badala ya Ubongo" - Thomasi Masaburi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…