Mama mjamzito ni lazima apime vvu kila anaporipoti kliniki ???

Mama mjamzito ni lazima apime vvu kila anaporipoti kliniki ???

Wajuzi wa Mambo Au Kina Mama Ambao Tayari Mmeshapitia Steji hii.

Hivi ni Lazima Mjamzito Apime Virusi vya Ukimwi kila anaporipoti Kliniki.
muraa.. imekuwaje huko baba umeitwa kupeleka sampo hospitali au?😂
 
Kwa hospitali hz za kizalendo (serekali) inawezekana. niliwahi kwenda kufunga kidonda hospitali moja ya serikali baada ya kuwa nmejikwaa kidoleni. cha ajabu baada ya kushughulika na jeraha wakaanza kunipekua hayo mambo ya ngoma. naona hospitali binafsi hawana huo muda.
 
Kwa hospitali hz za kizalendo (serekali) inawezekana. niliwahi kwenda kufunga kidonda hospitali moja ya serikali baada ya kuwa nmejikwaa kidoleni. cha ajabu baada ya kushughulika na jeraha wakaanza kunipekua hayo mambo ya ngoma. naona hospitali binafsi hawana huo muda.
Wanazingua kwa Kweliiiii
 
Hapana. Nafikiri anapimwa hudhurio la kwanza pekee.
Anapimwa
  • Hudhurio la kwanza ( first trimester)
  • Anapimwa tena third trimester.
  • Baada ya hapo anapima tena Miezi 3 baada ya kujifungua.
  • Anapima tena miezi 6 baada ya kujifungua.
  • Mwisho miezi 9 9 baada ya kujifungua.

Anatakiwa kupima Mara 5 kama ataanza Clinic mapema iwezekanavyo.
 
Ni vizuri ukapima au kama unaishi na VVU kuwa muwazi ili wahudumu wahakikishe mtoto anabaki salama.

Watoto wadogo WASIO NA HATIA wanameza Dawa mpaka wanatia huruma kwasababu ya UZEMBE was Watoa huduma au ROHO MBAYA za Wazazi au KUPUUZIA.
 
Ni vizuri ukapima au kama unaishi na VVU kuwa muwazi ili wahudumu wahakikishe mtoto anabaki salama.

Watoto wadogo WASIO NA HATIA wanameza Dawa mpaka wanatia huruma kwasababu ya UZEMBE was Watoa huduma au ROHO MBAYA za Wazazi au KUPUUZIA.
Amna ni hofu tuuu...manaaaa
 
Wajuzi wa Mambo Au Kina Mama Ambao Tayari Mmeshapitia Steji hii.

Hivi ni Lazima Mjamzito Apime Virusi vya Ukimwi kila anaporipoti Kliniki.
ofcourse ili ikijulikana wewe na mkeo mmeyakanyaka mtoto aliyetumboni aingizwe kwenya utaratibu wa uzazi salama! kuna uwezekano mkubwa wa kuzaliwa hana ngoma! Tulia mama aende kupimwa ili mumnusuru mtoto!
 
Yes...wanapima walau mara 3. Ukipima ile ya kwanza, kwenye kadi unaandikiwa tena baada ya miezi mi 3, then utapimwa tena.
Mmhh.... Hii ya kwenye makaratasi.... Sisi tunaokwenda clinic tuna majibu ya uhalisia kinachoendelea😆🤣
 
Anapimwa
  • Hudhurio la kwanza ( first trimester)
  • Anapimwa tena third trimester.
  • Baada ya hapo anapima tena Miezi 3 baada ya kujifungua.
  • Anapima tena miezi 6 baada ya kujifungua.
  • Mwisho miezi 9 9 baada ya kujifungua.

Anatakiwa kupima Mara 5 kama ataanza Clinic mapema iwezekanavyo.
Hii ya kwenye makaratasi jamani.... Mbona huko clinic tunapimwa Mara Moja.... Acheni utani bhanaz😆🤣😅
 
Jamiiforums Ina wenyewe every post ya kuchangamsha na kushare experience Kwa baadhi ya watu zinatupwa sana, It doesn't give you millions of dollars, we have many of such replica na zikaachwa bila uhamisho wa husda husda
 
Hii ya kwenye makaratasi jamani.... Mbona huko clinic tunapimwa Mara Moja.... Acheni utani bhanaz😆🤣😅
Labda ni hiyo Clinic uliyoenda wewe..ila niliyompeleka wife amepimwa more than two times.
 
Back
Top Bottom