majeshi 1981
JF-Expert Member
- Dec 7, 2013
- 2,090
- 812
Huwez jua wamejipanga vp kiuchumi na wakipanga vitatu sindo ndugu watakuja kuhamia kabisa
na Katavi. Miez kama sita walikuwepo mashemej 2 walikua wanakula pale na kushinda jion wanaenda kulala kwa marafiki walikaa karibu miez3
Poverty. And everything about poverty
Miss u...
Duh! huyo mama nahisi amekuja na mkakati wa kuvunja ndoa ya mwanae..........
hebu chunguzeni kwa makini mpate ajenda nyingine iliyomleta town.
Possibly, na huenda mumewe analala kwa mchepuko badala ya rafiki na ndio maana hafanyi chochote kuhusu mama yake.
Yaani nimemsimulia mama ameshangaa.
Hii ni kuhusu ustaarabu zaidi kuliko umaskini. Kwanza with african pride mzazi anakaaje kwa mwanae mwezi mzima?
hehehe bhange hizi, ningekuwa mie bidada ninge-masturbate kwa sauti kabisa usiku ili aniulize shida ni nini lol
unaandika tu ,usingeweza kufanya hivyo........
Hapo hata mie pamenishangaza
acha kuongelea ushabiki, fikiria chumba kimoja na mtu kaja kwa kusalimia na si matatizo.Kina mama mkwe mara nyingi wanakuwa hawakubaliki, mara nyingi wanatafutiwa hadi visingizio vya uongo.
Nilichogundua mke akileta wazazi wake hata wakae mwaka mzima sio tatizo lakini mume akitembelewa na mama yake wiki moja tu nongwa zinaanza, vijisababu vingine vya kutunga ataambiwa baba mwenye nyumba ili mradi mama wa watu aondoke. Na kama unavyojua tena katika ndoa nyingi(ingawa sio zote) mwanamke ana nguvu, mama wa watu lazima ataondoka
Aliamua mwenyewe kuolewa na mtu maskini.Wanaume maskini ni wanaume wavivu tell her to run she will die poorWana sisi wazima huku najua hakuna fujo sana.
Na kuna watu makini wa kunisaidia.
Wapenzi nnamdogo angu ana kama 26 kaolewa na mtu wa Dodoma. Naishi nae karibu kama nyumba 5 kutoka kwangu amepanga chumba1 self containal.
Sasa kama mwezi mkwewe alikuja kumsalimu.
Na alsema anakaa siku3 jamani had leo mumewake analala kwa marafiki zake juzi nasikia anaongea na ndugu zake kuwa atarudi hadi pasaka iishe jamani mwezi na siku kadhaa na analala kitandani bila aibu.
Anaogopa kumwambia mumewe atahisi anamchukia mama yake na hivyo anataka jumamosi kuondoka kwenda kwao morogoro ila mkwe haoneshi hata. Kuondoka kasema kama haukaisana utanikuta.
Hebu mshaurin mdogo angu jamani.
Pagumu sana hapo,dah vitu vingine bhana mtu unajishtukia mwenyewe,ina maana huyo maana hata hajishtukii!
Hehehe, uko sahihi kabisaa. Kwanza mwanaume anayestahili kuwa mjme wangu hawezi ruhusu upuuzi huu aisee. Kwa hiyo kabla ya kufikia haya ningeshapiga chini huyo mwanaume slacky
kama unataka kulala na mmeo huko kwenu hakuna gesti?Wana sisi wazima huku najua hakuna fujo sana.
Na kuna watu makini wa kunisaidia.
Wapenzi nnamdogo angu ana kama 26 kaolewa na mtu wa Dodoma. Naishi nae karibu kama nyumba 5 kutoka kwangu amepanga chumba1 self containal.
Sasa kama mwezi mkwewe alikuja kumsalimu.
Na alsema anakaa siku3 jamani had leo mumewake analala kwa marafiki zake juzi nasikia anaongea na ndugu zake kuwa atarudi hadi pasaka iishe jamani mwezi na siku kadhaa na analala kitandani bila aibu.
Anaogopa kumwambia mumewe atahisi anamchukia mama yake na hivyo anataka jumamosi kuondoka kwenda kwao morogoro ila mkwe haoneshi hata. Kuondoka kasema kama haukaisana utanikuta.
Hebu mshaurin mdogo angu jamani.
Mwanaume uwezo wake chumba Kimoja .Kuna WANAWAKE bado wanaolewa na wanaume wenye chumba kimoja.Hehehe, uko sahihi kabisaa. Kwanza mwanaume anayestahili kuwa mjme wangu hawezi ruhusu upuuzi huu aisee. Kwa hiyo kabla ya kufikia haya ningeshapiga chini huyo mwanaume slacky