Mama mkwe hataki niolewe na mwanaye kisa mimi ni Mchaga

Mama mkwe hataki niolewe na mwanaye kisa mimi ni Mchaga

Unajua kwanini nashindwa kufanya maamuzi ni kwamba mchumba angu ananipenda sana haijawahi tokea mtu akanipenda kama huyu nawaza naweza muacha naye ataumia alafu hajanikosea chochote pia naweza pata mwanaume mwingine nikaolewa akajakunitesa nitajuta sana nitamkumbuka huyu japo naweza pia kupata Bora zaidi ya huyu Ila sasa ndo Kuna mawili hapo nahofia kuja kujuta badae huyu Kaka naye ananipenda naona kumuacha naye yupo ktk kipindi kigumu itakuwa nmemfanyia ukatili
Pole dada, hiyo jamii hawajawa tayari kuoana na makabila mengine tofauti na kabila lake..Nina wasiwasi ameanzia kwa mchaga , lakini likipelekwa kabila jingine itakuwa hivyo hivyo.. Halafu huyo mama ameshaanza kuingilia ndoa mapema kabla ya kufungwa.. Inamaanisha ikifungwa tu ataingilia mahusiano ya mwanae na pengine ndivyo alivyo, si rahisi kumbadilisha ... Ila wewe mwenyewe unaweza kubadilika kabla na kuangalia maeneo mengine. Heri nusu shari kuliko shari kamili.... Ninavyojua wamama kama hao , nongwa yao haiishi kwake tu, ataisambaza kwa ndugu wote na atakuwa mwiba kwenye ndoa yenu miaka yote...Nani atapenda kuingia kwenye mahusiano na ndoa ya nongwa hivyo, bora umehabarishwa mapema.... Tafuta kwingine atakuja ambaye Mungu amepanga kwa ajili yako.
 
Unajua kwanini nashindwa kufanya maamuzi ni kwamba mchumba angu ananipenda sana haijawahi tokea mtu akanipenda kama huyu nawaza naweza muacha naye ataumia alafu hajanikosea chochote pia naweza pata mwanaume mwingine nikaolewa akajakunitesa nitajuta sana nitamkumbuka huyu japo naweza pia kupata Bora zaidi ya huyu Ila sasa ndo Kuna mawili hapo nahofia kuja kujuta badae huyu Kaka naye ananipenda naona kumuacha naye yupo ktk kipindi kigumu itakuwa nmemfanyia ukatili
Mimi mama yangu alisema hataki Kuona Mnyakyusa wala Mchaga wa machame...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] So huwaga nikidate na mtu wa hivyo akianza story za future naonaga bora nimpotezee yani.. Sema kwa kesi yenu mama yake jamaa hakumwambia mapema yani so liwalo na liwe.

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli kipenzi changamoto huwa nyingi hiki kipindi
Ila jamani tuzungumze generally.. tutoe ukabila.

Kwanini huwa wapenzi wakitangaza ndoa changamoto kama hizi huibuka? Yaan mitihani inakuja ambayo hujawahi hata kuisikia wala kuona

Yupo kijana ametaka kuoa. Kulikuwepo na housegirl kwao. Kale kabinti kalikua kana mambo mengi sana. Kijana wala haishi same place. Anakuja nadra sana anaishi mkoa tofauti...
Binti akaondoka kwa jeuri.. imepita miezi minne binti anatafuta namba ya kijana kwa udi na uvimba hasemi sababu. Kumbe ana mimba kubwa. Mimba ina miezi 6 ila yeye akadanganya lile gap la miez minne aloondoka. Mamake akampigia mama w kijana kumpa taarifa. Binti akapelekwa na mamake walmtoe mimba. Kimchekanes walmtukana mama na mtoto wakamwambia mbona mimba si ya miezi minne ni 6 hii? Mama akapata aibu. Basi binti akakazia kwa bqana harusi mtarajiwa apate namba. Watu wanahoji iweje awe mpenz wako kisha akupe mimba na usiwe na maqasiliano naye?

Binti alikuja kubanwa sana ndo akasema ukweli kwamba alidanganya hajawahi kuwa hata na mahusiano na kijana ila aliangalia wapi kuna nafuu ya misha muangushie mzigo apatenafuu ya maisha yeye na mwanae...

Ndugu, jamaa na marafikiwakashauri kijana ajikaze mitihani ni mingi na mikubwa itazidi kuja muhimu awe makini.

Nimekusimulia hiki kisa chagga ili ujue changamoto kipindi kama hiki huja sana aisee. Yaan usiogope.nakushauri uwe mvumilivu sana kwa sasa. Usifanye maamuzi kuridhisha nafsi yako halaf uje kujuta baadae. Usiogope hata. Kama ni wako atakua wako tu. Ukute hata pia si yeye mumeo munaachana tu unashangaa posa ingine hii hapa muda mfupi na ukaoleewa. Miaka 6 ya mahusiano isikuumize hata kidogo.
 
Hapo wa kumsikitikia ni huyo kijana anaejitutumia ukishaonywa na wazazi/mzazi wao wameshaona mbali sema akishupaza shingo mbeleni sijui atakua mgeni wa nani..
 
Nyie ndo wale wanaume msiokuwa na misimamo yeye amekaa na Mimi zaidi ya miaka 6 hajaona tatizo lolote kwangu ndomana kaamua tuoane hivyo vitu unavyosema mama yake kaviona ilipaswa avione mchumba wangu na siyo mama yake, soma uzi vizuri acha kukurupuka nimesema Kama ikitokea akiniacha atakuwa kanipotezea muda miaka 6 kuwa na mtu anakucontrol hataki hata utongozwe wala akute text ya mwanaume kwenye simu yangu siyo masihara nimetongozwa sana nimekataa kwajili yake inawezekana ktk wote walionitongoza pengine mmoja wapo angenioa na tungekuwa mbali sana kimaisha ningekuwa hadi na watoto Kama 3 hivi Ila nmewakataa sababu tayari nilikuwa na mtu ndomana nmesema kama akiniacha atakuwa kanipotezea muda mpaka nije nipate tena mtu sahihi tuchunguzane tabia nimpende Kama huyu nahisi hapo itachukua miaka 10 wanaume wenyewe sahivi kila anaye kutongoza ana mke wake anataka tu uwe mchepuko alafu nasema kanipotezea mda unatokwa povu upo serious kweli?
Hayupo serious yani natamani nikuoe mimi inaonesha mwaminifu sana.
 
Ngoja kwaresma iishe, turudi kutrend.
Ujue me naangalia haya mapovu tuu hapa [emoji23][emoji23]

Eti jamani.. gara waat? Ujue utafikiri jumamosi hii hakuna ndoa[emoji23]
Sema sasa hivi ni kwaresma tumewapumzisha. Yaan tukifungulia kama zootee[emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91]

Nyie tupondeni lakini mtaani tuko pamojaaa... hizo tabia watu wanazosema jaman utafikiri makabila mengine hakunaga[emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Mh [emoji45] aisee this is bad kwa watoa comments please tuangalie maneno ya kuweka hapa, this situation is bad
Situation is bad???
Ama unamaanisha the situation is Real!!
Wanawake wa kichaga sio kabisa. Kwetu tunawaogopa kama ukoma.
Hawakawii kukung'atisha udongo
 
Pole dada, hiyo jamii hawajawa tayari kuonana na makabila yote..Nina wasiwasi ameanzia kwa mchaga , lakini likipelekwa kabila jingine itakuwa hivyo hivyo.. Halafu huyo mama ameshaanza kuingilia ndoa mapema kabla ya kufungwa.. Inamaanisha ikifungwa tu ataingilia mahusiano ya mwanae na pengine ndivyo alivyo, si rahisi kumbadilisha ... Ila wewe mwenyewe unaweza kudalika kabla na kuangalia maeneo mengine. Heri nusu shari kuliko shari kamili.... Ninavyojua wamama kama hao , nongwa yao haiishi kwake tu, ataisambaza kwa ndugu wote na atakuwa mwiba kwenye ndoa yenu miaka yote...Nani atapenda kuingia kwenye mahusiano na ndoa ya nongwa hivyo, bora umehabarishwa mapema.... Tafuta kwingine atakuja ambaye Mungu amepanga kwa ajili yako.
Unajua kwanini nashindwa kufanya maamuzi ni kwamba mchumba angu ananipenda sana haijawahi tokea mtu akanipenda kama huyu nawaza naweza muacha naye ataumia alafu hajanikosea chochote pia naweza pata mwanaume mwingine nikaolewa akajakunitesa nitajuta sana nitamkumbuka huyu japo naweza pia kupata Bora zaidi ya huyu Ila sasa ndo Kuna mawili hapo nahofia kuja kujuta badae huyu Kaka naye ananipenda naona kumuacha naye yupo ktk kipindi kigumu itakuwa nmemfanyia ukatili
Nakuelewa sana.... Wawili mnapendana ... Hata hivyo inabidi kuishi kwenye familia kubwa ambayo , mama mkwe ni sehemu yake.. utaona swala lako, hata kama sio kwa ulinganifu kiasi hicho , linafanana na la Merghan na Harry - wana wafalme..Harry amempenda mkewe, familia ya kifalme wana ubaguzi.. Mwisho wa siku wameamua kuishi peke yao.. Kwa jamii ya kizungu inawezekana kwa jamii zetu za kiafrika ni mtihani sana... Bado familia zinahusika na familia zetu asilimia 100%, labda muishi nje ya nchi.. Huko mnaweza kuanza familia yenu na marafiki bila kujali sana haya ya familia.

Kwa swali jingine, je mtarajiwa wako ana msimamo gani? Kwa penzi atasimama na wewe , lakini mbele ya safari, ukimkorofisha au ikitokea chochote atakumbuka sauti ya mama yake na atakuona kama wewe sehemu ya majuto .. Ongea naye mpate msimamo....Na kama baba Mkwe yupo anaweza kumhandle mama mkwe, kama hayupo basi ni dunia yake ndogo...
 
Ujue me naangalia haya mapovu tuu hapa [emoji23][emoji23]

Eti jamani.. gara waat? Ujue utafikiri jumamosi hii hakuna ndoa[emoji23]
Sema sasa hivi ni kwaresma tumewapumzisha. Yaan tukifungulia kama zootee[emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91]

Nyie tupondeni lakini mtaani tuko pamojaaa... hizo tabia watu wanazosema jaman utafikiri makabila mengine hakunaga[emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Janamke la kichaga hayati na nusu! Hachelewi kukuua abaki na mali zote.
Hii tabia inajulikana Tanzania nzima.
 
Wazazi wangu waliniambia siyo vizuri kwenda ukweni kabla hujaolewa siyo heshima na ukiangalia ni kweli pia mchumba angu nilimuuliza akanambia ni kweli inabidi Mimi mwenyewe nitafute siku special nikupeleke kukutambulisha rasmi Ila siyo Mimi kujipeleka mwenyewe inakuwa siyo heshima
Hujui jinsi ya kuwin mama Mkwe maana miaka 7 hata hujafika umakuwani. Hapo ulijikwaa
 
Na hiyo ndiyo heshima. Sio mnadate tu unajipeleka kwa wakwe, wakishakujua?
Wazazi wangu waliniambia siyo vizuri kwenda ukweni kabla hujaolewa siyo heshima na ukiangalia ni kweli pia mchumba angu nilimuuliza akanambia ni kweli inabidi Mimi mwenyewe nitafute siku special nikupeleke kukutambulisha rasmi Ila siyo Mimi kujipeleka mwenyewe inakuwa siyo heshima
 
Sitaki tu kuwa mnafiki nimechukia kweli leo nina siku ya 5 silali nimemeza hadi dawa za usingizi Ila zimegoma nimepungua ndani ya siku 5 kila mtu ananiuliza tatizo nini, mchumba angu nae kapungua yeye ndokabisa hali Bora hata Mimi najikaza nakula kidogo mchumba angu tunapendana sana tumetoka mbali nimemvumilia mengi sana niseme tu kwa kifupi yeye ndo furaha yangu iliyobaki hivi wewe ungeweza kumpenda mtu anayekupitisha kwenye yote haya na hapa mchumba angu Bado yupo upande wangu lakini Bado Nina hali mbaya hivi sipati picha na yeye akinigeuka nahisi sitoweza kuishi tena utakuwa ni mwisho wa maisha yangu alafu unaanzaje kumpenda mtu ananinyima furaha natamani hadi nife kwajili yake hapa naandika hivi huku nalia na maumivu ambayo hayaelezeki wewe usiombe yakukute labda Kama hujawahi kupenda Bora mpendane alafu muachane wenyewe au mwanaume mwenyewe akuache unaweza vumilia badae ukasahau kuliko bado mnapendana Ila mtu anawaachanisha bila sababu ungeijua kidogo historia ya mahusiano yetu nahisi na ww ungenionea huruma tulitoka chuo uzuri nilimaliza nae hatuna hata mia tumeishi maisha magumu sana mpaka inafika hatua tunalalia andazi 1 wakati mwingne hatuli kabisa nimemvumilia ilifika hadi hatua Mimi natafuta ela nasingizia kwetu naumwa Nampa afate kuku vijijini aje auze nampenda sana kutoka moyoni mpaka sahivi tumefanikiwa alafu ndugu zake wananiona sifai alinambia hakuwahi kuwazaga swala la kuoa Ila Mimi ananioa kutokana na wema niliomuonesha ndomana naye anataka tufunge ndoa hata kama ndugu hawataki coz yeye siyo mjinga anajua tulipotoka na tuliyopitia imefika hatua natamani hata itokee shoti ya umeme tuungue tufe watukose wote
Nimekuelewa dada angu kwa uliyoeleza aisee hapo kuna upendo wa ndani kabisa,fuata ushauri mzuri humu,lazima utapata uliobora na utakusaidia,usisahau kutuambia harusi wapi wana jf tuje tucheze kwaito.
 
Sitaki tu kuwa mnafiki nimechukia kweli leo nina siku ya 5 silali nimemeza hadi dawa za usingizi Ila zimegoma nimepungua ndani ya siku 5 kila mtu ananiuliza tatizo nini, mchumba angu nae kapungua yeye ndokabisa hali Bora hata Mimi najikaza nakula kidogo mchumba angu tunapendana sana tumetoka mbali nimemvumilia mengi sana niseme tu kwa kifupi yeye ndo furaha yangu iliyobaki hivi wewe ungeweza kumpenda mtu anayekupitisha kwenye yote haya na hapa mchumba angu Bado yupo upande wangu lakini Bado Nina hali mbaya hivi sipati picha na yeye akinigeuka nahisi sitoweza kuishi tena utakuwa ni mwisho wa maisha yangu alafu unaanzaje kumpenda mtu ananinyima furaha natamani hadi nife kwajili yake hapa naandika hivi huku nalia na maumivu ambayo hayaelezeki wewe usiombe yakukute labda Kama hujawahi kupenda Bora mpendane alafu muachane wenyewe au mwanaume mwenyewe akuache unaweza vumilia badae ukasahau kuliko bado mnapendana Ila mtu anawaachanisha bila sababu ungeijua kidogo historia ya mahusiano yetu nahisi na ww ungenionea huruma tulitoka chuo uzuri nilimaliza nae hatuna hata mia tumeishi maisha magumu sana mpaka inafika hatua tunalalia andazi 1 wakati mwingne hatuli kabisa nimemvumilia ilifika hadi hatua Mimi natafuta ela nasingizia kwetu naumwa Nampa afate kuku vijijini aje auze nampenda sana kutoka moyoni mpaka sahivi tumefanikiwa alafu ndugu zake wananiona sifai alinambia hakuwahi kuwazaga swala la kuoa Ila Mimi ananioa kutokana na wema niliomuonesha ndomana naye anataka tufunge ndoa hata kama ndugu hawataki coz yeye siyo mjinga anajua tulipotoka na tuliyopitia imefika hatua natamani hata itokee shoti ya umeme tuungue tufe watukose wote
Dah pole sana, ila mimi ni mtu wa maono naona kabisa mtaoana na maisha yatakuwa fresh tu na furaha kwaiyo acha mawazo pika chakula kizur mle na mumeo .LAZIMA MUOANE LABDA JAMAA NDIO AWE HATAKI LAKINI SIO HUYO MAMA.
KISHA MSAMEHE HUYO MAMA KAMA HAKIJATOKEA KITU
 
Habari zenu wapendwa?

Mwenzenu na matatizo sielewi nichukue uamuzi gani naombeni mnishauri wapendwa, nilianza mahusiano na mkaka wa kimakuwa toka 2016 kiukweli ananipenda sana na Mimi nampenda na Mungu ametujalia mwaka Jana mwezi wa 12 kapeleka mahari kwetu akanivalisha na Pete ya uchumba.

Baada ya hapo wakualiana na wazazi harusi iwe mwezi wa 4 mwaka huu Ila baada ya muda mama yake akamwambia naomba harusi mfanye mwezi wa 7 nataka nijipange sherehe iwe kubwa tukamkubalia kupeleka hadi wa 7 Ila Cha kushangaza juzi kipindi wamekaa kwenye kikao Cha kuandaa kamati ya harusi mama mtu akasema harusi isogezwe tena iwe mwezi wa 10

Baada ya mwanae kumbana mama yake kuwa kwanini kila cku unapeleka mbele akamwambia sitaki uowe mwanamke wa kichaga ndomana nafanya hivi, kiukweli mwanae alichukia sana kuskia hiyo kauli akanipa mrejesho kuwa mama yake hataki anioe kisa mimi mchaga Ila kwakuwa nakupenda tumeshirikiana mambo mengi siwezi kukuacha tutafunga ndoa mwezi wa 8 bila hata ndugu zake kuwepo atasimamia shoo mwenyewe bila msaada wa ndugu zake nikamwitikia sawa

Ila hapa nawaza usikute huu uamuzi ameuchukua sababu ya hasira nahisi Kama akitulia atanibadilikia asikilize ndugu zake aniache na kinachoniumiza zaidi ni kwamba nimetoka naye mbali kanipotezea muda na hivi kapeleka hadi mahari kwetu watu wanasubiri harusi.

Kama akinibadilikia sijui hii aibu tutaibebaje na familia yangu, nimechanganyikiwa mpaka nawaza sijui nimbebe tu mimba ili azidi kuwa na msimamo aogope kupoteza mke na mtoto!,

Ila nakosa jibu huyu mama simuelewi kwanini ananifanyia hivi Kama alikuwa hataki niolewe na mwanae kwanini hakumzuia kipindi anapeleka mahari wakamsapoti apeleke, kinachoniumiza ni aibu kwetu mahari imeenda alafu ikitokea tukiachana kisa mama yake aibu itakuwa kubwa Bora hata angekuwa hajapeleka mahari.

Ndugu zangu naombeni ushauri wenu nifanyaje kulishinda hili jaribu lililopo mbele yangu, Ndugu zangu Bado sijawambia Kama Kuna huu mgogoro maana hata sijui watalipokeaje nachanganyikiwa Mimi jamani
Inaweza ikawa vita vya kiroho..
Tushirikiane kwenye kuomba.
 
Habari zenu wapendwa?

Mwenzenu na matatizo sielewi nichukue uamuzi gani naombeni mnishauri wapendwa, nilianza mahusiano na mkaka wa kimakuwa toka 2016 kiukweli ananipenda sana na Mimi nampenda na Mungu ametujalia mwaka Jana mwezi wa 12 kapeleka mahari kwetu akanivalisha na Pete ya uchumba.

Baada ya hapo wakualiana na wazazi harusi iwe mwezi wa 4 mwaka huu Ila baada ya muda mama yake akamwambia naomba harusi mfanye mwezi wa 7 nataka nijipange sherehe iwe kubwa tukamkubalia kupeleka hadi wa 7 Ila Cha kushangaza juzi kipindi wamekaa kwenye kikao Cha kuandaa kamati ya harusi mama mtu akasema harusi isogezwe tena iwe mwezi wa 10

Baada ya mwanae kumbana mama yake kuwa kwanini kila cku unapeleka mbele akamwambia sitaki uowe mwanamke wa kichaga ndomana nafanya hivi, kiukweli mwanae alichukia sana kuskia hiyo kauli akanipa mrejesho kuwa mama yake hataki anioe kisa mimi mchaga Ila kwakuwa nakupenda tumeshirikiana mambo mengi siwezi kukuacha tutafunga ndoa mwezi wa 8 bila hata ndugu zake kuwepo atasimamia shoo mwenyewe bila msaada wa ndugu zake nikamwitikia sawa

Ila hapa nawaza usikute huu uamuzi ameuchukua sababu ya hasira nahisi Kama akitulia atanibadilikia asikilize ndugu zake aniache na kinachoniumiza zaidi ni kwamba nimetoka naye mbali kanipotezea muda na hivi kapeleka hadi mahari kwetu watu wanasubiri harusi.

Kama akinibadilikia sijui hii aibu tutaibebaje na familia yangu, nimechanganyikiwa mpaka nawaza sijui nimbebe tu mimba ili azidi kuwa na msimamo aogope kupoteza mke na mtoto!,

Ila nakosa jibu huyu mama simuelewi kwanini ananifanyia hivi Kama alikuwa hataki niolewe na mwanae kwanini hakumzuia kipindi anapeleka mahari wakamsapoti apeleke, kinachoniumiza ni aibu kwetu mahari imeenda alafu ikitokea tukiachana kisa mama yake aibu itakuwa kubwa Bora hata angekuwa hajapeleka mahari.

Ndugu zangu naombeni ushauri wenu nifanyaje kulishinda hili jaribu lililopo mbele yangu, Ndugu zangu Bado sijawambia Kama Kuna huu mgogoro maana hata sijui watalipokeaje nachanganyikiwa Mimi jamani
We ukiolewa prove them wrong! Kuwa hata ukiwa mchaga bado unaweza kuwa mke mwema mwenye heshima na adabu kwa wakubwa na wadogo! Pia uchoyo usiwe fungu lako ova!
Vinginevyo, tegemea taraka na tilalia lukuki!
 
Back
Top Bottom