Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Halaff oooo zari anapendwa na daimond kwa kuzalilishwa kote kule anapendwa niniiMimi ntasimanga Hamisa mpaka kesho kwa kosa la kukubali kutumika na Diamond kumkomesha Zari.
Mnauhalalisha wa zari wa misa mnauona uchafu[emoji23][emoji23][emoji23] hawataki kuelewa atiiii. Umalaya wa Zari hauhalalishi na umalaya wa Mobetto atiiii
Hapa hatumtetei mtu zari aliyataka mwenyewe kuwa na msanii,.. na akirudiana nae bass atakuwa mjingaHebu nipe elimu ya zari ipi ??ya vipodozi au?? Huwezi kuwalinganisha kina omotola na zari wewee wale wanawake wametuliaaa haswaa wala hawahitaji kiki ni oazi zao zinawatambulisha,zari akinunua hata pazia anataka dunia ijue ushaona hata chumba cha omotola anacholala kakipiga picha acha kufananisha uzima na ufu
Mambo ya kunyakuliana ni kawaida sio ya ajabu yalikuwepo yataendelea kuwepo
Zari alienda kulia bbc angependwa angeheshimiwa we anatumwa babu tale badala ya mama yake nyie hamumjui dai ana dharau sanaa
Katoboa nini?Bado watabisha..kuwa tunamuonea wivu tu kwa kuwa katoboa kimaisha..ndio hatua tuliyofikia.
Hivi hata kama ubakwi ndio unazaa zaa ovyo na wanaume za watu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio mumseme ja zari tunachoka kusikia ya hamisa tu utafikiri hamisa kaua ,hata zari alikuja kwa mbwembwe na kuzaa haraka haraka ilikuwa matakwa yake lakin bado akatupwa kule,,mlaumuni na daimond maana hamisa hajazaa mwenyewe
Unavyosema hastahili unamaanisha mlitaka asi..... au awe sister maisha yake yote
Sitetei watu kuzaa na waume za watu au mabwana za watu hata nikisimama kupinga hakuna atakaenisikiliza kuna watu wanapenda kuwa na waume za watu ndio furaha yao hayajaanza leo haya,,na wanaume ndio wachonganishi kwani wao hawatakiwi wafunge zipu zao mlaumuni na daimond kwani alibakwa mpaka mumuone misa mbayaa acheni mambo yenu
Ndio muwe sawa sio kuona mabaya ya mmoja tuHapa hatumtetei mtu zari aliyataka mwenyewe kuwa na msanii,.. na akirudiana nae bass atakuwa mjinga
Tatizo hamisa alishakosea step moja nyuma avune alichokipanda na sio kulia kulia .. mbona ye wakati anamkomesha zari mwenzie alikuwa kimya,mpira ukirudi kwa kipa kidogo tuu anaanza kulia lia kwani zari kamuita mond south si kaenda mwenyewe analia nini sasa badala ya kulea iyo mimba na sio kumtishia mond kwamba hii mimba nitaitoa ukienda kwa zari
Humu ndani ndio nimejua akili za wanawake duniani zikoje.nimesoma post zote nikagundua mwanamke uliemtongoza akazingua mwisho wa siku ukipata dem ataanza kujisogeza na yeye!ahaaa nishawajua wanawake
Wapi tumeuhalalisha? Tunasema kwa kuwa Zari malaya hakumfanyi na Mobetto kuwa na uhalali wa kuwa malaya [emoji23]Mnauhalalisha wa zari wa misa mnauona uchafu
Kazaa ovyovyo wapi,,watoto wawili tu ndio kuzaa ovyoovyo zari mwenye watano sijui sita tumuiteje au zari kazaa na mwanaume mmoja?Hivi hata kama ubakwi ndio unazaa zaa ovyo na wanaume za watu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Muuseme umalaya wa zari mbona mnausema wa misa tuWapi tumeuhalalisha? Tunasema kwa kuwa Zari malaya hakumfanyi na Mobetto kuwa na uhalali wa kuwa malaya [emoji23]
Halaff oooo zari anapendwa na daimond kwa kuzalilishwa kote kule anapendwa ninii
Kazaa na wanaume wawili na wote ni official. Vipi mobetto lini Mond alimkubali hata kwenye redio ya kata kuwa ni mpenzi wake?Kazaa ovyovyo wapi,,watoto wawili tu ndio kuzaa ovyoovyo zari mwenye watano sijui sita tumuiteje au zari kazaa na mwanaume mmoja?
Hebu nipe elimu ya zari ipi ??ya vipodozi au?? Huwezi kuwalinganisha kina omotola na zari wewee wale wanawake wametuliaaa haswaa wala hawahitaji kiki ni oazi zao zinawatambulisha,zari akinunua hata pazia anataka dunia ijue ushaona hata chumba cha omotola anacholala kakipiga picha acha kufananisha uzima na ufu
Mambo ya kunyakuliana ni kawaida sio ya ajabu yalikuwepo yataendelea kuwepo
Zari alienda kulia bbc angependwa angeheshimiwa we anatumwa babu tale badala ya mama yake nyie hamumjui dai ana dharau sanaa
Ni makubaliano yaoKazaa na wanaume wawili na wote ni official. Vipi mobetto lini Mond alimkubali hata kwenye redio ya kata kuwa ni mpenzi wake?
Ndio ujue nae ni kubwa jinga tuMwanamke anaeweza kuwa na dai zile video na wema wanaahikana ata kama ni kiki hapana kwa kweli ni kuzalilishwa ndo maana zari alitangaza kumuacha BBC ,
Yani yeye alitakiwa apite kimya kimya wakati mwenzake ananyolewa na Diamond. Ila akaja na matashtit utasema ye ndo mwanamke wa kwanza kulalwa na Diamond. Haya sasa kiko wapi? Video zikatapakaa mitandaoni kwamba akiachwa Zari aachike sasa hivi karudiwa yeye kadumpiwa anataka tumuonee huruma. Nilimuone huruma alivyokanwa na Diamond kama vile alifanya dhambi kuzaa nae ila kwa hili kalitaka asitafute huruma yetuNa huu ndio ujinga alioufanya alitakiwa amwache mond apambane na mtu wake asingekubali kutumika kama chambo mwisho wa siku hawezi epuka hayo matusi anayotukanwa kila kona. Mwenzie hapo alikuwa anapunguzia stress yeye akaona kapata na vijembe juu.
Wasipoelewa hapa basi tena [emoji23][emoji23] Beautiful with Brain ndio kinachotakiwa.Lakini ndio hivyo bwana Dai will not claim Hamisa. He claims Zari, but he cannot even support Hamisa's business. This should be enough to tell you , what you are trying to justify by throwing mud at Zari is only a fantasy. If Dai respected Hamisa, he would not let her go through this, na asingesubiri Hamisa avujishe picha ndio akubali mtoto ni wake. Hivi how do you compare how Dai treats Zari and how he treats Hamisa? Dai ni mshenzi but at the same time Dai kama wanaume wengine, anataka mwanamke ambae anajua wanasaidiana na wanajengana. Just because Hamisa is young na ana body nzuri does not make her the ideal woman? Mbona Majizo hakukaa nae? HIvi mmeshajiuliza? Mwanaume hachukui mwanamke awe mwenza wake just because she has a great body and is young, there is so much more than just a sexy body. Some men love the brain too. Yes, a woman with a brain, who contributes either kwa mawazo au emotionally. And this is where I understand Dai and his family. Ukitaka kujua Dai anamwona Hamisa kama msuuza rungu, aliposema "bitch is dying for fame". He already knew Hamisa was after fame and fame only. Meanwhile, Zari loves fame BUT she uses fame to make money for both herself, their children and Dai himself. And this is why Dai will always go back to Zari until Zari decides she no longer wants him.
Huyo Hamisa, msaidieni kwa kumjenga kiakili na kimawazo. And guys, stop saying she is 23. How is she 23 now when last yr she said she had been with Dai for 9 yrs, embu piga hesabu, how old was she when she started sleeping with Dai?
Hahahahahaa. Yani nilianza msimanga toka ile siku Diamond anastream live insta. Yani alinikeraaaaa jamani mapenzi yote yakaishia pale.ishia leo usifike kesho tafadhali.
Basi Zari ni Malaya mwenye akili. Mwambieni na Hamisa ajifunze kutafuta hela siyo kuzaa tu na wanaume za watu mwisho wa siku wanarudi kwa wanawake zao. Leo majizo anaoa Mond Karudi kwa Zari yeye kapata nini? Watoto tu?Muuseme umalaya wa zari mbona mnausema wa misa tu
Hahaaa makubaliano ya kufichwa kwenye kwapa [emoji23][emoji23][emoji23] kama ni makubaliano asingevujisha zile picha. Mfundisheni binti kuwa na akili mwisho wa siku yeye ndio anayeumia.Ni makubaliano yao
Official wapi alizani kuzaa ndio kuolewa haraka