Mama mkwe na mwana wote wanapiga mbonji kwangu

Mama mkwe na mwana wote wanapiga mbonji kwangu

Unaanzaje kuwatimua mama mkwe na mashemeji na dada yao ndiyo kinga yao?!
Yani humu ndani nahisi hata mimi hawanitaki ila kwasababu wananitegemea mimi kwa kila kitu hawana jinsi, ila ndugu yangu hapa hakatizi hata kwa bahati mbaya.
Wamejaa wamejimilikisha kwangu kumekua ndio kwao.
mzee usiwachekee waletee ukauzu tu
 
Unaanzaje kuwatimua mama mkwe na mashemeji na dada yao ndiyo kinga yao?!
Yani humu ndani nahisi hata mimi hawanitaki ila kwasababu wananitegemea mimi kwa kila kitu hawana jinsi, ila ndugu yangu hapa hakatizi hata kwa bahati mbaya.
Wamejaa wamejimilikisha kwangu kumekua ndio kwao.
tafuta shamba alfajiri 11 kwenda kulima
 
Watu wa ukumbi huu, habari zenu.

Nimeoa na sasa nina watoto 2 alhamdullah, nampenda sana mke wangu lakini kuna jambo hili linaendelea kila uchao nahisi moyoni nimeanza kulichukia chukia.

Kuna muda mamamkwe amekuja kumsaidia ulezi wife wakati wa kujifungua lakini akapitiliza ule muda nilioambiwa na wife kama angekaa, sasa akawa anakaa kama ndio mahali pa kuishi. Yeye ni age kidogo, mama mtu mzima, hana mume.

Kuna kipindi huyu mama anaumwaumwa, mara ikaja ni kuhusu haya mambo yaliyoingia; sijui kapewa jini, mara shetani tafrani nyumbani mpaka sasa amesafirishwa mji wa pili kwa matibabu zaidi lakini nahisi akimaliza matibabu kama aturidi hapa kwangu.

Suala lingine naona shemeji yangu mtoto wa kiume shababi naye amekuja. Siku hiyo wife akaniambia leo shemeji yako, yaani mdogo wake, atalala hapa nikasema safi nikamtolea kitanda na godoro ili achape usingizi kwa siku ile, lakini naona siku ya pili kaendelea mpaka imefika kama wiki akasafiri kidogo kaenda kukaa kama siku 4 karudi yupo tunaendelea naye anachapa usingizi kama kawaida.

Nilijaribu kumuuliza wife ananimbia anafuatilia kitambulisho cha Taifa. Sasa mimi najiuliza, ivi unaweza kuacha shughuli zako siku zote kwa kitambulisho tu? Kuna siku akasema ile namba tayari ashapewa lakini mzee yupo ameganda tu na sasa pale home majukukumu yanaongezeka.

Naomba fatwa watu wa hapa, vipi niendelee kuvumilia maana hata uhuru pale nyumbani naona umebanwa kidogo.
Pole bro binafsi sina cha kukushauri labda waje wazoefu wa haya madhira watuambie
 
mr.London, Kwa mama mkwe wa hivyo hamtamaliza hata miaka miwili mbele lazima wewe na mkeo muachane!
Tofauti na hapo wakupige limbwata uwe bwege then familia nzima wahamie hapo halafu wakubandike na kajina ka utani "kijeba" ni full kukusema kutwa nzima ukiwa job na kukuigiza unavyotembea na kuongea[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani kuna ndoa full mtihani
 
huo upuuzi unaulea tuu....haya mambo ya kusema jamii itanionaje mie sina kabisaaaa....hali ya kiuchumi ni tete sana......hukuoa ukoo...furumusha blaza.....msaada huko huko kijijini utakuja.....wacha waseme wapasuke.....nyumba yangu, nke yangu maisha yangu......hapo wewe anza kurudi late mtungi wa kufa....kimya wala usimsemeshe ntu....jua tuu ndoa yako iko hsptl........daktari ni wewe....tibu au tibua....
Awe analewaaa akirudi analianzisha kesho asubuhi anaondoka no story na mtu
Akifululiza wiki watajiongeza
 
Acha uchoyo. Ndugu wa mkeo ni ndugu zako. Acha gubu kaa. Mwanaume huwa haulizi ndugu wakifika onyesha kuwa ndugu yao anaishi kwa amani.
Watu wa ukumbi huu, habari zenu.

Nimeoa na sasa nina watoto 2 alhamdullah, nampenda sana mke wangu lakini kuna jambo hili linaendelea kila uchao nahisi moyoni nimeanza kulichukia chukia.

Kuna muda mamamkwe amekuja kumsaidia ulezi wife wakati wa kujifungua lakini akapitiliza ule muda nilioambiwa na wife kama angekaa, sasa akawa anakaa kama ndio mahali pa kuishi. Yeye ni age kidogo, mama mtu mzima, hana mume.

Kuna kipindi huyu mama anaumwaumwa, mara ikaja ni kuhusu haya mambo yaliyoingia; sijui kapewa jini, mara shetani tafrani nyumbani mpaka sasa amesafirishwa mji wa pili kwa matibabu zaidi lakini nahisi akimaliza matibabu kama aturidi hapa kwangu.

Suala lingine naona shemeji yangu mtoto wa kiume shababi naye amekuja. Siku hiyo wife akaniambia leo shemeji yako, yaani mdogo wake, atalala hapa nikasema safi nikamtolea kitanda na godoro ili achape usingizi kwa siku ile, lakini naona siku ya pili kaendelea mpaka imefika kama wiki akasafiri kidogo kaenda kukaa kama siku 4 karudi yupo tunaendelea naye anachapa usingizi kama kawaida.

Nilijaribu kumuuliza wife ananimbia anafuatilia kitambulisho cha Taifa. Sasa mimi najiuliza, ivi unaweza kuacha shughuli zako siku zote kwa kitambulisho tu? Kuna siku akasema ile namba tayari ashapewa lakini mzee yupo ameganda tu na sasa pale home majukukumu yanaongezeka.

Naomba fatwa watu wa hapa, vipi niendelee kuvumilia maana hata uhuru pale nyumbani naona umebanwa kidogo.
 
Kwangu mamamkwe na vijana wake wa kiume wamehamia kabisa kwangu, hawana matatizo yoyote yani mama mkwe ndiye kawa sterling anafanya maamuzi kwangu, mashemeji zangu wako kwangu wanaishi na kusoma, baba mkwe naye huja mara kwa mara.

Hii siyo uongo wala chai, yani wamehama kwao mkaoni wamehamia Dar kwangu.

Sasa hawataki ndugu yangu yeyote kwangu, siyo kukaa hata kupita kusalimia hawataki. Na wanafanya wazi wazi kabisa, sielewi hata nifanyeje?

Sina maelewano na ndugu zangu kwasababu nilitaka kumridhisha mke wangu, kwa kuruhusu familia yake kuhamia kwangu.
wewe ni mwanaume? Acha ufala timua. au unaogopa wife ndo anamkwanja mrefu kuliko wewe?
 
mr.London, Kwa mama mkwe wa hivyo hamtamaliza hata miaka miwili mbele lazima wewe na mkeo muachane!
Tofauti na hapo wakupige limbwata uwe bwege then familia nzima wahamie hapo halafu wakubandike na kajina ka utani "kijeba" ni full kukusema kutwa nzima ukiwa job na kukuigiza unavyotembea na kuongea[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] dah
 
Unaanzaje kuwatimua mama mkwe na mashemeji na dada yao ndiyo kinga yao?!
Yani humu ndani nahisi hata mimi hawanitaki ila kwasababu wananitegemea mimi kwa kila kitu hawana jinsi, ila ndugu yangu hapa hakatizi hata kwa bahati mbaya.
Wamejaa wamejimilikisha kwangu kumekua ndio kwao.
peleka watoto boarding january...
lalamika huna pesa na umeachishwa kazi. nunua dagaa/ maharage/unga. Tafuta nyumba ndogo. kunywa pombe hurud usiku ukifika mpige makofi wife +shusha matusi kibwena. wakistahamili kwa siku 10, basi ujue ndo basi tena au anza kugonga au wadogo zake
 
Hata nikienda likizo mkoani mwezi mzima wao wanabaki Dar, ninavyohisi hata nikifukuzwa kazi nikaondoka wao watakuwa wa mwisho kuondoka kwangu na watanifuata popote, maana hawana mpango wa kwenda kokote kule zaidi ya kuishi alipo mke wangu.
Hata hakuna namna.
ni wazanzibar au watu watanga? au Warangi hao.. gegeda wadogo zake mkuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duuu
peleka watoto boarding january...
lalamika huna pesa na umeachishwa kazi. nunua dagaa/ maharage/unga. Tafuta nyumba ndogo. kunywa pombe hurud usiku ukifika mpige makofi wife +shusha matusi kibwena. wakistahamili kwa siku 10, basi ujue ndo basi tena au anza kugonga au wadogo zake
 
peleka watoto boarding january...
lalamika huna pesa na umeachishwa kazi. nunua dagaa/ maharage/unga. Tafuta nyumba ndogo. kunywa pombe hurud usiku ukifika mpige makofi wife +shusha matusi kibwena. wakistahamili kwa siku 10, basi ujue ndo basi tena au anza kugonga au wadogo zake
Nilichoka mimi wadogo wakiume, mamamkwe wamegoma kuondoka,
 
wewe ni mwanaume? Acha ufala timua. au unaogopa wife ndo anamkwanja mrefu kuliko wewe?
Wife na familia yake wote wananitegemea mimi hawana kitu.
Kutimua naanzaje huo ndio mtihani, labda nimtimue na wife, bila hivyo hawa hawaondoki.
 
Huyo mkeo kama anatokea Mbeya naogopa kufikiria kinachoendelea hapo, timua hilo jemba linaitwa ‘kaka shababi’ kumbe linamla mkeo.... mvumilie bibi kwa vile ni mgonjwa ila ujiandae kugombanishwa na mkeo.
 
Tuchunguzage familia tukioa sio kuwaza mbunye tu na mikatiko. ww kwenu Dar umekulia kistarabu unaenda kuoa au kuolewa na mtu wa mkoani familia yao ichunguze inandugu wangapi je ni nani kwenye familia yao mbeba majukumu yao. Ukiona wanajimudu then oa au olewa. Sasa ww ukiona haijiwezi oa uone balaa lake.
 
Back
Top Bottom