Mama mkwe anapokua mwiba kwenye ndoa

Mama mkwe anapokua mwiba kwenye ndoa

Rafiki yangu alikwenda kusaidia nyumbani kwa mtoto wake wa kiume. Hawakuwa na msichana wa kazi hivyo mtoto wake ambae ndiye mume alimuomba aende mjini kwa muda.

Ameishi miezi mitatu, mama mke wa mwanae ameamua kuhamia hotelini na kumwambia mume wake, hataridi nyumbani mpaka mama yake awe ameondoka.

Mama wengine wanaona mke amekuja kuwa princess kwenye nyumba ya mwanae. Hawajui kuwa mke pia anasaidia majukumu ya nyumbani ili mradi maisha yaende.
Naomba uhariri habari yako vyema hueleweki kabisa.
Andika vizuri...
wanaochangia wamechangia kwa uzoefu wao si kwasababu wameelewa habari yako
 
Shida hapo kila mtu anajihesabia haki kwa kijana....

Mama (huyu ni mwanangu na hapa ni kwake nina haki zote juu yake)
Dada ( huyu ni kaka angu na hapa ni kwake nina haki zote kwake)
Mke (huyu ni mme wangu na hapa ni kwangu/kwetu nina haki zote)

Ukijumlisha na akili zetu wanawake zilivyo, tabu tupu.
Na hivi familia zetu za kiafrika hazina mipaka na mke anachukuliwa kama kitu cha kupita.... kila mtu anataka ku-mark territory yake humo ndani
 
Na hivi familia zetu za kiafrika hazina mipaka na mke anachukuliwa kama kitu cha kupita.... kila mtu anataka ku-mark territory yake humo ndani
Sasa gari moja madereva watatu, kuna kitu hapo?
Huwa nawacheki wahindi maisha yao nyumba moja wanaishi woteeee mkwe muolewaji ndugu kadhaa wa kadha sijui wanawezaje.
Kibongo mke na wifi tu nyumba inachemka 😂😂😂
 
Mama mkwe akiamua kuwa mkurdi namna hiyo inabidi achanwe
 
Unadhani shida ni mkwe basi

Hapo shida ni mwanamke sio mke wala mkwe.

Wanawake wana asili ya kuleta matatizo kwenye mahusiano ya mwanaume.Unnecessary competition

Kuna options nne

Option ya kwanza,Nenda kwa mama ako mwambie ili limwanamke sijui liliniroga yaani sijui kwanini nilioa mwanamke km huyu nakaa nae kwa ajili ya watoto wangu tu.

Ukitoka hapo nenda kwa mkeo mwambie yaani mama angu mzoee tu anakera sana.Tunateseka nae siku Zote kila mtu kashindwa kuishi ila ndo mama angu nitafanyaje sasa siwezi mfukuza mzazi.Hapo mama ako atadhani yeye ndo mshindi na mkeo atadhani yeye ndo mshindi maana unachopambana nacho hapo ni ugomvi wa wanawake na always hauna sababu za msingi wala haujawahi kuwa na sababu za msingi hivyo hauishagi mpk mmoja aamue kujifanya mjinga.

Option ya 2.Ni kakaa na mama ako mwambie kabu tu sitaki kuingilie mahusiano yangu kwa namna yeyote ile mimi ni mwanao ila sio mtoto mdg nishakuwa nita handle issue zangu mwenywe.
Ita mkeo mwambie sitaki uende kwa mama angu wala ulete mazoea yeyote na mama angu kila mtu afanye mambo yake na nisikusikie unajihusisha kwa namna yeyote na ishu za mama angu.
Ishi mbali na kwenu hlf wewe ndo uwe unaenda kumtembelea mama .

Ukiwa mwanaume mwenye msimamo vzr utajua kuweka mipaka maana si vby kumface mtu ukampa makavu ht km ni mama yako ingawa sijakwambia ukamtukane
Option 3:Anayekosea unamsema awe mama ako awe mke wako hata km wote wamekosea unawasema tu bila kujali.

Shida ya hii wote watataka kukuonyesha wewe hawana makosa hlf inahitaji uwepo sehemu ya tukio ili ujue nani kakosea.
Ukitokea umekosoa vby ni shida.

Option ya 4😛ima busara zao
Mfano kama mkeo ndo ana busara basi mwambie apuuze asifanye lolote amchore tu km mama ako ndo mwenye busara basi mwambie apuuze tu.Mjinga akipuuzwa anajirudi.
 
Back
Top Bottom