Mama Mobetto amuombea msamaha mwanaye kwa wote wanaomtukana

photoshoot zote mbili za mimba kafanya mwenyewe labour kaenda mwenyewe baba watoto hawapo sasa kuna raha gani apo ,bado kaenda kudai matunzo ya mtoto mahakamani yote hayo ya nini kwanini usi move on tuu na maisha yako bado anaona sifa kusema nimekuwa nae for 9 yrs kwa ipi asa alichomfanyia cha maana zaidi ya kutumika bila faida
Hivi hata kama ubakwi ndio unazaa zaa ovyo na wanaume za watu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani lazima akutangaze hadharani na hajakuoa jamanii,,mbona ndio vizurii,,halaf huyo zari mbona maduka yote yalikufa au kipindi hicho akili zilikufa au ,kumbuka pia wanaume wanahitaji kumlea mwanamke na sio mwanamke amlee mwanaume yaan utafikiri zari anampa pesa daimond au kuna kitu kakifanya dai akawa hapa alipo ,kwani kukaa na mwanauke muda mrefu ndio kuwa na akili au,si mnaweza kukosana tu ulidhani kuachana na majizp hamisa ndio mbaya au ,mbona zari na umri ule hata ndoa tu hakuna mpaka anageuzwa video vixen anaolewa kwa video

Hakuna nakataaa,unataka kusema hamisa ana miaka mingapi!?30??
 
Kabisaa mwenye kulitaka mwenye kulipata.
Alishindwa kula na kipofu kwa hili amekuwa mpumbavu sana. Wakulaumiwa hapa si Dai ni Hamisa.
 

Tumseme Zari, why? Umeona wapi Mama yake Zari ameandika mitandaoni anamuombea msamaha Zari au anaomba watu waache kumtukana Zari? Mama Zari alishakufaa, na hata alipokua hai, Zari siku zote anatukanagwa mnoo but she stands as a woman and deals with it mwenyewe. Wala huwaga hataki sympathy. Hata Dai alivyokiri mtoto wa Hamisa ni wake, uliona alichoandika Zari afterwards? alisema watu wasiomuonee huruma coz Dai amejifuck up mwenyewe for cheating on her. Zari hata akikosea anatukanwaga na anameza mwenyewe kwa shida. Hapo kwa Hamisa, hakuna aliesema asingezaa, sijui awe sister, aliamua kuzaa na Dai na alijua Zari yupo, hivyo apambane na hali yake ya sasa. Mama yake angekua kweli anamjali angemuonya Hamisa tangu hajabeba mimba ya Dai, angemwambia amake sure Dai anamuacha Zari ndio wazae, any good mother would have advised her daughter well. Haya sasa Dai ndio huyo back to Zari, and we are supposed to feel sorry for Hamisa? Nah! Please!
 
Hapo sasa yani ni sidechick wa kimataifa maana kafichwa kwenye kwapa kuanzia enzi ya Wema mpaka Zari [emoji23][emoji23][emoji23]
 

I cant argue with you any longer. Your reasoning is a little lacking, going with what you have just written. It is ok. You are talking about Zari's maduka, lol! really? Ok, Dai has gone back to Zari. Case closed.
 
Mwanamke anaeweza kuwa na dai zile video na wema wanaahikana ata kama ni kiki hapana kwa kweli ni kuzalilishwa ndo maana zari alitangaza kumuacha BBC ,
Kwa taarifa yako na huyo alienda kufanya matangazo ya break up mpaka BBC na kuonyeshwa bwana anakiss na Wema kwenye show bado akaonyeshwa video za kina Hamisa nae karudisha majeshi. Ila sisi kweli mwalimu wetu kipofu
 
I cant argue with you any longer. Your reasoning is a little lacking, going with what you have just written. It is ok. You are talking about Zari's maduka, lol! really? Ok, Dai has gone back to Zari. Case closed.
Uwe na siku njema
 
Akili ipi jamani ya Zari?
 
Ni makubaliano yao
Official wapi alizani kuzaa ndio kuolewa haraka
Hakuna makubaliano .. Kwa taarifa yako hamisa alibeba mimba ya chibu enzi za salome kabla haijatoka akafosiwa na mond aitoe akaitoa mshoga zake na ndugu wa mond wakamwambia we mjinga badala uzae umkomeshe zari ndo kwa akili zake za kuambiwa akategesha nyingine akapiga mpaka miez 4 ndo anamwambia mond akagoma kuitoa akawambia kaa kimya zari asijue nae ana mimba kubwa tuu ,akawa anahudumiwa vizuri kiherehere chake cha kutaka umaarufu wakati alikuwa nao tayari ukamponza sasa avune alichopanda
 
Hahahhahahaaaaaaaa hamoisa.......
 
Ila Hamisa basi tu. Halafu mama ake sijui hamwambiagi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…