Kwahiyo Zari ndio kipimo? Kama Zari malaya basi it is ok for Hamisa kuwa malaya?
Mnashindwa kuelewa. Hapa hasemwi Hamisa kwa kua ni malaya, hapa anasemwa Hamisa kwamba she does not deserve any sympathy. She did everything kwa matakwa yake, so she should now pambana na hali yake. Mama yake aache kuomba sympathy as if Hamisa alibakwa. Na kwa jamii yetu, hata kama watu kama nyie mnatetes kutembea na kuzaa na bwana ambae anajulikana ana mwanamke wake ambae ndio amemtambulisha kwa jamii na anashirikiana nae kijamii, kuwa ni sahihi ili tu kuonyesha chuki kwa mwanamke wa huyo bwana, bado kuna watu katika jamii hawawezi kupongeza jambo hili na ndio maana ataendelea kutukanwa. Tunachosema sisi, ni kwamba haya yote kajitakia mwenyewe na kwavile alisema her pussy is so good Zari wants to fight her, well then Mama yake apambane na hiyo pussy iwasaidie.