Mama mkwe katuma tena SMS. This time nimemjibu, ebo!

Mama mkwe katuma tena SMS. This time nimemjibu, ebo!

Hongera.
Lakini turudi kwenye hoja ya msingi, ni heshima kwa mama mkwe kuingilia ishu za kwenye ndoa ya binti yake?

Sent using Jamii Forums mobile app
SI HESHIMA!
NA NDIO SWALI LANGU LA MSINGI KABISA KWAKO!
nilihoji UHALALI ULIOONA KWA BINTI KWENDA KUSEMA UKWENI!
ukakimbilia tu elimu sijui social status!
hata sikuwa nimewaza hayo mimi!
IDEA YANGU WAS,HAKUNA MAHALI WNAANDOA WANAPATA USULUHISHI NA UELEWA WA MAMBO YAO ZAIDI YA WAKIWA WENYEWE!

UKISHAHUSISHA WAZAZI NA NDUGU SIJUI MASHEMEJI
SHIDA ZAKE NDO HIZI!
mama mkwe si wa kikeki wala kiumeni ana mamlaka ya kuhoji wanandoa wanazaa lini,wanafanyaje tendo la ndoa,wanaridhishanaje!
so hii ISINGEKUWA SAWA HATA IKITOKEA BINTI IMEMTATIZA ISINGEKUWA SAWA HATA KWENDA UPANDE WA MUMEWE NA KUSEMA KAMA NI TATIZO!
sijasema asilione ni tatizo(pENGINE KWELI JAMAA ANACHEZA MAKIDA KUSIMAMIA SHOW)
ilimpasa KAMA MKE KUZUNGUMZA NA MUMEWE!
SIO KWA MAMAKE WALA KWENDA KWA MAMA MKWE WAKE!
 
Mie ningempotezea....


Ila kama jingeamua kumjibu kama wewe...simple tu..... "nashukuru kwankujali...ila maswala ya kitandani (ujauzito) tafadhali sana tuachie wenyewe wanandoa"

Halafu anakula block
 
Dah! Ungemjibu hivi " mama ndio nipo hapa nashughulikia hilo swala, ile msg ya kwanza sikujibu kwasababu pia nilikuwa ndio nashughulikia hilo swala. Pia nikiandika msg nitapoteza muda, ngoja niendelee mama, usiku mwema kwenu sisi tupo kazini"[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]

Jamii Forums mobile app
 
Mie ningempotezea....


Ila kama jingeamua kumjibu kama wewe...simple tu..... "nashukuru kwankujali...ila maswala ya kitandani (ujauzito) tafadhali sana tuachie wenyewe wanandoa"

Halafu anakula block
Block tena. Ukimblock huyu asubuh utamkuta mlangoni

An ant on the move does more than a dozing ox.
 
Back
Top Bottom