Mama mkwe ana mwezi hana dalili ya kuondoka, chumba kimoja, nimemmisi mume wangu

Huwez jua wamejipanga vp kiuchumi na wakipanga vitatu sindo ndugu watakuja kuhamia kabisa
na Katavi. Miez kama sita walikuwepo mashemej 2 walikua wanakula pale na kushinda jion wanaenda kulala kwa marafiki walikaa karibu miez3

hatari, huko si kwa kuolewa wala kuoa.
 
Hii ni kuhusu ustaarabu zaidi kuliko umaskini. Kwanza with african pride mzazi anakaaje kwa mwanae mwezi mzima?

hehehe bhange hizi, ningekuwa mie bidada ninge-masturbate kwa sauti kabisa usiku ili aniulize shida ni nini lol
Poverty. And everything about poverty
 
Duh! huyo mama nahisi amekuja na mkakati wa kuvunja ndoa ya mwanae..........

hebu chunguzeni kwa makini mpate ajenda nyingine iliyomleta town.

Possibly, na huenda mumewe analala kwa mchepuko badala ya rafiki na ndio maana hafanyi chochote kuhusu mama yake.

Yaani nimemsimulia mama ameshangaa.
 
mama mkwe kafikia hatua hiyo??

kwanza inakuwaje analala kwenye kitanda cha mwanae?

come on you mother in law's, wapeni uhuru wanenu!
 
Possibly, na huenda mumewe analala kwa mchepuko badala ya rafiki na ndio maana hafanyi chochote kuhusu mama yake.

Yaani nimemsimulia mama ameshangaa.

yaani hayo ni maajabu kwakweli.........

usikute hata wameshamtafutia mwanamke mwingine na wanampango amuache huyu wamuozeshe huyo mwingine........

usione binadamu anakuchekea, wakati mwingine inakuwa usoni tu ila moyoni ni majanga.
 
Hii ni kuhusu ustaarabu zaidi kuliko umaskini. Kwanza with african pride mzazi anakaaje kwa mwanae mwezi mzima?

hehehe bhange hizi, ningekuwa mie bidada ninge-masturbate kwa sauti kabisa usiku ili aniulize shida ni nini lol

unaandika tu ,usingeweza kufanya hivyo........
 
acha kuongelea ushabiki, fikiria chumba kimoja na mtu kaja kwa kusalimia na si matatizo.
Sie kwa mila zetu hairuhusiwi kabisa mzazi kuona kitanda cha mwanae sembuse kulalia? Tena bila sababu ya msingi. Huyo mama anatafuta la kulitafuta.
Huyo mdogo wako avumilie tu na akimuhitaji mumewe waende hata lodge kukidhi haja zao
 
Ndiyo raha na karaha za utamaduni wa kiafrika unaodumisha mahusiano ya kinasaba.
Ushauri wa bure afanye partition ya shuka...upande mmoja alale mgeni na upande mwingine wabaki wao,..na kula ubwabwa sharti baada ya mama mkwe akiwa anakoroma kwa usingizi.
 
Aliamua mwenyewe kuolewa na mtu maskini.Wanaume maskini ni wanaume wavivu tell her to run she will die poor
 
Hehehe, uko sahihi kabisaa. Kwanza mwanaume anayestahili kuwa mjme wangu hawezi ruhusu upuuzi huu aisee. Kwa hiyo kabla ya kufikia haya ningeshapiga chini huyo mwanaume slacky

hapo tupo pamoja,,,,,,,,,,

ila walimwengu wana mambo , na mila na tamaduni zinasahaulika kabisa sasa hivi..........
 
kama unataka kulala na mmeo huko kwenu hakuna gesti?
kama ni ki1 2,mkwe hatoki nje au hata haendi kuoga?
kama la omba ata show time huko mmeo anakolala
 
Duh!kweli wasioo na aibu wana miji yao kwakweli,hiyo ki2 kwe2 mwiko.Avumilie tu coz haina jinc
 
Hehehe, uko sahihi kabisaa. Kwanza mwanaume anayestahili kuwa mjme wangu hawezi ruhusu upuuzi huu aisee. Kwa hiyo kabla ya kufikia haya ningeshapiga chini huyo mwanaume slacky
Mwanaume uwezo wake chumba Kimoja .Kuna WANAWAKE bado wanaolewa na wanaume wenye chumba kimoja.
 
Pole kwa mdogo wako ila kama uwezo unaruhusu mwambie awe wazi kwa mumewe walau hata kwa wiki mara mbili waende ghest or hotelin mpk mama atakapoondoka.
 
mjini mipango,jamaa ndio anamzuia mama asiondoke ili aendelee kujitafunia mpango wa kando bila wasi,muulize kama anapajua huko anakolala mwanaume.kalaghabaho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…