Watu wa ukumbi huu, habari zenu.
Nimeoa na sasa nina watoto 2 alhamdullah, nampenda sana mke wangu lakini kuna jambo hili linaendelea kila uchao nahisi moyoni nimeanza kulichukia chukia.
Kuna muda mamamkwe amekuja kumsaidia ulezi wife wakati wa kujifungua lakini akapitiliza ule muda nilioambiwa na wife kama angekaa, sasa akawa anakaa kama ndio mahali pa kuishi. Yeye ni age kidogo, mama mtu mzima, hana mume.
Kuna kipindi huyu mama anaumwaumwa, mara ikaja ni kuhusu haya mambo yaliyoingia; sijui kapewa jini, mara shetani tafrani nyumbani mpaka sasa amesafirishwa mji wa pili kwa matibabu zaidi lakini nahisi akimaliza matibabu kama aturidi hapa kwangu.
Suala lingine naona shemeji yangu mtoto wa kiume shababi naye amekuja. Siku hiyo wife akaniambia leo shemeji yako, yaani mdogo wake, atalala hapa nikasema safi nikamtolea kitanda na godoro ili achape usingizi kwa siku ile, lakini naona siku ya pili kaendelea mpaka imefika kama wiki akasafiri kidogo kaenda kukaa kama siku 4 karudi yupo tunaendelea naye anachapa usingizi kama kawaida.
Nilijaribu kumuuliza wife ananimbia anafuatilia kitambulisho cha Taifa. Sasa mimi najiuliza, ivi unaweza kuacha shughuli zako siku zote kwa kitambulisho tu? Kuna siku akasema ile namba tayari ashapewa lakini mzee yupo ameganda tu na sasa pale home majukukumu yanaongezeka.
Naomba fatwa watu wa hapa, vipi niendelee kuvumilia maana hata uhuru pale nyumbani naona umebanwa kidogo.
je wangekuwa ni mama yako na mdogo wako wa kiume ungeona unabanwa??kama ni hapana basi jua hio ni roho mbaya,lakin kama ni ndio basi ni haki yako kudai uhuru!!
Lakini hapa nmeona kuna mambo mawili unayalalamikia,unakosa uhuru na majukumu yanaongezeka!kwa hali ya sasa ilivyo nakuelewa mkuu unapozungumzia majukumu kuongezeka,japo kuna watu watakuja apa watakwambia "mchoyo" au "unagubu"!!
Mkuu umenichekesha sana, umewaza nini??? Eti wakuigize unavyotembea na kuongea, yaliwahi kukukuta?mr.London, Kwa mama mkwe wa hivyo hamtamaliza hata miaka miwili mbele lazima wewe na mkeo muachane!
Tofauti na hapo wakupige limbwata uwe bwege then familia nzima wahamie hapo halafu wakubandike na kajina ka utani "kijeba" ni full kukusema kutwa nzima ukiwa job na kukuigiza unavyotembea na kuongea[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuoa halafu ukae na ndugu its very challenging... regardless ni ndugu wa upande gani...
mr.London, Kwa mama mkwe wa hivyo hamtamaliza hata miaka miwili mbele lazima wewe na mkeo muachane!
Tofauti na hapo wakupige limbwata uwe bwege then familia nzima wahamie hapo halafu wakubandike na kajina ka utani "kijeba" ni full kukusema kutwa nzima ukiwa job na kukuigiza unavyotembea na kuongea[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahah. Mbona kama umeongea kwa experiance?mr.London, Kwa mama mkwe wa hivyo hamtamaliza hata miaka miwili mbele lazima wewe na mkeo muachane!
Tofauti na hapo wakupige limbwata uwe bwege then familia nzima wahamie hapo halafu wakubandike na kajina ka utani "kijeba" ni full kukusema kutwa nzima ukiwa job na kukuigiza unavyotembea na kuongea[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe jamaa [emoji1787]mr.London, Kwa mama mkwe wa hivyo hamtamaliza hata miaka miwili mbele lazima wewe na mkeo muachane!
Tofauti na hapo wakupige limbwata uwe bwege then familia nzima wahamie hapo halafu wakubandike na kajina ka utani "kijeba" ni full kukusema kutwa nzima ukiwa job na kukuigiza unavyotembea na kuongea[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dawa ya waswahili wasije kwako ni kutokupika chakula na nyumba yenye njaa ainaga wageni , anatakiwa asubuhi chai haipikwi,mchana ugari unapikwa saa kumi jioni.Chukua likizo ya ghafla uondoke ww mke na watoto wako 2. Wataondoka wenyewe
Nayeye mwanaume anatakiwa arudi kwao hakae kama wiki tatu tena aondoke na mtoto wake mdogosi utaulizwa unawaachaje achaje... dawa wanunulie unga kilo 10 dagaa kilo moja na maharage kilo 3 , Tokomea wiki 2-3 hivi
Hivi unajua wengine hazimo, ndio kwanza watagonga mlango sabuni ya kuoga imeisha wanaomba hela wakanunue, [emoji3][emoji3][emoji3] kama namuona vile anatoka na taulo kumpa shemeji hela ya sabuniNgoja sasa mzee baba nikufundishe ghubu la kibaharia. Ukirudi tu job, mrushie mamkwe kashkamoo ka juu kwa juu, mkung'ute wife bonge la busu halafu mburuzie chumbani...fanya ule mchezo wetu kwa muda mrefu kiasi ukimuachia anaona haya kutazamana na huyo kaka yake usoni.
Siku ukishinda home fanya mchana kutwa. Baada ya wiki 3 njoo utupe mrejesho.
Safi sana, haya ya kusema namuogopa bikubwa yanaumiza Bora hukumkosea adabu, mkilelewa kwenye ukweli na uwazi haya mbona madogo tuIliwahi kumtokea bro wangu. Wamekaa mara bi mkubwa huyo na watu kama watatu hivi. Ukiangalia nyumba vyumba vitatu. Jamaa ana mke na watoto 3, na mfanya kazi na wadogo za mke we 2.
Siku natinga pale nikakutana na bonge la timu. Nikamuuliza jamaa kulikoni. Akaniambi mambo ya bi mkubwa. Nikamuuliza mnaishi je humu ndani. Akaniambia kuna wengine kawalipia guest na haijulikani wanaondoka lini. Pesa nilikuwa sio ishu; ishu ilikuwa ni Uhuru.
Nilichokifanya nilimkalisha bi mkubwa chemba nikamuuliza hawa ni akina nani mbona siwafahamu? Majibu aliyonipa hata undugu hatuna; nikampa makavu laivu. Nikamwambia awambie wajiandae warudi kijijini.
Walivyoondoka jamaa alinishukuru sana maana yeye alishindwa kusema.
Watu wa ukumbi huu, habari zenu.
Nimeoa na sasa nina watoto 2 alhamdullah, nampenda sana mke wangu lakini kuna jambo hili linaendelea kila uchao nahisi moyoni nimeanza kulichukia chukia.
Kuna muda mamamkwe amekuja kumsaidia ulezi wife wakati wa kujifungua lakini akapitiliza ule muda nilioambiwa na wife kama angekaa, sasa akawa anakaa kama ndio mahali pa kuishi. Yeye ni age kidogo, mama mtu mzima, hana mume.
Kuna kipindi huyu mama anaumwaumwa, mara ikaja ni kuhusu haya mambo yaliyoingia; sijui kapewa jini, mara shetani tafrani nyumbani mpaka sasa amesafirishwa mji wa pili kwa matibabu zaidi lakini nahisi akimaliza matibabu kama aturidi hapa kwangu.
Suala lingine naona shemeji yangu mtoto wa kiume shababi naye amekuja. Siku hiyo wife akaniambia leo shemeji yako, yaani mdogo wake, atalala hapa nikasema safi nikamtolea kitanda na godoro ili achape usingizi kwa siku ile, lakini naona siku ya pili kaendelea mpaka imefika kama wiki akasafiri kidogo kaenda kukaa kama siku 4 karudi yupo tunaendelea naye anachapa usingizi kama kawaida.
Nilijaribu kumuuliza wife ananimbia anafuatilia kitambulisho cha Taifa. Sasa mimi najiuliza, ivi unaweza kuacha shughuli zako siku zote kwa kitambulisho tu? Kuna siku akasema ile namba tayari ashapewa lakini mzee yupo ameganda tu na sasa pale home majukukumu yanaongezeka.
Naomba fatwa watu wa hapa, vipi niendelee kuvumilia maana hata uhuru pale nyumbani naona umebanwa kidogo.
Kadiri anavyogonga mlango na wewe unasukuma zaidi, mbeleni huko mtaelewana tu. Kwani unafikiri aibu lazima waone wao, hata wife akiona aibu atatafuta namna ya kuwaelimisha waache runway waziHivi unajua wengine hazimo, ndio kwanza watagonga mlango sabuni ya kuoga imeisha wanaomba hela wakanunue, [emoji3][emoji3][emoji3] kama namuona vile anatoka na taulo kumpa shemeji hela ya sabuni
Kiongozi naomba tufahamiane tunaweza kuwa mashemeji maana nimependa msivyoshobokea kujazana kwa mashemeji!Mkuu kuna familia na familia Sisi kwetu utatimuliwa tu hakuna kukaa Kwa Kaka wala Kwa dada, hivyo vikao na simu kutoka Kwa ndugu, utaondoka bila kuaga, mwenye kukuuliza utaondoka lini huko, mwingine atakwambia kabisa ondoka mwache mwenzio aishi Maisha yake usimpe karaha, mkuu humalizi mwezi utaondoka tu tena bila kinyongo
Kuna njia ya kuongea nae yaani kwa nidhamu. Sasa bro yeye sijui huwa anakwama wapi? Yaani atakaa nalo moyoni lakini hawezi kumwambiaSafi sana, haya ya kusema namuogopa bikubwa yanaumiza Bora hukumkosea adabu, mkilelewa kwenye ukweli na uwazi haya mbona madogo tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wewe jamaa nimependa ushauri wako.Wasikufilisi hao. Ukitoka muachie mkeo pesa ndogo ya kutosha ugali na mboga za majani tu. Ndugu ukiwalisha vuzuri na kuwawekea kifurushi cha azam hawatoki hapo kwako wataona wamefika. Omba likizo shinda nyumbani useme umefukuzwa kazi. Anza kumuomba shemejio akutoe pesa kidogo mle hapo nyumbani uone kama hatoaga mwenyewe