Mama mkwe anapokua mwiba kwenye ndoa

Naomba uhariri habari yako vyema hueleweki kabisa.
Andika vizuri...
wanaochangia wamechangia kwa uzoefu wao si kwasababu wameelewa habari yako
 
Na hivi familia zetu za kiafrika hazina mipaka na mke anachukuliwa kama kitu cha kupita.... kila mtu anataka ku-mark territory yake humo ndani
 
Na hivi familia zetu za kiafrika hazina mipaka na mke anachukuliwa kama kitu cha kupita.... kila mtu anataka ku-mark territory yake humo ndani
Sasa gari moja madereva watatu, kuna kitu hapo?
Huwa nawacheki wahindi maisha yao nyumba moja wanaishi woteeee mkwe muolewaji ndugu kadhaa wa kadha sijui wanawezaje.
Kibongo mke na wifi tu nyumba inachemka πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mama mkwe akiamua kuwa mkurdi namna hiyo inabidi achanwe
 
Unadhani shida ni mkwe basi

Hapo shida ni mwanamke sio mke wala mkwe.

Wanawake wana asili ya kuleta matatizo kwenye mahusiano ya mwanaume.Unnecessary competition

Kuna options nne

Option ya kwanza,Nenda kwa mama ako mwambie ili limwanamke sijui liliniroga yaani sijui kwanini nilioa mwanamke km huyu nakaa nae kwa ajili ya watoto wangu tu.

Ukitoka hapo nenda kwa mkeo mwambie yaani mama angu mzoee tu anakera sana.Tunateseka nae siku Zote kila mtu kashindwa kuishi ila ndo mama angu nitafanyaje sasa siwezi mfukuza mzazi.Hapo mama ako atadhani yeye ndo mshindi na mkeo atadhani yeye ndo mshindi maana unachopambana nacho hapo ni ugomvi wa wanawake na always hauna sababu za msingi wala haujawahi kuwa na sababu za msingi hivyo hauishagi mpk mmoja aamue kujifanya mjinga.

Option ya 2.Ni kakaa na mama ako mwambie kabu tu sitaki kuingilie mahusiano yangu kwa namna yeyote ile mimi ni mwanao ila sio mtoto mdg nishakuwa nita handle issue zangu mwenywe.
Ita mkeo mwambie sitaki uende kwa mama angu wala ulete mazoea yeyote na mama angu kila mtu afanye mambo yake na nisikusikie unajihusisha kwa namna yeyote na ishu za mama angu.
Ishi mbali na kwenu hlf wewe ndo uwe unaenda kumtembelea mama .

Ukiwa mwanaume mwenye msimamo vzr utajua kuweka mipaka maana si vby kumface mtu ukampa makavu ht km ni mama yako ingawa sijakwambia ukamtukane
Option 3:Anayekosea unamsema awe mama ako awe mke wako hata km wote wamekosea unawasema tu bila kujali.

Shida ya hii wote watataka kukuonyesha wewe hawana makosa hlf inahitaji uwepo sehemu ya tukio ili ujue nani kakosea.
Ukitokea umekosoa vby ni shida.

Option ya 4πŸ˜›ima busara zao
Mfano kama mkeo ndo ana busara basi mwambie apuuze asifanye lolote amchore tu km mama ako ndo mwenye busara basi mwambie apuuze tu.Mjinga akipuuzwa anajirudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…