miss chuga
JF-Expert Member
- Dec 25, 2019
- 303
- 660
- Thread starter
-
- #261
Miss chagga ni mwnamke wa ajabu kweli. Ni wife material hakuna mfano nakuhakikishia. Kiuhalisia alivyo ni tofauti na anavyojionesha hapa JF. Kwa bahati namfahamu tangu akiwa kinda
Nikweleze ulipoteleza?U wife material material mama mkwe hauoni jamani Ila Mimi na Imani kuwa ni sehemu ya maisha siku zote shetani hapendi mambo mazuri ndomana tunapata majaribu Ila namini Mungu yupo mambo yatakuwa sawa tu
Ushauri hapa utapata mwingi tu tena usiofaa na unaofaa ila all in all majibu ya maombi yetu yanatoka kwenye Biblia,nakushauri OMBA OMBA OMBA kama hii ndoa ipo itafungwa tu hata kama ikisogezwa mpaka mwakani maana wewe si mchaga wa kwanza kuolewa wala hutokua wa mwisho,haya mambo hutokea pindi mnapokua kwenye process ya kufunga ndoa shetani hutafuta kujiinua maana Ndoa ni ibada na hataki ikamilike kwenu so lia na Mungu wako atakushindia jaribu lako pia ongea na wazazi wako itakusaidia kutua mzigo na uchungu moyoni na naimani utapata ushauri mzuri na wakiutuuzima...Pole
Kingsmann
Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app
Ukiwa na shughuri ya ndoa mambo mengi Sana walengwa ukutana nayo na hapo bado changamoto zitakuja nyingi Sana ambazo unaweza ukajiuliza maswali mengi Sana na ukakufuru apo binadamu Hana nafasi katika ushauri dili na Mungu tu funga hata siku tatu mwambie Mungu Kama huyu mwanaume ni wangu nipe Kama cyo wangu naomba aondoke Mungu ujibu usitetereke na aibu pambana na Mungu wako afu mpenzi wako mwache amue yeye afanyaje usimforce afanye hvyo na usije ukabeba mimba omba Kwanza afu utulie Mungu afanye kazi yake.
tako kwishinei
[emoji23][emoji23] kuwa na confidence ni kosa kubwa sana nakuambiaMaana muda wowote watarudisha majeshi kwetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawakawii hawa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wapendwa tumeongea mengi sana humu na kiukweli ni wazi kuwa mwenzetu anahitaji msaada na yuko njia panda na anapitia wakati mgumu sana kwa sasa
ila naomba tu nikumbushe kitu kimoja muhimu sana hapa duniani,kwani nimeona kuna wengine wanaongea katika namna ya wazazi nini banah as long as we umependa basi kazi imeisha
wapendwa naomba tukumbushane kuwa hata sisi ambao leo ndo tuko kwenye process ya kufunga ndoa ni wazazi watarajiwa ambao baadae tutakuwa na mabinti na vijana wetu ambao tungependa watusikilize na watuchukulie sisi kama part ya Maisha yao na watilie maanani maoni na maadili tuliyowapatia,jiulize wewe leo ni mzazi unamuonya mwanao kuhusu kuoa au kuolewa na mtu Fulani kwa sababu umeona wazi kuwa anaweza kumletea shida huko mbeleni,ungependa mwanao aitikieje? ungependa kumwacha mwanao ajiingize kwenye ndoa ambayo itamletea matatizo hapo baadae? au afanye chochote ambacho kitamsababishia shida hapo baadae?
actually sio kila sababu ambayo mzazi anaimpose ina maana au inaweza kutuletea shida kama tutaamua kwenda nayo kinyume,mf mzazi anamkataa mwanamke kwa sababu mbaya hana mvuto mtazaa watoto vituko,au labda hamtaki mwanaume kwa sababu ni masikini hana pesa,what the heck ?????????? Lakin kuna mambo ambayo wazai wetu wameona kwa sababu ya kuishi kwingi hivyo wanapojaribu kutupa opinion zao zenye mashiko na ambazo ni fact tujaribu kupima uzito wa yale wanayotuambia,kwa sababu mara nyingi maonyo ya wazazi huwa hayaanguki hivi hivi,esp kama ni facts.
My take kwako miss chuga kamwe usipuuze hisia za mama ya mume wako kwa sababu hata wewe kuna siku utakuja kuwa mama mwenye uchungu na upendo sana kwa kijana au binti yako,sidhani kama ungefurahia kuona kijana wako anacut ties na wewe au kupuuza vile unavyohisi kwa ajili ya mwanamke au mwanamume mwingine esp kama utakuwa na sababu za msingi za kutenda au kusema kwa namna moja ama nyingine.
kama unaamini unaweza kumproove wrong mama mkwe na kumfanya ajutie maamuzi ya kukutatalia kuolewa na kijana yake,basi jairibu kutumia hata watu wazima wamshawishi ili akubaliane na ndoa yenu hata kama ni kwa shingo upande ili baada ya hapo umuoneshe kuwa kijana wake hakukosea kukuchagua wewe kama mke
last option kama unaamini umedhamiria kujenga mji na huyo mume wako na unaamini una uwezo wa kurudisha uhusiano mzuri uliopo baina ya mama na mwanaye na kumprove wrong mama mkwe na kama umejaribu mbinu za kutumia watu wazima ikashindikana,basi kafungeni ndoa bomani na mashahidi wenu wawili tu bila kuhusisha upande wowote wa ndugu au wazazi kisha baada ya hapo uanze kazi ya kumrudisha mume wako na mama yake warudi kwenye good terms na kumuonesha kijana wao hakuksea kukuchagua wewe,na kamwe usiache kwani ukifanikiwa utakuwa the best mkwe ambaye wamewahi kuwa naye,na pengine wanaweza kuwa upande wako kuliko unavyotarajia kiasi hata wewe ukikosea wanaamini kijana wao ndo ana shida,mara nyingi ndoa ni kujisacrifice kwa ajili ya furaha ya mtu mwingine
tofauti na hapo usijjingize kwenye hiyo ndoa my dear,ni kweli ndoa ni ya watu wawili,lakini ndoa haipo kwa ajili ya kuwatenganisha na wazazi na ndugu au mahali tulipokulia,na kuna wakati tu katika maisha yetu mtawahitaji wazazi au ndugu au watu wowote zaidi ya ninyi wanandoa wenyewe,thats the fact of life,unaweza ukashangaa mkilazimisha bila bidi yoyote ya kushawishi wazzai hata huyo mumeo ikitokea ishu yoyote serious kati yenu anaweza akaongea maneno yakakuvunja moyo kabisa,utasikia anasema ndo maana mama yangu alikataa ndo mambo kama haya sasa najutia bora ningemsikilizaga mama yangu,
haya mapenzi ni ya mwanzoni tu my dear,ndoa zina mengi marriage is not a bed of roses, inaweza ikafika point mkachokana jamaa anaweza amua hata kuoa mke mwingine kwa kisingizo tu mama yangu aliwahi kunikatalia ila nililazimisha tu ,na wakati huo ukose backup yoyote ile
usilazimishe kuna watu waliachwa siku ya ndoa yenyewe wanasubiria mume/mke kanisani haonekani hiyo aibu yake na maumivu yake hayawezi kufananishwa na hatua uliyofikia wewe,na bado baada ya muda mfupi tu wakapata wenzi wazuri na bora kuliko hao waliowaacha,
so please my dear usifanye maamuzi kwa kurupuka,omba sana mwongozo wa Mungu,tafakari na uchukue hatua,utakuja kuwa mama siku moja na labda ndipo utakapoweza kuzielewa vizuri Zaidi hisia za mama mkwe wako kwa sasa(esp kama ana sababu za msingi kuamua uamuzi wa namna hiyo na hajaamua kuweka wazi)
Dada nakuelewa sana yani unaweza ugua KICHAAA so just take care.Nazidi kuchanganyikiwa sijui hata nisimamie upande gani yani ubongo umechoka Kuna kitu kinanisukuma nipige tu mayowe sijui kwanini nahisi ni dalili za kuchanganyikiwa hivi mnajua haya mambo ni magumu sana jamani uwiiiiiiiii!!!! Jana Kuna mtu alishauri huku kuwa ukikubali mfunge ndoa bila ndugu zake watasema umemloga nikaona kweli nikamshauri mchumba angu amuombe mchungaji akaongee na mama yake ili akubali nikamwambia Mimi nataka amani sitaki vita akanijibu nimechoka kuwabembeleza tena usiwaze hilo nmeshasema tunafunga ndoa kuhusu kwetu achana napo uko nshamaliza hakutaka hata niendelee kuongelea hili swala hivi ningefanyaje jamani haya mambo ni mazito jamani acheni usiombe yakukute peke yangu bila Mungu sitoweza yani Kama Jana usiku sijalala hapa naskia tu Kuna sauti inanisukuma nipige mayowe na ninahisi siku ya leo haitopita bila kupiga mayowe ubongo ushastack natamani hata atokee mtu aniteke kupoteza ushahidi maana ujasiri wa kuwaambia kwetu sina kabisa wazazi wangu watakufa na presha wakisikia Jana tu nmemgusia dada yangu juu juu naye presha ikampanda ikabidi tu nimwambie nilikuwa nakutania mambo yako sawa maana alianza hadi kulia sembuse wazazi Ee Mungu naomba nitetee
Yaani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuwa na confidence ni kosa kubwa sana nakuambia
Umemaliza. Yaan awaprove wrongDada nakuelewa sana yani unaweza ugua KICHAAA so just take care.
Ushauri wangu wa mwisho ambao kimsingi ndio unachotakiwa kufanya. huyo Mchumba wako hana mali kwa sasa so sio kwamba umefata mali hapana. Hao ndugu zake hawakuchukii sababu eti ni mchaga ila bhasi tu hawajakupenda wao binafsi na Kimsingi wewe Hata ndugu wa mwanaume wakikupenda mpaka Kufa na jamaa akawa hakupendi hapo Kweli utapata tabu sana na kimsingi hakuna ndoa lakini ndugu WAKIKUCHUKIA AKIWEPO MAMA MKWE BILA SABABU bhasi jitahidi usiwape sababu huko mbele ya Kumwambia mtoto wao unaona tulikwambia huyu sio mwanamke.
Pole sana lakini KAMA JAMAA KAAMUA AKUOE BILA KUJALI NDUGU ZAKE WEWE HAO NDUGU ZAKE HUJAZALIWA NAO NA UNAENDA KUISHI NA MUMEO.
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Kabisa asibadilike maana wadada wa kichaga na kipare nao jamani kweli sio wote ila asilimia kubwa hujisahau.. Akiolewa anataka amtawale mwanaume yeye ndo awe kichwa cha familia..majibu ya ovyoo hapo mwanaume lazima amwambie mama yake na atakumbuka maneno ya mama yake.Umemaliza. Yaan awaprove wrong
Sisi ni mti wenye matunda...
Halafu sasa mbona huku tunaongoza kutoa mabinti wanaooleka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila wanavyotuandama sasa[emoji1787][emoji1787]
Huyu mama mkwe nina mashaka atakuwa anatoka huku maana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui waliwalishaga sumu gani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna rafiki yangu mmoja wa kiume naye ametoka kunipa stori hizohizo juzi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila chagga and nyaki girls shine banaa. Wapambanaji mnoo[emoji28]Yaani [emoji23][emoji23][emoji23]
Kama vile uko karibu na ukweli!!Isijekuwa mchumba wako kapata mchumba mwingine anayekuzidi kila eneo, kamtuma mama aweke kizuizi ili akuache na yeye aendelee na mchumba mpya...!!!
Nazidi kuchanganyikiwa sijui hata nisimamie upande gani yani ubongo umechoka Kuna kitu kinanisukuma nipige tu mayowe sijui kwanini nahisi ni dalili za kuchanganyikiwa hivi mnajua haya mambo ni magumu sana jamani uwiiiiiiiii!!!! Jana Kuna mtu alishauri huku kuwa ukikubali mfunge ndoa bila ndugu zake watasema umemloga nikaona kweli nikamshauri mchumba angu amuombe mchungaji akaongee na mama yake ili akubali nikamwambia Mimi nataka amani sitaki vita akanijibu nimechoka kuwabembeleza tena usiwaze hilo nmeshasema tunafunga ndoa kuhusu kwetu achana napo uko nshamaliza hakutaka hata niendelee kuongelea hili swala hivi ningefanyaje jamani haya mambo ni mazito jamani acheni usiombe yakukute peke yangu bila Mungu sitoweza yani Kama Jana usiku sijalala hapa naskia tu Kuna sauti inanisukuma nipige mayowe na ninahisi siku ya leo haitopita bila kupiga mayowe ubongo ushastack natamani hata atokee mtu aniteke kupoteza ushahidi maana ujasiri wa kuwaambia kwetu sina kabisa wazazi wangu watakufa na presha wakisikia Jana tu nmemgusia dada yangu juu juu naye presha ikampanda ikabidi tu nimwambie nilikuwa nakutania mambo yako sawa maana alianza hadi kulia sembuse wazazi Ee Mungu naomba nitetee
Hii kauli ya kusema sijui mabinti wa kichagga hivi na vile mbona tunaona makabila mengi tuu hawana adabu[emoji28][emoji28]Kabisa asibadilike maana wadada wa kichaga na kipare nao jamani kweli sio wote ila asilimia kubwa hujisahau.. Akiolewa anataka amtawale mwanaume yeye ndo awe kichwa cha familia..majibu ya ovyoo hapo mwanaume lazima amwambie mama yake na atakumbuka maneno ya mama yake.
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Tuongee ukweli kwa mtu ambae amefatilia kauli zako toka mwanzo atakundua yafuatayo.
1.unachuki na huyo mama mkwe,ni kweli kakutendea usilopenda ila kiukweli hujataka kuvaa viatu vyake zaidi ya kumuatack yeye na ndugu wa mumeo mtarajiwa(kama atakuoa)
2.unakahasira flani ambako jaribu kukapunguza na utafute suluhu,umesema kwenu mmeokoka so sidhani kama unaweza omba Mungu akusaidie na ushaanza kuassume na kuwataja watu kama wachawi.
Mwisho wa siku utaharibu kila kitu.