Kuna mambo huwa hayalazishwi. Mama na mtoto wana bound ya milele. Mchumba akitenda kinyume na matakwa ya mama ndoa yenu itakua na changamoto nyingi za upumuaji.
Ni afadhali mpate aibu ya kutolewa mahari na kutoolewa kuliko kuishi kwenye ndoa isiyo na amani. Ingekua uko kwenye ligue na mwanamke mwingine ningekishauri usife moyo lakini ligue na mzaa chema ni ngumu sana.
Wanaua waume zaoKusema kweli mikoa ya Mbeya na iringa kwenu ukisema unaoa uchagani hakuna anayekuelewa.....sijui wachaga waliwafanya nini wazee wetu, nimeishi mikoa yote ,wazee wengi wamewasusia watoto wao Proposal za kuoa uchagani
Pole Sana ndg; ila kwa muono wangu mim uyo jamaa Ako Kama atakuwa na msimamo juu yako hakuna kitakachoharibika..
Kaa nae chini myafanyie kazi Tena Kama Bimkubwa Ni msalisali Basi fanyeni mazungumzo na mchungaji wa kanisa lake au mtu yeyoye ambaye mnahisi anaweza kumskiliza..
Ila tatzo lenu wadada wa chuga wengi wenu mnakuwaga ma sistaduu Sana sometimes wew mwenyew unaweza kuwa kikwazo..
Jambo ambalo nimewahi kulishuhudia ni mama mmoja wa kichaga aliolewa na Dr mkuu wa hospital moja ya mission, ilikuja kugundulika anajenga nyumba Arusha bila mmewe kujua, akakodi gari ili kusafirisha furniture za ndani.....mchana kabisa ndiyo akaenda Police kureport eti kaibiwa bahati nzuri gari ilikamatwa ndiyo ukweli ukajulikana.......ni reference kubwa sana nyanda za juuWanaua waume zao
Disco limeingia Mmasai
Hawa wadada wa siku hizi hata kupika hawajui.Isijekuwa mchumba ako kapata mchumba mwingine anayekuzidi kila eneo, kamtuma mama aweke kizuizi ili akuache nayeye aendelee na mchumba mpya...!!!
Isijekuwa mchumba ako kapata mchumba mwingine anayekuzidi kila eneo, kamtuma mama aweke kizuizi ili akuache nayeye aendelee na mchumba mpya...!!!
Umeona sasa sababu mama mkwe hataki mchaga
Ona eti unawaza ummbebee mimba kabla ya ndoa
Yaan hofu ya Mungu hauna kabisa
Huwa wanatuteka tunakuwa watu wa uchagani.Kusema kweli mikoa ya Mbeya na iringa kwenu ukisema unaoa uchagani hakuna anayekuelewa.....sijui wachaga waliwafanya nini wazee wetu, nimeishi mikoa yote ,wazee wengi wamewasusia watoto wao Proposal za kuoa uchagani
Nitarudi
Ili suala lako gumu
Kwanza Jamaa kakuambia ,hapo tayari wee ushamchukia mkweo.
Pili ,wewe ukiwambia Wazazi wako, tayari nao watamchukia mama mkwe wako
Tatu, uwambie au usiwambie,jaama akimsikiliza mama yake ni aibu kwenu.
Daahh,embu ngoja nilale,nitoe mawazo ya kulana kimasihara, kesho nitakuja kukushauri kwa uzuri.
Msaidie mkuu.. kuweka kituo na aya ni sanaa ujueNdo uandike bila kituo wala kuweka aya?
Wamama mkwe sielewagi wana matatizo gani na wakwe zao Yani Karibu wote wanafanana tabia..Mimi sina tatizo lolote na kinachotuchanganya mtoto wake wa kwanza kaoa mtu wa kabila lake tena majirani Ila bado mama mkwe na mawifi wanamfanyia vituko huyo dada sasa nahisi itakuwa ni tabia zao tu kuchukia wakwe na mawifi bila sababu Ila kwangu watakuwa wamechukulia kabila langu tu Kama kivuli Cha kuficha chuki zao