Dai hajaoa wewe,na alikana ndio kwanza ana 28 na hajaoa hebu hiyo kauli futa,
kwanini msilaumu pia daimond mnalaumu hamisa utafikiri alimbaka nyie vipii
Hivi alianzaga kumtukanaje,,??zaidi ya zari kumuita mwenzie maneno ya ajabu yaan asijibu kisaa
Shangaa na wewe..[emoji23] [emoji23]kwa iyo hamisa katoboa kuzaa na mondi .?
Diamond kwani ndie victim hadi tumlaumu? Tunawalaumu hao wanawake wanaokubali kuchezewa akili na kutumika na familia ya Diamond. Zari na Hamisa hawajitambui ndo maana kila mdundo wa Diamond wanaucheza.Dai hajaoa wewe,na alikana ndio kwanza ana 28 na hajaoa hebu hiyo kauli futa,
kwanini msilaumu pia daimond mnalaumu hamisa utafikiri alimbaka nyie vipii
Hivi alianzaga kumtukanaje,,??zaidi ya zari kumuita mwenzie maneno ya ajabu yaan asijibu kisaa
Nimechoka kuqoute watu wote halaf nimekuja kuoanray kaandika nami nishashusha post
Wanamuonea mno hamisa anaitwa kila aina ya majina
Utafikiri zari malaika wakati nae shetani tu kama misa
Hebu nipe elimu ya zari ipi ??ya vipodozi au?? Huwezi kuwalinganisha kina omotola na zari wewee wale wanawake wametuliaaa haswaa wala hawahitaji kiki ni oazi zao zinawatambulisha,zari akinunua hata pazia anataka dunia ijue ushaona hata chumba cha omotola anacholala kakipiga picha acha kufananisha uzima na ufuA
zari sio malaika lakin ana akili kusoma pia kunasaidia we angalia ma demu wa bongo movie na wa nollywood ndo utajua shule inasaidia ...
subiri zamu utakaponyakuliwa mume wako na mtu unaemfahamu afu ukute afanyiwa mambo makubwa kuliko wewe tuone kama utampongeza alie kunyakulia.
kwa iyo hamisa alitakiwa afanyiwe mambo makubwa kwanza kama anapendwa kweli then ndo aanze kupiga kelele
Hapo sasa... mbona mrs machache alimpundua rafiki yake yule madamu shombe shombe akala kimya kimya bila kelele na kaishia kupata vitu vya maana anakula maishaApparently that is what they think. Na angezaa na Mengi ingekuaje?
sawa sawa...Aliyataka mwenyewe, ukitaka makubwa kuna mawili ...utakuwa mkubwa au ukifel utadhalilishwa....Greatness is a two-faced coin, and its reverse is humility.
Dyudy ya daimond ukishaionja hakuna kutoka nadhani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu wengi huwaga wanamuona Zari malaika. Kiukweli Zari na Hamisa wanatofautiana miaka na idadi ya nani katembea na wanaume wa nchi gani zaidi. Ila wote ni misukule ya Diamond yani hamna mwenye unafuu. Hamisa hatumuhuku ila alishajua anachoenda kukifanya kwanini asiwe mpole akala kwa nafasi? Sawa Diamond hajaoa lakini alishasema anamdate fulani ukiingia kati unaonekama kivuruge. Hamisa amefeli sana yani kumkubalia Diamond hata baada ya kumdhalilisha. Kibaya zaidi na huyu bibi wa kisouth na yeye masimango yote alopewa na Diamond na familia yake na yeye kamsamehe Diamond. Wanawake wa Diamond sijui wanakulaga yamini maana sijawahi kuelewa wanarudigi kufanya nini hata baada ya kudhalilishwa wanang'ang'ana tu kama mang'ombe
Mimi ntasimanga Hamisa mpaka kesho kwa kosa la kukubali kutumika na Diamond kumkomesha Zari.Dyudy ya daimond ukishaionja hakuna kutoka nadhani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio mimi ambacho sipendi ni ile kumsimanga hamisa eti zari anaonekana mzurii weweeeee wote wachafu tena zari kamzidi hamisaa,nakataaaa
Nimechoka kuqoute watu wote halaf nimekuja kuoanray kaandika nami nishashusha post
Wanamuonea mno hamisa anaitwa kila aina ya majina
Utafikiri zari malaika wakati nae shetani tu kama misa
Wazaramo wote wapigwe marufuku Instagram.
Hebu nipe elimu ya zari ipi ??ya vipodozi au?? Huwezi kuwalinganisha kina omotola na zari wewee wale wanawake wametuliaaa haswaa wala hawahitaji kiki ni oazi zao zinawatambulisha,zari akinunua hata pazia anataka dunia ijue ushaona hata chumba cha omotola anacholala kakipiga picha acha kufananisha uzima na ufu
Mambo ya kunyakuliana ni kawaida sio ya ajabu yalikuwepo yataendelea kuwepo
Zari alienda kulia bbc angependwa angeheshimiwa we anatumwa babu tale badala ya mama yake nyie hamumjui dai ana dharau sanaa
Hata zari alitakiwa atulie kuwa na daimond sio kulisha ndimu watu utafikiri ndio mgeni wa dyudyu mambo yakamgeukaa ndiiiiiiHapo sasa... mbona mrs machache alimpundua rafiki yake yule madamu shombe shombe akala kimya kimya bila kelele na kaishia kupata vitu vya maana anakula maisha
Tutaelewana tu mbonaHujanielewa nimefaninisha mademu wa bongo movie na nollywood
Na huu ndio ujinga alioufanya alitakiwa amwache mond apambane na mtu wake asingekubali kutumika kama chambo mwisho wa siku hawezi epuka hayo matusi anayotukanwa kila kona. Mwenzie hapo alikuwa anapunguzia stress yeye akaona kapata na vijembe juu.Mimi ntasimanga Hamisa mpaka kesho kwa kosa la kukubali kutumika na Diamond kumkomesha Zari.
[emoji23][emoji23][emoji23] hawataki kuelewa atiiii. Umalaya wa Zari hauhalalishi na umalaya wa Mobetto atiiiiKwahiyo Zari ndio kipimo? Kama Zari malaya basi it is ok for Hamisa kuwa malaya?
Mnashindwa kuelewa. Hapa hasemwi Hamisa kwa kua ni malaya, hapa anasemwa Hamisa kwamba she does not deserve any sympathy. She did everything kwa matakwa yake, so she should now pambana na hali yake. Mama yake aache kuomba sympathy as if Hamisa alibakwa. Na kwa jamii yetu, hata kama watu kama nyie mnatetes kutembea na kuzaa na bwana ambae anajulikana ana mwanamke wake ambae ndio amemtambulisha kwa jamii na anashirikiana nae kijamii, kuwa ni sahihi ili tu kuonyesha chuki kwa mwanamke wa huyo bwana, bado kuna watu katika jamii hawawezi kupongeza jambo hili na ndio maana ataendelea kutukanwa. Tunachosema sisi, ni kwamba haya yote kajitakia mwenyewe na kwavile alisema her pussy is so good Zari wants to fight her, well then Mama yake apambane na hiyo pussy iwasaidie.
Mimi ntasimanga Hamisa mpaka kesho kwa kosa la kukubali kutumika na Diamond kumkomesha Zari.
Kwahiyo Zari ndio kipimo? Kama Zari malaya basi it is ok for Hamisa kuwa malaya?
Mnashindwa kuelewa. Hapa hasemwi Hamisa kwa kua ni malaya, hapa anasemwa Hamisa kwamba she does not deserve any sympathy. She did everything kwa matakwa yake, so she should now pambana na hali yake. Mama yake aache kuomba sympathy as if Hamisa alibakwa. Na kwa jamii yetu, hata kama watu kama nyie mnatetes kutembea na kuzaa na bwana ambae anajulikana ana mwanamke wake ambae ndio amemtambulisha kwa jamii na anashirikiana nae kijamii, kuwa ni sahihi ili tu kuonyesha chuki kwa mwanamke wa huyo bwana, bado kuna watu katika jamii hawawezi kupongeza jambo hili na ndio maana ataendelea kutukanwa. Tunachosema sisi, ni kwamba haya yote kajitakia mwenyewe na kwavile alisema her pussy is so good Zari wants to fight her, well then Mama yake apambane na hiyo pussy iwasaidie.
Ndio mumseme ja zari tunachoka kusikia ya hamisa tu utafikiri hamisa kaua ,hata zari alikuja kwa mbwembwe na kuzaa haraka haraka ilikuwa matakwa yake lakin bado akatupwa kule,,mlaumuni na daimond maana hamisa hajazaa mwenyeweKwahiyo Zari ndio kipimo? Kama Zari malaya basi it is ok for Hamisa kuwa malaya?
Mnashindwa kuelewa. Hapa hasemwi Hamisa kwa kua ni malaya, hapa anasemwa Hamisa kwamba she does not deserve any sympathy. She did everything kwa matakwa yake, so she should now pambana na hali yake. Mama yake aache kuomba sympathy as if Hamisa alibakwa. Na kwa jamii yetu, hata kama watu kama nyie mnatetes kutembea na kuzaa na bwana ambae anajulikana ana mwanamke wake ambae ndio amemtambulisha kwa jamii na anashirikiana nae kijamii, kuwa ni sahihi ili tu kuonyesha chuki kwa mwanamke wa huyo bwana, bado kuna watu katika jamii hawawezi kupongeza jambo hili na ndio maana ataendelea kutukanwa. Tunachosema sisi, ni kwamba haya yote kajitakia mwenyewe na kwavile alisema her pussy is so good Zari wants to fight her, well then Mama yake apambane na hiyo pussy iwasaidie.