BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
Kweli makabila tunatofautiana mila
Kwetu mzazi wako hathubutu kulalia kitanda ambacho mwanae analala na mumewe au mkewe
Mama mkwe kakosa ustaarabu
Mume nae hajitambui
Ila kwa vile huuo ni mzazi wavumilie tu
Mpaka siku hamu zitakapowakaba wakatafuta pa kupunguza fasta fasta
Kama wana ndugu wengine mjini basi wamwambie azungukie wengine kuwasalimia abgalau watapata wasaa wa faragha
Kwetu mzazi wako hathubutu kulalia kitanda ambacho mwanae analala na mumewe au mkewe
Mama mkwe kakosa ustaarabu
Mume nae hajitambui
Ila kwa vile huuo ni mzazi wavumilie tu
Mpaka siku hamu zitakapowakaba wakatafuta pa kupunguza fasta fasta
Kama wana ndugu wengine mjini basi wamwambie azungukie wengine kuwasalimia abgalau watapata wasaa wa faragha