[emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]duhhhhPia miaka ya 2000's Kuna Dr mkuu wa hospital moja Mbeya,Sasa Songwe (siitaji) mkewe mchaga alihamisha fenicha zote ndani na kupeleka kwenye nyumba aliyojenga Kwa siri Arusha,yeye mwenyewe akaenda kuripoti Police kwamba kaibiwa kwake........ police wakaanzisha operation,gari iliyopakia ikakamatwa,wale waliokodiwa wakashangaa maana walikuwa wanasafiri na mwanae kusimdikiza mzigo.....
Mpaka kesho wanatamaa ya maliHii notion bado ipo saana ila wanawake wa kichaga hawako hivyo tena
Nafikiri waliponzwa na wamama wachache wa kichaga waliokuwa na tamaa ya mali.
Sasa kwanini uende hiyo familiaMimi sina tatizo lolote na kinachotuchanganya mtoto wake wa kwanza kaoa mtu wa kabila lake tena majirani Ila bado mama mkwe na mawifi wanamfanyia vituko huyo dada sasa nahisi itakuwa ni tabia zao tu kuchukia wakwe na mawifi bila sababu Ila kwangu watakuwa wamechukulia kabila langu tu Kama kivuli Cha kuficha chuki zao
Wachaga Habana chezaPia miaka ya 2000's Kuna Dr mkuu wa hospital moja Mbeya,Sasa Songwe (siitaji) mkewe mchaga alihamisha fenicha zote ndani na kupeleka kwenye nyumba aliyojenga Kwa siri Arusha,yeye mwenyewe akaenda kuripoti Police kwamba kaibiwa kwake........ police wakaanzisha operation,gari iliyopakia ikakamatwa,wale waliokodiwa wakashangaa maana walikuwa wanasafiri na mwanae kusimdikiza mzigo.....
Wengi wako hvyo mnk kuna mmoja alishawai nizarau kisa Sina pesa akasema live kbsa yye anatak pesa mapenzi Hanaga Wala nn na hajui mapenzi yey kwake Ni pesa tu Happo alipo sas HV Ni single mama na mwaka Jana kuna rfk angu kanipa taarifa kuwa kaachana na bwana ake mpya ambaye Ni muhayaHivi ni kweli wanawake wa kichaga wanatabia za kutazama pesa tu kuliko upendo kwa wenza wao, nakumbuka ninipataga demu mchaga veta sasa marafiki wa chuo wakawa wananiambia nimeangukia, mtoto wa watu nilimuacha kimnya kimnya alihangaika kunitafuta harafu alikuwa na msimamo wa upendo kwangh mpaka leo hii namjutia ,kisa marafiki walonipa mastory ya kijinga kuhusu wachaga[emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86]
Hao jamaa wanaa damu ya kiutafutaji.Pia miaka ya 2000's Kuna Dr mkuu wa hospital moja Mbeya,Sasa Songwe (siitaji) mkewe mchaga alihamisha fenicha zote ndani na kupeleka kwenye nyumba aliyojenga Kwa siri Arusha,yeye mwenyewe akaenda kuripoti Police kwamba kaibiwa kwake........ police wakaanzisha operation,gari iliyopakia ikakamatwa,wale waliokodiwa wakashangaa maana walikuwa wanasafiri na mwanae kusimdikiza mzigo.....
Mkuu mwanamke yeye anakukubalia kids ameona mwanga wa maisha kwako.Hebu imagine tuwe na kizazi cha wanaume wanaotongoza wadada wenye kazi na pesa tu ili wawe nao kimahusiano kwa tamaa ya kumiliki mali na pesa zao. Ifike wakati huyu mwanaume anamwambia mwanamke kuwa uniandike katika urithi, ukifa hapa mimi nitabakia vipi na watoto wetu na mwanamke mpya ntakae muoa baada ya kifo chako?!
Pole dear.... Jaribu kumshirikisha mtu wako wa karibu sana.......Muombe Mungu pia anakupitisha kweny jaribu na utalishinda.......huyo mkaka akiongea kitu kwa sasa we kubali kwanza na usionyeshe kumchukia mama ake.....hadi hapo suluhu itakapopatikanaHabari zenu wapendwa?
Mwenzenu na matatizo sielewi nichukue uamuzi gani naombeni mnishauri wapendwa, nilianza mahusiano na mkaka wa kimakuwa toka 2016 kiukweli ananipenda sana na Mimi nampenda na Mungu ametujalia mwaka Jana mwezi wa 12 kapeleka mahari kwetu akanivalisha na Pete ya uchumba.
Apandacho mtu atavuna... ofcourse mwanamke wa kichaga si wa kuoa hilo liko wazi . Kama umebaguliwa ni kwa vile na wachaga tunabagua watu
Mimi mwenyewe mchaga ila kweli mwanamke wa kichaga ni changamoto
Kuna uzi huko ndoa tayari, mrejesho upo miezi 6 imepita ameshaanza kupitia kwenye kikaango cha samaki ndoa ndoanoPole dear.... Jaribu kumshirikisha mtu wako wa karibu sana.......Muombe Mungu pia anakupitisha kweny jaribu na utalishinda.......huyo mkaka akiongea kitu kwa sasa we kubali kwanza na usionyeshe kumchukia mama ake.....hadi hapo suluhu itakapopatikana
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Duh! PoleniHata mm sipo tayari kuoa mchaga na mwanangu hawezi kuoa mchaga kwa sababu baba yangu mdogo alionywa kuhusu kuoa mchaga hakusikia. Baada ya muda alipata safari ya kwenda Marekani kimasomo na baada ya kuhitimu alifanya kazi miaka miwili hela anatuma huku. Baada ya miaka miwili alipata likizo akaja kuona familia na hela aliyotuma aliagiza ijenge nyumba ya kuishi wao. Alipofika alikuta nyumba ya vyumba viwili tofauti na hela aliyotuma. Kosa lake lilikuwa kuhoji matumizi ya hela iliyobaki. Alipewa sumu. Kumbe yule mwanamke alijenga nyumba ya maana kijijini kwa wazazi wake. Alikufa kifo kibaya sana na ndoto zake za kuwa na familia bora ziliishia hapo. So siwezi kubet eti sijui mmarangu wala mkibosho. Mchaga kwetu noo.
yaan mm mzaa chema tu akinikataa basi ata siangaiki kwa kwel.Kuna mambo huwa hayalazishwi. Mama na mtoto wana bound ya milele. Mchumba akitenda kinyume na matakwa ya mama ndoa yenu itakua na changamoto nyingi za upumuaji.
Ni afadhali mpate aibu ya kutolewa mahari na kutoolewa kuliko kuishi kwenye ndoa isiyo na amani. Ingekua uko kwenye ligue na mwanamke mwingine ningekishauri usife moyo lakini ligue na mzaa chema ni ngumu sana.
Ndoa ndoano kwa kweliKuna uzi huko ndoa tayari, mrejesho upo miezi 6 imepita ameshaanza kupitia kwenye kikaango cha samaki ndoa ndoano
Sent using Jamii Forums mobile app
hatari sijui kwanini wanakuwa masista duuPole Sana ndg; ila kwa muono wangu mimi huyo jamaa yako Kama atakuwa na msimamo juu yako hakuna kitakachoharibika..
Kaa nae chini myafanyie kazi Tena Kama Bimkubwa Ni msalisali Basi fanyeni mazungumzo na mchungaji wa kanisa lake au mtu yeyoye ambaye mnahisi anaweza kumskiliza..
Ila tatzo lenu wadada wa chuga wengi wenu mnakuwaga ma sistaduu Sana sometimes wew mwenyew unaweza kuwa kikwazo..
Mchaga na mmeru Kuna tofauti bossApandacho mtu atavuna... ofcourse mwanamke wa kichaga si wa kuoa hilo liko wazi . Kama umebaguliwa ni kwa vile na wachaga tunabagua watu
Mimi mwenyewe mchaga ila kweli mwanamke wa kichaga ni changamoto
hivi wameru wakoje ninaye mmoja Ana tabia za dharau, kiburi na jeuriNI KWELI NAMI NATOKEA MIKOA HIYO,
IKO HIVI:
WANAWAKE WENGI/WOTE WA KICHAGA WANAMALEZI KAMA WANAUME FLANI HIVI, TENA BORA UKAISHI NA MWANAUME KULIKO MWANAMKE WA KICHAGA.
HAWANA ZILE SIFA ZA UKIKE KIKE KAMA WANAWAKE WENGINE, NA UKIOA MCHAGA LAZIMA UWE NA MWANAMKE WA PEMBENI (NI LAZIMA, CHUNGUZA). MWANAMKE HUYU WA PEMBENI ATAKUFANYA UONEKANE MWANAUME NA ATAKUKAMILISHA KWENYE MAHITAJI YA SEX.
NA NDOA ZENYE KUDUMU ZA WACHAGA NI ZILE ZA WAO KWA WAO, KWANI UTAMADUNI WA JEURI, KIBURI,DHARAU NA UKATILI NI SEHEMU YA MAISHA YAO.LAKINI HIZI ZA MCHANGANYIKO NA MAKABILA MENGINE HAZIDUMU, KWANI TABIA HIZO NI SUMU KALI KWENYE UPENDO. ZINGINE ZIPO ZIPO TU KWA SBB YA MACHO YA WATU.
NI UKWELI HAWA WATU WANAONGOZA KUOLEWA/KUOA NA NI HAWA HAWA WANAONGOZA KWENYE TALAKA. SEMA KWENYE TALAKA HAKUNA MBWEMBWE KAMA HARUSINI.
PITIA TAARIFA ZA MIGOGORO YA NDOA NA TALAKA KULE KKKT, RITA, MAHAKAMA ZA MWANZO,NA USTAWI WA JAMII. NDOA ZA HAWA WATU SIO, NI CHACHU SANA.
SIONGEI KWA UBAYA, NI VEMA WAO KWA WAO WAKAOANA, KINYUME NA HAPO JIANDAE KWA NDOA NGUMU!