BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Best hili la kukiuka matakwa ya Wazazi nani wa kumuoa au kuolewa naye wakati mwingine halileti dosari yoyote ile wanapoamua kufunga pingu za maisha kinyume na matakwa ya mzazi/wazazi.
Kuna mambo huwa hayalazishwi. Mama na mtoto wana bound ya milele. Mchumba akitenda kinyume na matakwa ya mama ndoa yenu itakua na changamoto nyingi za upumuaji.
Ni afadhali mpate aibu ya kutolewa mahari na kutoolewa kuliko kuishi kwenye ndoa isiyo na amani. Ingekua uko kwenye ligue na mwanamke mwingine ningekishauri usife moyo lakini ligue na mzaa chema ni ngumu sana.