Mama mkwe na mwana wote wanapiga mbonji kwangu

Mama mkwe na mwana wote wanapiga mbonji kwangu

j
Hebu tuheshimiane mkuu,hunijui sikujui,ukiona kitu hujaelewa basi jua huo ujumbe sio wako,jaribu kusoma ulizoelewa!!
Jamaa nae anaonekana mchezea remote kwa mme wa dada yakr ndo maana haelew hata alichokiandika,we dada akishaolewa inatosha c mpango kwenda kujazana kwa mme wake,mnwanyima uhuru na gharama pia kuongezeka
 
Ndo usha olewa ivyo
Kwangu mamamkwe na vijana wake wa kiume wamehamia kabisa kwangu, hawana matatizo yoyote yani mama mkwe ndiye kawa sterling anafanya maamuzi kwangu, mashemeji zangu wako kwangu wanaishi na kusoma, baba mkwe naye huja mara kwa mara.

Hii siyo uongo wala chai, yani wamehama kwao mkaoni wamehamia Dar kwangu.

Sasa hawataki ndugu yangu yeyote kwangu, siyo kukaa hata kupita kusalimia hawataki. Na wanafanya wazi wazi kabisa, sielewi hata nifanyeje?

Sina maelewano na ndugu zangu kwasababu nilitaka kumridhisha mke wangu, kwa kuruhusu familia yake kuhamia kwangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Majuzi tu nilisitish mahusiano na mdada...!!kisa kikuu n kwakuwa niliona hatari ya kulisha familia nzima

Mkwe kwanza amepanga....yan wapo kwenye nyumba ya kupanga....yeye na mumewe(ambaye sio baba wa huyo mtoto)....wamepanga chumba kimoja na sijui huyo binti analalaje

Binti alianza kunihamasisha saana nkajitambulishe kwao ili tuwe huru kila nkimhitaji na awe huru kulala kabsaa kwangu

Nimejaribu kupiga hesabu ya maisha ytakayofuata
1.ipo cku ntatakiwa kuchangia kodi ya mkwe
2.ujenzi kama nkikamlilisha nna uhakika mkwe na mdogo wake watakuja kuishi kwetu pia
3.lakini kingine pia huyu msichana anashikiwa akili na mama yake mdogo(anamtaftia watu mbali mbali)

Nilishika simu yake jana nkaona madudu ndipo nlpoamua kuachana nae jumla...!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
mr.London, Kwa mama mkwe wa hivyo hamtamaliza hata miaka miwili mbele lazima wewe na mkeo muachane!
Tofauti na hapo wakupige limbwata uwe bwege then familia nzima wahamie hapo halafu wakubandike na kajina ka utani "kijeba" ni full kukusema kutwa nzima ukiwa job na kukuigiza unavyotembea na kuongea[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ha ha ha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jamaa ni mchoyo, utafikiri ktk maisha yake hajawah kusaidiwa,pole sana kaka, ujajua kuwa maisha yako yana watu wengi nyuma yako, pole tena. selfsh
 
Kuna mwingine anamaliza chuo mwaka huu atakuja hapo soon
 
Sema umefilisika, Amia kwenye chumba kimoja. Mwezi tu utakuwa ushatatua tatizo. Ila ina gharama zake maana utaijua tabia halisi ya mkeo.
 
Watu wa ukumbi huu, habari zenu.

Nimeoa na sasa nina watoto 2 alhamdullah, nampenda sana mke wangu lakini kuna jambo hili linaendelea kila uchao nahisi moyoni nimeanza kulichukia chukia.

Kuna muda mamamkwe amekuja kumsaidia ulezi wife wakati wa kujifungua lakini akapitiliza ule muda nilioambiwa na wife kama angekaa, sasa akawa anakaa kama ndio mahali pa kuishi. Yeye ni age kidogo, mama mtu mzima, hana mume.

Kuna kipindi huyu mama anaumwaumwa, mara ikaja ni kuhusu haya mambo yaliyoingia; sijui kapewa jini, mara shetani tafrani nyumbani mpaka sasa amesafirishwa mji wa pili kwa matibabu zaidi lakini nahisi akimaliza matibabu kama aturidi hapa kwangu.

Suala lingine naona shemeji yangu mtoto wa kiume shababi naye amekuja. Siku hiyo wife akaniambia leo shemeji yako, yaani mdogo wake, atalala hapa nikasema safi nikamtolea kitanda na godoro ili achape usingizi kwa siku ile, lakini naona siku ya pili kaendelea mpaka imefika kama wiki akasafiri kidogo kaenda kukaa kama siku 4 karudi yupo tunaendelea naye anachapa usingizi kama kawaida.

Nilijaribu kumuuliza wife ananimbia anafuatilia kitambulisho cha Taifa. Sasa mimi najiuliza, ivi unaweza kuacha shughuli zako siku zote kwa kitambulisho tu? Kuna siku akasema ile namba tayari ashapewa lakini mzee yupo ameganda tu na sasa pale home majukukumu yanaongezeka.

Naomba fatwa watu wa hapa, vipi niendelee kuvumilia maana hata uhuru pale nyumbani naona umebanwa kidogo.
Pole hapo wansona unafuu, punguza huduma watakimbia
 
Back
Top Bottom