Mama mkwe katuma tena SMS. This time nimemjibu, ebo!

Mama mkwe katuma tena SMS. This time nimemjibu, ebo!

Tafuta watu wako wa karibu sana ambao wanajua jema lako na baya lako, waweke wazi kuhusu hizo sms na mtafute njia ya kumfanya mama mkwe kuwa tofauti na alivyokuwa sasa kila siku kutuma sms kuhusu familia.

Na kama umekosa mtu wa kumshirikisha basi ni ahuweni uwe unajibu "sawa Mama" kila anapokutumia hizo sms zake bila kuongeza maneno, wewe mwambie sawa mama kila akituma jibu hivyo.

Ukijibu maelezo marefu na yeye atapata cha kuongea kuhusiana na jibu lako refu ila ukitoa jibu ambalo halizai swali atashindwa kukupa swali tena.

Usinisahau kwenye Baraza Jipya.
SAWA MAMA
 
Utakuwa bado Mtoto. Ungemchunia tu. Siku akiona mwanae kadhiba angepata jibu

Ujana haubagui.[emoji53][emoji53]
 
Wee jamaa hayo ni mambo ya kifamily zaidi. Kaa na mkeo wewe km mwanaume myamalize. Uhusiano wa mkeo na mama yake ndio unaokutesa. Hapo inaonesha mkeo anamwambia mama yake Siri zenu zote za ndani ikiwa ni pamoja na uwezo wako na utundu ndani ya sita kwa sita. Ukishindwa kumcontrol mkeo angali mapema utateseka maisha
 
Kawaida kila sku najiona i am not mature enough to marry , hio namaanisha kuweza ku handle mambo in effective way na uvumiliv wakupitiliza ila nikiona jamaa kama huyu yaan kitu kidog tu namna hii analeta jamii forum aisee najiona ni bongez la shujaa in handling personal matter

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekubali maneno yenu wanajamvi juzi nlipoleta uzi ulohusu Meseji ya G9t alontumia mamkwe akinisisitiza kwamba mimi na mke wangu "tujitahidi ili usingizi wetu uzae matunda", wengi wenu mlisema kwamba mama huyu ni "mswahili" na anaingilia faragha yetu. Sema ukweli sikumjibu ile meseji. Jana kaja kivingine.

Jana usku majira ya saa5 kanishushia 'jiwe lingine' tena kantumia kwa njia ya Whatsapp. Anasema...

"Bwn Asifiwe. Sisi wazima. Najua uliiona meseji yangu ya juzi japo haukuijibu. Ninachokusihi mwanangu ni kwamba uongeze pilika basi ili ujenge mji wako ungali bado kijana. Usijisikie vibaya. Nasema hivo kwakua enzi zimebadilika, na ya Mungu mengi".

Mie nimemjibu....

"Asante mama. Pole sikujibu meseji yako kwakua nilijua jibu la kweli ni ujauzito. Tuvute subira. Asante, usiku mwema mama yetu"

Bado hajasema chochote. Vp, nipo sawa wakuu, ama!?
Well, Pengine mama mkwe anajua binti yake alikuwa anajua hayo mambo hivyo anakutaarifu usijidhanie ni mgeni wa mambo ya faragha.

Pili: Huwezi jua mawasiliano na binti yake yakoje, labda binti alimtaarifu kuhusu ''uwezo na ujuzi wako'' kwa mambo hayo, hivyo pambana kwa hali na Mali.

Tatu: Baina ya mama na binti huwa kuna siri kubwa sana. Hata kama mama mkwe hatokuuliza, lakini ni lazima amuulize bintiye mambo yalivyo. Huo ndiyo ukubwa, na ndiyo kujua kwenyewe.

Nne: Vita hiyo si ya mtoto pekee kama unavyodhani, na ujuzi pia huchangia kuridhika na kutulia kwa huyo mwenzio. Kama ulidhani ni mtoto pekee yake, umekosea sana, japo hilo nalo lina nafasi yake ingawa huna uwezo wa kulazimisha like kama MUNGU hajaamua.

Karibu kwenye ulimwengu wa unyumba baba.

Pambana, shamba umeshapewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Well, Pengine mama mkwe anajua binti yake alikuwa anajua hayo mambo hivyo anakutaarifu usijidhanie ni mgeni wa mambo ya faragha.

Pili: Huwezi jua mawasiliano na binti yake yakoje, labda binti alimtaarifu kuhusu ''uwezo na ujuzi wako'' kwa mambo hayo, hivyo pambana kwa hali na Mali.

Tatu: Baina ya mama na binti huwa kuna siri kubwa sana. Hata kama mama mkwe hatokuuliza, lakini ni lazima amuulize bintiye mambo yalivyo. Huo ndiyo ukubwa, na ndiyo kujua kwenyewe.

Nne: Vita hiyo si ya mtoto pekee kama unavyodhani, na ujuzi pia huchangia kuridhika na kutulia kwa huyo mwenzio. Kama ulidhani ni mtoto pekee yake, umekosea sana, japo hilo nalo lina nafasi yake ingawa huna uwezo wa kulazimisha like kama MUNGU hajaamua.

Karibu kwenye ulimwengu wa unyumba baba.

Pambana, shamba umeshapewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
asante sana kwa ushauri mkuu. umeandika kwa busara kama mjomba vile
 
Back
Top Bottom