kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,097
- 7,199
- Thread starter
-
- #41
SAWA MAMATafuta watu wako wa karibu sana ambao wanajua jema lako na baya lako, waweke wazi kuhusu hizo sms na mtafute njia ya kumfanya mama mkwe kuwa tofauti na alivyokuwa sasa kila siku kutuma sms kuhusu familia.
Na kama umekosa mtu wa kumshirikisha basi ni ahuweni uwe unajibu "sawa Mama" kila anapokutumia hizo sms zake bila kuongeza maneno, wewe mwambie sawa mama kila akituma jibu hivyo.
Ukijibu maelezo marefu na yeye atapata cha kuongea kuhusiana na jibu lako refu ila ukitoa jibu ambalo halizai swali atashindwa kukupa swali tena.
Usinisahau kwenye Baraza Jipya.
SAWA MAMAUtakuwa bado Mtoto. Ungemchunia tu. Siku akiona mwanae kadhiba angepata jibu
Ujana haubagui.[emoji53][emoji53]
hahahahaa....sasa hayo masikharaMtu na mkwewe! Mnapoeleka atakukumbusha pia kufyeka msitu kwa Abdala kichwa wazi wako
Sent using Jamii Forums mobile app
aaagghhhh kwa hali hii ni bora iwe hivo tu...amchukue ila arudishe pesa yangu nikalime mihogo mkuranga
nakula sana korosho na karanga diamondKula karanga mbichi
Well, Pengine mama mkwe anajua binti yake alikuwa anajua hayo mambo hivyo anakutaarifu usijidhanie ni mgeni wa mambo ya faragha.Nimekubali maneno yenu wanajamvi juzi nlipoleta uzi ulohusu Meseji ya G9t alontumia mamkwe akinisisitiza kwamba mimi na mke wangu "tujitahidi ili usingizi wetu uzae matunda", wengi wenu mlisema kwamba mama huyu ni "mswahili" na anaingilia faragha yetu. Sema ukweli sikumjibu ile meseji. Jana kaja kivingine.
Jana usku majira ya saa5 kanishushia 'jiwe lingine' tena kantumia kwa njia ya Whatsapp. Anasema...
"Bwn Asifiwe. Sisi wazima. Najua uliiona meseji yangu ya juzi japo haukuijibu. Ninachokusihi mwanangu ni kwamba uongeze pilika basi ili ujenge mji wako ungali bado kijana. Usijisikie vibaya. Nasema hivo kwakua enzi zimebadilika, na ya Mungu mengi".
Mie nimemjibu....
"Asante mama. Pole sikujibu meseji yako kwakua nilijua jibu la kweli ni ujauzito. Tuvute subira. Asante, usiku mwema mama yetu"
Bado hajasema chochote. Vp, nipo sawa wakuu, ama!?
BasI safiinakula sana korosho na karanga diamond
Hapo inabidi akae kimya tuMkuu, kwani mwenye tatizo kuhusu ujauzito ni wewe au mwanae? Maana anavyokusakama pengine ameshagundua kuwa mwanae hana tatizo na tatizo lipo kwako right? So jiongeze baba
Sent using Jamii Forums mobile app
asante sana kwa ushauri mkuu. umeandika kwa busara kama mjomba vileWell, Pengine mama mkwe anajua binti yake alikuwa anajua hayo mambo hivyo anakutaarifu usijidhanie ni mgeni wa mambo ya faragha.
Pili: Huwezi jua mawasiliano na binti yake yakoje, labda binti alimtaarifu kuhusu ''uwezo na ujuzi wako'' kwa mambo hayo, hivyo pambana kwa hali na Mali.
Tatu: Baina ya mama na binti huwa kuna siri kubwa sana. Hata kama mama mkwe hatokuuliza, lakini ni lazima amuulize bintiye mambo yalivyo. Huo ndiyo ukubwa, na ndiyo kujua kwenyewe.
Nne: Vita hiyo si ya mtoto pekee kama unavyodhani, na ujuzi pia huchangia kuridhika na kutulia kwa huyo mwenzio. Kama ulidhani ni mtoto pekee yake, umekosea sana, japo hilo nalo lina nafasi yake ingawa huna uwezo wa kulazimisha like kama MUNGU hajaamua.
Karibu kwenye ulimwengu wa unyumba baba.
Pambana, shamba umeshapewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
ebu nipen uzoefu ili nijipime. ivi wanandoa mimba hua wanatinga ndani ya muda gan tangu kuoanaAisee miezi miwili umeshindwa kumpachika mke wako mimba?????
Hapo inabidi akae kimya tu[/QUOTEi kuanza shida yangu ni kwamba muda huu ni mfupi mno kujishuku