Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmhhhhh... Wanafanya hivyo kweli?Anatakiwa apimwe angalau mara tatu kabla ya kujifungua na anapoanza kunyonyesha
Mmmhhhhh... Wanafanya hivyo kweli?
Mmmhhhhh... Wanafanya hivyo kweli?
Mtego wa kuwalisha watu sumu za ARV
Daaa Afadhaliiii
Yes...wanapima walau mara 3. Ukipima ile ya kwanza, kwenye kadi unaandikiwa tena baada ya miezi mi 3, then utapimwa tena.Mmmhhhhh... Wanafanya hivyo kweli?
Ni sharti sio ombi na baba mwenye hio mimba pia anatakiwa kupimaWajuzi wa Mambo Au Kina Mama Ambao Tayari Mmeshapitia Steji hii.
Hivi ni Lazima Mjamzito Apime Virusi vya Ukimwi kila anaporipoti Kliniki.
Huenda iligoma ku-react kwenye first visit, au wanajihakikishia tuWajuzi wa Mambo Au Kina Mama Ambao Tayari Mmeshapitia Steji hii.
Hivi ni Lazima Mjamzito Apime Virusi vya Ukimwi kila anaporipoti Kliniki.
Kwani uliacha kutumia arv?Daaa Afadhaliiii
Unapimwa kwa ajili ya mustakabali mwema wa mama,mtoto na wanaokuzunguka.Kwa nini hampendi kupimwa?Mnaogopa kuchomwa kijisindano?Mmeanza mambo ya kuogopa kupimwa na kuchanjwa kama Covid 19?Wajuzi wa Mambo Au Kina Mama Ambao Tayari Mmeshapitia Steji hii.
Hivi ni Lazima Mjamzito Apime Virusi vya Ukimwi kila anaporipoti Kliniki.
ARV sio pipi.Sumu tena ndugu